Marekani yatarajia kukishambulia kituo cha nyuklia cha Iran cha Fordow ndani ya siku chache, maafisa wa Israel waliiambia Axios, wakati rais wa Marekani anapima hatua za kijeshi katika mkutano wa...
Kwa sasa ana miaka 88. Bodo yupo serekalini kama naibu waziri mkuu huko Uganda Aliwahi kuwa Mwanajeshi. Ni mwanasheria kitaalam na mwanasiasa.
Kwa sasa anaonekana kabisa ana shida kubwa ya kiafya...
Tumsifu YESU KRISTO watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU
Mda huu nimekaa roho yangu imeniuma sana kwa kweli
Kwan dunian hapa hatuwezi zungumza tu tukaelewana mpaka tuuwane jaman
Leo...
The International Monetary Fund (IMF) ranks Kenya as a middle-income country, while Tanzania is considered a low-income country
In 2025, the Bretton Woods institution projects Kenya's economy...
Iran wamesema nchi na dunia itashuhudia kupitia TV rubani wa kike wa f-35 akisema wapi ndege zao ziliongezewa mafuta kabla ya kuelekea Iran,pamoja na mengine
Kumbe ndiyo maana israel imeshambulia...
Tajiri mwenye asili ya India, mwenye umri wa miaka 53 na mpenzi maarufu wa mchezo wa polo, ambaye pia alikuwa karibu sana na Prince William, amefariki dunia kwa kusikitisha wakati wa mechi ya polo...
Kuna watu wanaweza kufikiria vita ni maamuzi ya mwisho kutuma bomu la nyuklia.
Mpaka unapeleka ilo bomu ni kwamba umefikia maamuzi kuwa idadi ya vifaa vya kupigania vita vimekwisha.
Mfano urusi...
Kabla ya Trump kuingia madarakani awamu ya kwanza, Obama alikuwa amefanikisha kupatikana kwa makubaliano ya udhibiti wa nuclear Iran yaliyojulikana kama Joint Comprehensive Plan of Action(JCPOA)...
Kama kuna makosa ya Kidiplomasia ambayo Kagame amewahi kuyafanya basi kosa kubwa zaidi ni kitendo cha kutangaza kuvunja uhusiano wa Kidiplomasia na Belgium sasa. Huo ni mtego ambao ametengenezewa...
Taasisi ya sayansi inayoshirikiana na Jeshi ambalo pia ina mafungamano na shirika la ujasusi la Mossad Weizzman institute of science ambayo imejikita kwenye utafiti ,utengenezaji wa silaha...
Rais wa Guinea‑Bissau, Umaro Sissoco Embaló, ametoa tamko kuhusu mvutano kati ya Iran na Israel jana tarehe 16 Juni 2025:
Rais Embaló amewataka viongozi wa Iran na Israel Benjamin Netanyahu na...
Kiongozi mkuu wa Iran the supreme leader Ayatollah huenda ni Mossad Tena double agent aliyekubuhu.
Simuamini Kabisa tangu Yule general Suleiman kuuliwa Iraq, Rais wao Ebrahim Raisi afe kwenye...
Iran News Network, ambao ni sehemu ya kituo cha televisheni cha taifa cha Iran, imesema kuwa imeshambuliwa na Israel, kulingana na ripoti za Reuters.
Hii inafuatia vitisho vya awali kutoka kwa...
Tarehe 31 Julai 2024, Ismail Haniyeh, kiongozi wa kisiasa wa Hamas, aliuawa kwa mlipuko wa bomu katika chumba chake cha kulala akiwa pamoja na mlinzi wake ndani ya jengo la kifahari la Neshat...
Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu amesema "tuko njiani kupata ushindi".
Akitembelea kambi ya anga ya Israel, alirejelea madai ambayo tumesikia kutoka Israel leo - kwamba "inadhibiti anga...
Iran yatoa onyo la kuhama mara moja watangazaji wa vituo vya habari vya Israel vya N12 and N14, taarifa kamili hapo chini kwa kimomboIran issues evacuation warning for Israeli news channels...
Makombora ya Mwiba Yaliyoharibu Ulinzi wa Anga Kutoka Ndani ya Iran yaliongozwa kwa mbali.
Huku kampeni ya Israel ya Operesheni Rising Simba ikiingia siku yake ya tano, maafisa wa Iran wanadai...
Hali inazidi kuwa tetes hivi Israel inawapataje hawa? Hili ndo swali ninalojiuliza kila wakati. Maana naona wao wanaua mara moja tu. Sisi tulishamuua sana Benjamini Netanyau kwa mujibu wa Ritz...
Nimeishi maisha yangu nikijua kua
Mtawala wa mashariki ya kati kiuchumi na kijeshi ni Irani..
Jeshi lenye nguvu la mashababi na viongozi wa kijeshi mashababi ni irani
Sasa hiki ni nini mngu...
Katika miongo ya karibuni, Jamhuri ya Kiislamu ya Iran imejitokeza kama moja ya mataifa yanayoendeleza teknolojia ya makombora kwa kasi na kwa nguvu kubwa. Miongoni mwa silaha zake zinazozua...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.