Aman iwe nanyi watumishi wa MUNGU
Hapa ndo utauona umaana wa Iran sema tu Iran hana msaada lakini ni mtetezi wa watu wa Palestine
Bahati mbaya naye kapigwa kama mtoto mdogo, mda huu anaugulia...
Mali na Urusi zimetia saini mikataba inayolenga kupanua ushirikiano wa biashara ya pande zote mbili na kuimarisha uhusiano wa kiuchumi.
Makubaliano hayo ni pamoja na ahadi ya ushirikiano kuhusu...
Marekani bado hajafikia lengo hata kidogo wanachohitaji ni Kuondoa Legency ya Ayatollah na kupandikiza Muisrael kwa mgongo wa Demokrasia.
Bado Viongozi wa Iran wataendelea kuwindwa kwa namna...
Hatua ya "usitishaji mapigano sasa imeanza kutekelezwa. Tafadhali isikiukwe," aliandika Rais wa Marekani Donald Trump katika ujumbe uliochapishwa Jumanne kwenye jukwaa la mitandao yake ya kijamii...
Huyu naona ceasefire ingemnyima fursa ya mabikira, ashukiru...
==========
Vyombo vya habari vya Iran vimeripoti kuwa shambulio la Israel lililotokea siku moja kabla lilimuua kamanda mwandamizi wa...
President Kagame is in good health:
Government dispels online rumors, following a wave of false claims circulating on social media suggesting otherwise.
Jamaa wanasakwa popote
===========
Mwanasayansi mashuhuri wa nyuklia kutoka Iran ameuawa katika shambulio la anga la Israel, kwa mujibu wa televisheni ya taifa ya Iran, na hivyo kumfanya kuwa...
Nililia niliposoma hotuba hii kutoka kwa Waziri Mkuu wa Israeli Benjamin Netanyahu, lakini mwishoni nilisema,
"Utukufu kwa Mungu wa Israeli"
Hebu tusome pamoja:
Bw. Netanyahu alisema:
Miaka 70...
Wanasiasa huwa wanatoka mbali sana Aiseee
Namsoma hapa Trump Kumbe alikuwa Chawa wa Michael Jackson akiwa mtu mzima kabisa kama Mwijaku
Inashangaza sana 🐼
Chama cha National Resistance Movement (NRM) cha Uganda, kimesema Rais wa nchi hiyo, Yoweri Museveni atachukua fomu za kutetea nafasi yake kwa muhula mwingine wa miaka mitano katika uchaguzi...
"Rais Donald Trump alionyesha hasira kali leo wakati usitishaji mapigano aliouanzisha kati ya Israel na Iran ulipoonekana kuwa dhaifu zaidi. Rais huyo alieleza kutoridhishwa kwake hasa na Israel...
Nusu ya waisrael wanazungumza kirusi[emoji298][emoji298]pia inakadiliwa kuwa Kuna warusi zaidi ya million 2 wanaoishi Israel.....hivyo inasemekana Israel ni Russian state
Kwa wale walikuwa...
Kwanza nataka nikiri kuwa wazungu ni wajanja. Wao huwa wanaact kwa mtindo wa good cop vs bad cop. Safari hii Marekani na Israel walikuwa bad cops huku Uingereza, Ufaransa na Ujerumani zikijifanya...
Wasalaam
Hawa watu wanaotoka Persia Iraq na Iran wana akili kubwa...Israel asili yao alipotoka na kuzaliwa babu yao Abraham ni Ur leo Iraq ...Baba yake Abraham alifariki Turkey zamani...
Trump anaishukuru Iran kwa kutoa notisi ya mapema ya Marekani, anasema sasa ni wakati wa amani "Iran imeitikia rasmi Ufutaji wetu wa Vifaa vyao vya Nyuklia kwa jibu dhaifu sana, ambalo...
Je Nini kinaendelea, why Israel ije na madai ya uzushi kuwa imeshambuliwa wakati siyo kweli, je Ina Nia kusitisha mapigano kweli ,
Breaking
Iranian state media has responded to Israel’s...
Hakukuwa na athari kwa kambi ya anga ya Marekani ya Al Udeid nchini Qatar, Reuters iliripoti ikimnukuu afisa wa kijeshi wa Marekani.
Afisa huyo alinukuliwa akisema hakuna shambulio la Iran...
Ni kuwakumbusha tu Israel anapambana na kikundi kidogo sana cha watu wasiojiweza kabisa , si jambo la kushangiria shangilieni pale tu atapojichanganya kwa taifa kama Syria , Lebanon alafu hakuna...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.