Achaacha
Senior Member
- Sep 7, 2016
- 126
- 82
Wafanyakazi wa kampuni moja ya ndege nchini India walilazimika kutumia kifaa cha kuzima moto ili kuizima simu aina ya Samsung iliyokuwa ikifuka moshi
Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya moto kulingana na taarifa kutoka kwa kampuni ya ndege ya Airline Indigo
Hatua hiyo ya haraka ilichukuliwa na wafanyakazi hao ilisaidia ndege hiyo kutua salama katika uwanja wa ndege wa Chennai, ikiwa ndo lengo la safari hiyo.
Kisa hicho kimetokea wakati ambapo Samsung inazirudisha simu aina ya Note 7 kutokana na matatizo ya berti
Indigo imesema kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa wakati wa kisa hicho katika ndege ya 6E-054 iliokuwa ikitoka Singapore kuelekea Chennai.
Simu hiyo ya Note 2 ilikuwa ikitoa miale ya moto kulingana na taarifa kutoka kwa kampuni ya ndege ya Airline Indigo
Hatua hiyo ya haraka ilichukuliwa na wafanyakazi hao ilisaidia ndege hiyo kutua salama katika uwanja wa ndege wa Chennai, ikiwa ndo lengo la safari hiyo.
Kisa hicho kimetokea wakati ambapo Samsung inazirudisha simu aina ya Note 7 kutokana na matatizo ya berti
Indigo imesema kuwa hakuna mtu aliyejeruhiwa wakati wa kisa hicho katika ndege ya 6E-054 iliokuwa ikitoka Singapore kuelekea Chennai.