Taasisi ya Upelelezi FBI imeanza kufanya uchunguzi ili kugindua chanzo cha mitandao mbalimbali jana nchini humo kuvamiwa na kushindwa kufanya kazi.
Mitandao hiyo iliyovamiwa ni PayPal, Amazon...
UPDATES
========
- Ndege za kivita za Marekani zimeteketeza kiwanda cha kuunda magari ya kutumia kwenye vita kichokuwa kikitumiwa na magaodo wa ISIS na hakuna kilichosalimika.
- Magaidi wa ISIS...
Takribani wanfungwa 174 wametoroka katika Gereza moja nchini Haiti baada ya Wafungwa hao kufanya fujo zilizoplelekea kupoteza maisha kwa askari wa ulinzi.
Mamlaka za ulinzi mpaka sasa zimesema...
ASSUMING that her opponent fails to recover, Hillary Clinton can reach the White House even without Nevada, which polls suggest is in her grasp. Yet Nevada could hardly matter more to her.
To...
Rais wa Ufilipino, Rodrigo Duterte ametangaza kusitisha Uhusiano wa kiuchumi, kijeshi na Marekani ingawa Marekani imekanusha kupata maombi hayo.
Amesema kuwa anaanza kushirikiana kikamilifu na...
Mwaka huu lazima pachimbike, habari ndiyo hiyo kwa mujibu wa polls ni kwamba zaidi ya 70% ya Wanachama wa Republicans wanaamini kwamba Obama ataiba kura za D.Trump!
Laana ya kumuua Gadafi inazidi...
SOMALIA: Maharamia wamewaachilia huru watu 26 baada ya kuwateka wakiwa ktk Meli karibia na visiwa vya Shelisheli miaka 5 iliyopita.
- Maharamia waliwateka jumla ya watu 29 mnamo mwezi Machi mwaka...
Takribani Watu 55 wamefariki Dunia na wengine zaidi ya 600 wakijeruhiwa baada ya treni ya abiria iliyokuwa ikitoka Younde kuelekea Doula kupinduka.
========
AT LEAST 55 people were killed and...
Idadi ya watu waliokufa kutokana na ajali ya treni nchini Cameroon imeongezeka kutoka watu 55 na kufikia watu 70 na wengine 300 wanapatiwa tiba kutokana na majeraha ya ajali hiyo ambayo ilitokana...
Kwa muda wa miaka mingi nimekuwa nikifatilia chaguzi mbali mbali za Marekani lakini kuna kitu kimoja ambacho nimekuja kukifahamu hawa jamaa pamoja wanatulazimisha sisi nchi za dunia ya tatu tuwe...
October 19, 2016 at 11:25 pm
By Dan Ngabonziza
King Mohammed VI (l) and President Paul Kagame
A Moroccan real estate company has announced it will construct 5000 affordable housing units in...
Wadau mimi kwa maoni yangu binafsi hii tuzo la Nobel Prize huwa linatolewa kinafiki sana. Maana halisi ya nia ya mwasisi wa tunzo hili Alfred Nobel mwaka 1901 ilikuwa ni kutoa tunzo hili kwa...
Afrika Kusini imeanzisha mchakato wa kujiondoa kutoka uanachama wa mahakama ya kimataifa ya uhalifu wa kivita.
Wanadiplomasia wa Afrika kusini wamearifu umoja wa mataifa juu ya uamuzi huo na...
Shirika la Ndege la Emirates lasema kuanzia Oktoba 30 litasitisha safari zake kati ya Dubai na Abuja kutokana na kuyumba uchumi wa Nigeria.
=========
Emirates Airline kuahirisha mara nne...
Trump amesema kupitia debate ya Jana alipoulizwa swali na moderator kuwa je atakubali matokeo ya uchaguzi endapo atashindwa?
Amesema siwezi kukubali sasa nitakubali badae siwezi kuongea kwa...
Baada ya kuaga Dunia nzima kuanzia kuanzia, Mexiko, Brazili, Ulaya yote, Australia mpaka Asia yote, ni Afrika tu, tu ndiyo bado Raisi Obama hajakanyaga kuja kuaga, ingawaje sisi ndiyo tuliofurahia...
Yule kaka wa Obama ajulikanye kama Maliki Obama amesema kwamba ana wasi wasi hata kama Raisi wa USA Barack Obama ni ndugu yake, ana ana wasi wasi kama ni mtoto wa baba yake!
Kanali Muommar Gadhafi miaka 68- alipata madaraka katika mapinduzi yasiyo ya kumwaga damu mwaka 1969- alimpindua aliyekuwa mfalme wa Libya wakati huo Mfalme Idris.
Watoto wa Gadhafi
1...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.