International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

  • Closed
Mtoto wa miaka minne nchini Misri amehukumiwa kifungo cha maisha jela kwa hatia ya mauaji, kusababisha vurugu, kuharibu majengo ya serikali na kutishia maaskari. Mtoto huyo aliyezaliwa mwaka...
0 Reactions
23 Replies
12K Views
Kama tulidhani suala la biashara ya kusafirisha binadamu na wahamiaji haramu ni tatizo dogo, basi tumekosea, kwa sababu tayari 'wakubwa' wamekiri kuwa biashara hiyo ni kubwa zaidi kuliko hata ile...
1 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Closed
KUNDI la wapiganaji la ISIS limemuua kwa kumkata kichwa kijana mmoja baada ya kumkuta akisikiliza muziki wa Pop unaoimbwa na wasanii wa Marekani akiwa kwenye baa ya baba yake. Kijana huyo, Ayham...
6 Reactions
137 Replies
14K Views
Mgombea kiti wa chama cha Republican katika uchaguzi ujao wa urais nchini Marekani Donald Trump ameshinda kura ya mashinani katika jimbo la Carolina Kusini. Bwana Trump ambaye awali mwezi huu...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Wabunge wa Upinzani Waingia na Mabomu ya Machozi Bungeni Wabunge wa Upinzani Waingia na Mabomu ya Machozi Bungeni ~ MUUNGWANA BLOG
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Hali bado tete Mashariki ya Kati hususan Syria ambapo watu 83 wameuawa na wengine takriban 200 wamejeruhi katika milipuko ya mabomu mawili ya kujitoa muhanga iliyotokea kwenye wilaya ya Sayeda...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Are you in Zambia, Congo, Malawi, Rwanda, Burundi? Are you interested in enterpreurship? Only 300USD can be enough capital to start with, Contact me via whatsapp: +255 718 585 555 Or email...
0 Reactions
0 Replies
879 Views
Rais Barack Obama amesema anaamini mgombea urais wa chama cha Republican Donald Trump hatakuwa rais wa Marekani. Amesema kazi hiyo ni “kazi kubwa”. "Ninaendelea kuamini kwamba Bw Trump hatakuwa...
3 Reactions
25 Replies
6K Views
Experts: Invasion of Syria Could Lead to Nuclear War Washington's Blog
0 Reactions
0 Replies
922 Views
Mtoto wa kike wa miaka mitano mwenye ulemavu wa ngozi(Albino) ametekwa kisha kuuawa kwa kukatwa viungo na watu wenye silaha. Watu hao walivamia nyumba ya wazazi wake na kuwashambulia wazazi na...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
Rwandan authorities manipulated the latest official statistics on poverty to make it look like it was going down, while much of the source data suggested it was actually on the increase, according...
0 Reactions
21 Replies
3K Views
Marekani itatuma ndege zake za kivita aina ya F-22 stealth kuelekea nchini Korea ya Kusini ambazo zina uwezo wa kubeba silaha za nyuklia ili kuonyesha nguvu zake za kijeshi kwa serikali ya Korea...
0 Reactions
54 Replies
14K Views
Governmental Authority on Development (IGAD) and the East African Community (EAC) election observer missions have commended the Uganda Electoral Commission for conducting what they termed as “free...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
hapa tz kukitokea mtoto wa kiongozi aliyepita akiwa naye kiongozi watu wanalakamika kweli kuwa kuna usultani, mfano ile ishu ya mtoto wa mgimwa, kigoda, sumari, mwinyi etc, ila hii mambo ipo hadi...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
East African Community Secretariat; Arusha, Tanzania; 16 February 2016: The 17th Ordinary East African Community (EAC) Heads of State Summit has been set for the 29th February, 2016 in Arusha...
0 Reactions
3 Replies
1K Views
Jeb Bush dropped out of the presidential race on Saturday, ending a quest for the White House that started with a war chest of $100 million, a famous name and a promise of political civility but...
0 Reactions
1 Replies
860 Views
Kwa washabiki wote wa huyu bozo, hana rekodi nzuri huyo bwana. Cheki hapa. Top 10 Donald Trump Failures - TIME Soma mwenyewe
0 Reactions
1 Replies
854 Views
In October of 2014, Steven Pratt was supposed to begin his life anew. He had served out a 30-year prison sentence and gone home to Atlantic City, N.J., where his family held a party to welcome...
0 Reactions
1 Replies
939 Views
This is an interesting expose in the Boston Globe. I have always doubted the spins by the Western press on the Syria and Iraq wars. This article confirms by fears. Go to this link...
0 Reactions
1 Replies
956 Views
Mkuu wa kanisa katoliki duniani Papa Francis amesema kuwa wazo la mgombea wa kiti wa chama cha Republican nchini Marekani, Donald Trump la kujenga ukuta kati ya Mexico na Marekani si la kikristo...
0 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom