Rais wa Marekani Donald Trump amezitaka Iran na Israel, ambazo zinashambuliana "kufikia makubaliano" ya kusitisha mapigano lakini amependekeza kuwa huenda nchi hizo mbili zinahitaji "kupigana"...
Tarehe 7 June 1981 Israel ilifanya mashambulizi katika vinu vya nuclear huko Iraq,hii ilikuwa ni shambulizi la ghafla katika mradi huo chini ya Sadam Hussein, hii ilijulikana kama operation opera...
Vita kati ya Israel na Iran sasa si tena mivutano ya chini kwa chini. Ni vita ya moja kwa moja, yenye mashambulizi ya makombora, drones, na mashambulizi ya anga yanayoathiri raia na miundombinu...
Sisi wote ni wa Mwenyezi Mungu na kwake tutarejea.
Nani anayefuatia kushika kiti chake kwa mujibu wa itifaki ya ufalme wa Uiengereza.
King Charles’ health ‘not good,’ funeral planning underway: Report
Bendera za nchi zote za Jumuiya ya Madola Tanzania ikiwemo zitapeperushwa Kwenye Gwaride rasmi
Swali ni je Marais wa Africa watapewa au wameandaliwa usafiri gani?
Juzikati Rais Ruto alilalamika...
Waziri wa Ulinzi wa Israel ameonya kuwa wakazi wa Tehran "watalipia gharama" ya mashambulizi ya Iran dhidi ya raia wa Israel baada ya mashambulizi ya usiku kusababisha vifo vya watu watano na...
Operesheni ya Israeli ya kushambulia mpango wa nyuklia wa Iran imekuwa tayari kwa miaka mingi sasa Kinachohitajika sasa ni kuidhinishwa tu. Lakini hapa ndio watu wengi hawajui:
Wakati Israeli...
Rais wa Marekani Donald Trump amekataa mpango wa Israel wa kumuua Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei, maafisa watatu wa Marekani wameambia mshirika wa BBC wa Marekani CBS News.
Trump...
Shekeli ya Israel imepanda kwa kasi leo, huku soko la hisa na hati fungani likionyesha ongezeko, wakati wawekezaji wakianza kutathmini mazingira mapya ya hatari ya muda mrefu kwa mali za Israel...
Iran leo ilitangaza kuwa ilifanikiwa kukusanya taarifa nyingi juu ya program za nyuklia na mikakati ya ulinzi ya israel kwa kuwatumia waisrael
Iran inesema nyaraka hizo ni nyingi zikiwa na picha...
KWANINI VIONGOZI WA IRAN WANAUWAWA NA ISRAEL.
Na. Comred Mbwana Allyamtu-CMCA
Monday -16/06/2025
Marangu Kilimanjaro Tanzania.
Pengine hili ndio swali la msingi la kujiuliza, toka mwaka 2023...
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, ameieleza ABC News kuwa kumuua Kiongozi Mkuu wa Iran, Ayatollah Ali Khamenei, “hakuwezi kuchochea mzozo zaidi, bali kutamaliza kabisa mzozo huo.”...
Wadau hamjamboni nyote
30 minutes ago
Iran has not used its advanced weapons against Israel yet - IRGC outlet
"The Islamic Republic has not yet used its advanced and strategic weapons in its...
Amani iwe nanyi watumishi wa MUNGU katika KRISTO YESU, KRISTO MFALME WA WAFALME
Polen na majukumu ya kazi na hongeren kwa siku nzuri siku ya Dominika takatifu ya utatu mtakatifu yaan BABA, MWANA...
Tumeona kwa miaka mingi Iran akiwekeza heavily kwenye misile technology na drone technology sababu ndoto yake ni kuja kuvurumusha makomora yenye vichwa vya nyuklia tel aviv na Jerusalem, ila...
Nchi kubwa yenye nguvu za kijeshi, kisiasa, kiuchumi kama China ikiwa imekaa kimya Dunia inapokuwa inaingia katika vurugu ambazo zimesababishwa na viongozi irresponsible kama Netanyahu na inakaa...
Mod usifute huu uzu. Sijapendelea upande wowote ila nimesema ukweli.
Nimefuatilia kwa karibu huu mzozo lakini nimegundua kitu cha tofauti. Iran inatuma utitiri wa mabomu ilimurani yepenye na...
Mods tafadhali sana msiunganisha mijadala inayohusu matukio makubwa ya kiusalama kama kuuawa kwa mkuu wa jeshi au waziri. Haya ni matukio ya kipekee tofauti na milipuko ya kila siku, mambo haya...
Shirika la Ndege la India (Air India) limesema ndege yake namba AI315 imelazimika kurejea jijini Hong Kong baada ya kukutana na changamoto ya hali ya hewa isiyo rafiki.
Shirika la Habari la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.