Barbarosa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2015
- 22,584
- 27,838
Mwaka huu lazima pachimbike, habari ndiyo hiyo kwa mujibu wa polls ni kwamba zaidi ya 70% ya Wanachama wa Republicans wanaamini kwamba Obama ataiba kura za D.Trump!
Laana ya kumuua Gadafi inazidi kumuandama Barack Obama, na Historia itakuja kumuhukumu kwamba is the most hated and incompentent President to ever rule USA!
Hii si ajabu haijawahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Taifa hilo kubwa na muhimu Duniani, sasa Wamarekani hawaamini tena mfumo wao wenyewe, mfumo ambao wamekuwa wakiusifia siku zote na hata kujaribu kwa hiari au mabavu kuulazimisha kwa wengine, hasa Afrika na Uarabuni!
Wakati huo huo pengo kati ya D.Trump na mpinga Kristo Clinton linazidi kupungua kwa kasi na sasa ni 40% dhidi ya 44%, D.Trump amepunguza kwa 8%, ikumbukwe Clinton alikuwa anaongoza kwa zaidi ya 12% na hii ni pamoja na maskandali yote ya kutungwa na media zote Duniani kuwa 100% nyuma ya Mpinga Kristo Clinton!
Half of Republicans would reject election result if Clinton wins: Reuters/Ipsos
Laana ya kumuua Gadafi inazidi kumuandama Barack Obama, na Historia itakuja kumuhukumu kwamba is the most hated and incompentent President to ever rule USA!
Hii si ajabu haijawahi kutokea tangu kuanzishwa kwa Taifa hilo kubwa na muhimu Duniani, sasa Wamarekani hawaamini tena mfumo wao wenyewe, mfumo ambao wamekuwa wakiusifia siku zote na hata kujaribu kwa hiari au mabavu kuulazimisha kwa wengine, hasa Afrika na Uarabuni!
Wakati huo huo pengo kati ya D.Trump na mpinga Kristo Clinton linazidi kupungua kwa kasi na sasa ni 40% dhidi ya 44%, D.Trump amepunguza kwa 8%, ikumbukwe Clinton alikuwa anaongoza kwa zaidi ya 12% na hii ni pamoja na maskandali yote ya kutungwa na media zote Duniani kuwa 100% nyuma ya Mpinga Kristo Clinton!
Half of Republicans would reject election result if Clinton wins: Reuters/Ipsos