International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Wanajeshi 7 wa Israel wameuliwa huko Gaza na idadi inatarajiwa kuongezeka https://x.com/bokeralmog/status/1937717787574616096?t=8spsB8CTR8p-qoJhfxoZ6A&s=19
0 Reactions
2 Replies
314 Views
Niaje waungwana Nafikiri mashambulizi ya mwaka jana kati ya Iran na Israel, yalimpofusha sana Netanyahu kwa kuamini kwamba Iran ilikuwa na silaha chache, na dhaifu kwa kuweza kufanya maangamizi...
39 Reactions
142 Replies
6K Views
Israel imefanikiwa kuuwa viongozi wa kijeshi wa iran sio wote ila wengi imewaua kuwapata watu wenye uzoefu kama hawa itachukua mda sana Israel imefanikiwa kuwauwa baadhi ya wataalamu wa nyuklia...
2 Reactions
53 Replies
2K Views
Rais wa Marekani Donald Trump amekosoa kile alichokitaja kuwa upotoshaji wa habari kuhusu taarifa za intelijensia zilizovujishwa na kwanza kuripotiwa na baadhi ya vyombo vya habari vya Marekani...
4 Reactions
10 Replies
568 Views
Wakati huo SADDAM HUSSEIN akiwa kama KOBAZI mkuu Middle East alianza kuunda siraha za NUKES na zingine za sumu. Hile project iliishushwa ikawa vifusi na SADDAM HUSSEIN akarusha SCUD missles...
1 Reactions
23 Replies
1K Views
Kwa kule Gaza walizunguka zunguka tangu kurudisha mateka mpaka kuwahamisha wapalestina na kuifuta Hamas,Katika malengo yote hayo hakuna kilichofanikiwa imebaki kuua raia tu wanaowategeshea...
0 Reactions
1 Replies
199 Views
Taarifa ya vyombo vya Intelijensia vya Marekani imesema kuwa Shambulio la Marekani huko Fordow limerudisha mpango wa Iran wa Nyukilia miezi michache nyuma. Imesema kuwa yale mabomu hayakupenya...
5 Reactions
10 Replies
835 Views
Wakuu niketafakari kidogo namna hawa wenzetu wanaosema America haja fanikiwa mission yake pale Iran. Naona niwakumbushe tu kuwa America ndiye aliifunua Hiroshima na Nagasaki juu chini au tuseme...
2 Reactions
65 Replies
2K Views
Hali ya kiusalama huko mashariki ya kati imeendelea kuwa tete. Na hii ni kutokana na vita inayoendelea baina ya Israel na Iran. Mataifa hayo yenye nguvu kubwa za kijeshi ktk ukanda huo yameingia...
8 Reactions
41 Replies
2K Views
Ofisi ya waziri mkuu wa Israel imetangaza kuwa waziri mkuu Benjamin Netanyahu amekubali kusitisha mapigano na kwamba eti Israel imekamilisha malengo yote muhimu ya vita Hii kauli imekuja baada ya...
23 Reactions
125 Replies
6K Views
“All imperialists are nothing but paper tigers.” - Mao Zedong Dunia itakumbuka jinsi siku ya Ijumaa 4, April, 2025 Trump alivyopandwa na wazimu. Na kuongeza ushuru kwa kila taifa duniani hadi...
19 Reactions
147 Replies
5K Views
28m ago Israel claims intercepting drones ‘apparently from Iran’ Live Update From the Liveblog of Tuesday, June 24, 2025 IDF downs 2 drones likely launched from Iran before ceasefire By Emanuel...
1 Reactions
2 Replies
487 Views
Baada ya Mapinduzi dhidi ya SHAH 1979, wengi vijana ambao walikuwa na hadhi ya militants ambao wengi baada ya 1990s walikuwa na vyeo vya juu katika Jeshi la kimapinduzi ya IRAN. Kizazi hicho...
4 Reactions
13 Replies
746 Views
Kwanza kabla Marekani hajashambulia Iran walitoa taarifa mapema na Iran ikahamisha vifaa vyote Kabla ya shambulizi taarifa zilivuja hadi ndege zikianza kuruka at the Same time Iran walifahamu...
8 Reactions
47 Replies
3K Views
Henry Kissinger, aliyekuwa Waziri wa Mambo ya Nje na Mshauri wa Usalama wa Kitaifa wa Marekani ambaye alikimbia Ujerumani ya Kinazi akiwa kijana na baadaye kuwa mmojawapo wa watu wenye ushawishi...
7 Reactions
69 Replies
6K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Abbas Araghchi, alikutana jana (Ijumaa, Juni 20) huko Geneva na mawaziri wa mambo ya nje kutoka nchi mbalimbali za Ulaya kujadili maendeleo ya kisiasa katika eneo...
7 Reactions
19 Replies
1K Views
Waziri wa Mambo ya Nje wa Iran, Seyed Abbas Araghchi, ameweka ujumbe hivi karibuni kwenye mtandao wa X akisema kwamba ikiwa Israel itaacha "uchokozi usio halali" Iran "haina nia ya kuendelea...
0 Reactions
6 Replies
765 Views
Swali hili linajitokeza mara kwa mara, hasa kwa kuzingatia ukweli kwamba Iran ina uhusiano wa karibu wa kisiasa na mataifa kama Urusi na Korea Kaskazini, ambayo yenyewe ni mataifa yenye silaha za...
0 Reactions
0 Replies
454 Views
Serikali ya Israel inasema imekubali pendekezo la Donald Trump la kusitisha mapigano. Katika taarifa, Israel inasema: "itajibu kwa nguvu kwa ukiukaji wowote wa usitishaji mapigano." Serikali ya...
0 Reactions
16 Replies
848 Views
Back
Top Bottom