Simu ya Samsung yafuka moshi ndani ya ndege

Simu ya Samsung yafuka moshi ndani ya ndege

Achaacha

Senior Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
126
Reaction score
82
Wafanyakazi wa kampuni moja ya ndege nchini India walilazimika kutumia kifaa cha kuzima moto ili kuizima simu aina ya Samsung iliyokuwa ikifuka moshi

Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya moto kulingana na taarifa kutoka kwa kampuni ya ndege ya Airline Indigo

Hatua hiyo ya haraka ilichukuliwa na wafanyakazi hao ilisaidia ndege hiyo kutua salama katika uwanja wa ndege wa Chennai, ikiwa ndo lengo la safari hiyo.

Kisa hicho kimetokea wakati ambapo Samsung inazirudisha simu aina ya Note 7 kutokana na matatizo ya berti

Indigo imesema kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa wakati wa kisa hicho katika ndege ya 6E-054 iliokuwa ikitoka Singapore kuelekea Chennai.
 
  • Thanks
Reactions: MC7
wanatangaza Zima simu ikiwa inataka kushuka au kupaa kuna Lugha ya kitaalamu hapo...
 
Wafanyakazi wa kampuni moja ya ndege nchini India walilazimika kutumia kifaa cha kuzima moto ili kuizima simu aina ya Samsung iliyokuwa ikifuka moshi

Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya moto kulingana na taarifa kutoka kwa kampuni ya ndege ya Airline Indigo

Hatua hiyo ya haraka ilichukuliwa na wafanyakazi hao ilisaidia ndege hiyo kutua salama katika uwanja wa ndege wa Chennai, ikiwa ndo lengo la safari hiyo.

Kisa hicho kimetokea wakati ambapo Samsung inazirudisha simu aina ya Note 7 kutokana na matatizo ya berti

Indigo imesema kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa wakati wa kisa hicho katika ndege ya 6E-054 iliokuwa ikitoka Singapore kuelekea Chennai.


Mmmh...sijui kama hivi ni vita vya kibiashara au vipi...juzi nilisoma mahali namna hivi karibuni simu Samasung galaxy ilivyolipuka kwenye gari na kuharibu gari aina ya pick up ambaye alikuwa ana-charge...mwenye gari hakuwemo kwenye gari wakati simu hiyo inalipuka lakini gari hilo liliharibika vibaya sehemu ya mbele...picha ya tukio hilo ilionyeshwa...
 
Mmmh...sijui kama hivi ni vita vya kibiashara au vipi...juzi nilisoma mahali namna hivi karibuni simu Samasung galaxy ilivyolipuka kwenye gari na kuharibu gari aina ya pick up ambaye alikuwa ana-charge...mwenye gari hakuwemo kwenye gari wakati simu hiyo inalipuka lakini gari hilo liliharibika vibaya sehemu ya mbele...picha ya tukio hilo ilionyeshwa...
[emoji2] unakumbuka enzi za I phone 6 plus kupinda????.

Kweli huu mchezo hauhitaji hasira.
 
IMG_1474805264.137789.jpg
hii ni Note 7 imeungua. Samsung wataendelea kupata hasara kwasababu ya kutengeneza vifaa vibovu.
 
Hawa samsung nao ni toomuch ina maana wametoa cm bila kufanyia testing au kwa wateja wake ndo shamba la panya la kufanyia testing?
 
Mmmh...sijui kama hivi ni vita vya kibiashara au vipi...juzi nilisoma mahali namna hivi karibuni simu Samasung galaxy ilivyolipuka kwenye gari na kuharibu gari aina ya pick up ambaye alikuwa ana-charge...mwenye gari hakuwemo kwenye gari wakati simu hiyo inalipuka lakini gari hilo liliharibika vibaya sehemu ya mbele...picha ya tukio hilo ilionyeshwa...
Acha kupotosa mkuu. Aina ya gari ilikuwa ni Jeep. Ungeziona hizo picha ungetambua hilo. Ila kwa kuwa amekuhadithia meku kwenye kijiwe cha kahawa na wewe umekuja kutumwagia fleva humu.
 
Izo za note 2 wametengenezewa mchezo mchafu tu kuua soko la note series
Wamarekan hawafaii hata tone
 
Back
Top Bottom