International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Hawa jamaa wana shida mahali kama sio kichwani basi huenda sio binadamu wenye roho na utu, walipanga shambulizi la kigaidi ndani ya Marekani ili waisingizie Iran ili kuleta mtafaruku zaidi kati ya...
2 Reactions
4 Replies
514 Views
Mwenza wa Waziri Mkuu wa Israel Sara Netanyahu ameutumia ukurasa wake wa Instagram kuwasilisha ujumbe wa upendo na amani kwa raia wa Iran kufuatia mgogoro unao endelea baina ya nchi hizo mbili...
1 Reactions
30 Replies
2K Views
Marekani imenyanyua tena "upanga wake wa viza", safari hii ukielekea kwa nguvu zaidi Afrika. Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Marekani vinavyoanika nyaraka za serikali, Rais Donald Trump...
1 Reactions
20 Replies
2K Views
KUWINDA MCHAWI kama huyo, kwa mtu ambaye ametoa mengi, siwezi kufikiria kwangu, "alisema Trump, akirejea usemi wa Netanyahu kuhusu kesi hiyo na yake kuhusu kesi za uhalifu na changamoto za...
4 Reactions
8 Replies
834 Views
Wanaukumbi. ⚡️🇮🇷JUST IN: Infographic of Iran’s strikes and targets during the 12 day war with Israel: Strategic assets Iran targeted: • Al-Jalil Base; Military base in the north • Haifa Port •...
10 Reactions
27 Replies
2K Views
Niaje waungwana Hapo chini naorodhesha nchi ambazo si Marekani wala Israel itaweza kuthubutu kuingiza pua yake kuzivamia kijeshi kwa namna yoyote ile. Hii ni kutokana na uwezo mkubwa wa kijeshi...
18 Reactions
151 Replies
8K Views
Kwa kusitishwa kwa mapigano, Wairani wanashangaa kuendelea kutokuwepo kwa Khamenei Leo, 7:30 asubuhi 1 A Juni 14, 2025. (Picha na ATTA KENARE / AFP) Gazeti la New York Times linaripoti kuhusu hali...
2 Reactions
29 Replies
2K Views
Swali la Neuer lilirejelea hatima ya takriban wakimbizi wa Kiyahudi 850,000 waliokimbia au kufukuzwa kutoka nchi za Kiarabu na Iran kati ya miaka ya 1940 na 1970. Akionyesha kwamba mataifa haya...
2 Reactions
7 Replies
446 Views
Waziri Mkuu wa Uhispania Sanchez wa Uhispania mapema leo amesema Gaza iko katika kile amekitaja kuwa "hali mbaya ya mauaji ya halaiki" na ameutaka Umoja wa Ulaya kusitisha mara moja mpango wake wa...
5 Reactions
4 Replies
461 Views
Vita iliyo anzishwa na Netanyau kwa lengo la kumuangusha Ayatollah imekuwa kinyume chake na inaenda kumnufaisha kisiasa. Nadhani ulimwengu wa kimagharibi utakuwa umeshangazwa,kufadhaishwa...
17 Reactions
54 Replies
2K Views
Naweza nikathibitisha ya kwamba jeshi la ufaransa lilizuia drones 10 zilizorushwa na jeshi la Iran katika operesheni yao ya kushambulia Israel siku kadhaa zilizopita kupitia mifumo yetu ya ulinzi...
2 Reactions
7 Replies
698 Views
Iran’s Supreme Leader Khamenei to speak in video message soon By Reuters Today, 12:56 pm Iran’s Supreme Leader Ayatollah Ali Khamenei will speak within the next few minutes in a video message...
1 Reactions
5 Replies
746 Views
Kwamba Iran ikae kwa kutulia Sasa, iache hayo mawazo maana imesambaratishwa kwa moto... US President Donald Trump says he will strike Iran again if it tries to restart its nuclear enrichment...
7 Reactions
79 Replies
3K Views
Ex-President of Iran (2005-2013) Mahmoud Ahmadinejad , peacefully herding sheep after he resigned as president. The ex-president renounced his presidential pension, returned to teach at the...
15 Reactions
37 Replies
3K Views
Kwa kule Gaza walizunguka zunguka tangu kurudisha mateka mpaka kuwahamisha wapalestina na kuifuta Hamas,Katika malengo yote hayo hakuna kilichofanikiwa imebaki kuua raia tu wanaowategeshea...
8 Reactions
14 Replies
711 Views
watajuta kutuchokoza. Angeendelea kupiga mpaka waondoke GAZA hao Wayahudi.
7 Reactions
21 Replies
1K Views
Wanaukumbi. Bunge la Iran limepitisha muswada wa kusimamisha ushirikiano na Shirika la Kimataifa la Kudhibiti Nguvu za Atomiki, IAEA. hatua iliyochukuliwa kufuatia vita kati ya Israel na Jamhuri...
8 Reactions
49 Replies
2K Views
Kwa wanaofuatilia siasa za Mozambique, hali ni mbaya kwa chama tawala cha Frelimo pamoja na serikali iliyoko madarakani. Baada ya uchaguzi kuisha na serikali kujitangaza kushinda kwa wastani wa...
35 Reactions
253 Replies
14K Views
80% ya nchi ya Jordan ni sehemu ya iliyokuwa BRITISH MANDATE OF PALESTINE kabla ya wayahudi kurudi kwao. Kwanini leo hamas ahangaiki kuikomboa Jordan? Ndio hapo utakapogundua itikadi ndio...
0 Reactions
0 Replies
310 Views
BREAKING – Iranian Media – "We became the first country in history to defeat Israel and US together" My take:Israel walionywa hawakusikia
7 Reactions
37 Replies
2K Views
Back
Top Bottom