Barani Asia, utawala wa Korea Kaskazini unafuatilia kwa karibu hali ya Iran. Mashambulizi y a Marekani kwenye maeneo ya nyuklia ya Iran mwishoni mwa juma lililopita linaweza kuishawishi Korea...
Marekani haishambulii Korea Kaskazini kwa sababu kuu kadhaa, zikiwemo:
1. Tishio la silaha za nyuklia
- Korea Kaskazini ina silaha za nyuklia na imekuwa ikitishia kutumia dhidi ya Marekani na...
Salaam Wanazuoni,
Vladimir Putin alipokelewa Marekani kama Mfalme wa Wafalme.
Viongozi wengi hawakuwahi kupokelewa vile nchini Marekani.
Sijui sana ila nionavyo kupokelewa katika kambi ya jeshi...
Hawa waarabu mpango wa greater Israel huu hai Netanyahu kawatonya tena wakae wakijua watafuatwa mmoja baada ya mwingine kila mmoja atafikiwa kwa wakati wake kwenye ile greater Israel...
Putin ameonekana mnyonge sana kuitwa na kwenda Marekani ni kuonesha Putin yupo hoi. Huo ni ukweli ambao hatutakubaliana nao sababu tulikuwa tunaamin Putin ni mbabe sana.
Miaka yote naamini...
Hakukuwa na makubaliano rasmi
Mkutano ulimalizika bila matokeo madhubuti hakukuwa na mapatano ya kuacha mapigano au kipindi maalum cha amani nchini Ukraine .
Masaibu ya kisiasa kwa Trump katika...
Wanaukumbi.
Hostages Square mjini Tel Aviv inazidi kujaa watu wakiwa wamebeba mabango na kuvaa riboni za njano asubuhi ya maandamano wa nchi nzima ulioitishwa na familia za mateka huko Gaza...
Hawa watu kwenye hii dini ya muarabu sijui nywele za wanawake huwapa mzuka au nyege au nini, yaani jamaa bila aibu na likanzu sijui lijoho lake anazurura hospitalini akichukua video ya kila...
Historia ya kale Ya Rwanda
Wakazi wa kwanza huaminiwa kuwa wawindaji wa jamii ya Wasani.
Katika karne za kwanza BK walifika wahamiaji Wabantu wenye ujuzi wa kilimo na uhunzi.
Rwanda ilikuwa eneo...
Mpaka sasa Urusi imepoteza watu wengi sana katika vita yake na Ukraine, si ukiwazia tu wapiganaji waliokufa, bali pia wale waliojeruhiwa au kupotea — na ripoti kutoka vyanzo mbalimbali vinaelezea...
Habari: Putin na Trump Wakutana Alaska Licha ya Shitaka la Kukamatwa na ICC
Anchorage, Alaska — Agosti 15, 2025
Leo Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump...
Kimondo kilichogonga nyumba nchini Marekani kina umri mkubwa kuliko sayari ya Dunia, wanasayansi wamesema.
Kitu hicho kilisafiri angani katikati ya mchana kabla ya kulipuka katika anga la jimbo...
Ikiwa ni kweli; Je, viongozi wa Sudan Kusini watajifunza kutokana na historia au watatanguliza njaa zao? Kipindi kile Janjaweed wanawaua Wasudan weusi, wanahistoria wakasema kuwa, Wasudan weusi...
17 Aprili 2025
Goma, Jimbo Kivu ya Kaskazini
DR Congo
KUTOKA OFISI KUU ZA M23 MJINI GOMA
https://m.youtube.com/watch?v=8ejxs6ue7D0
Katika mahojiano haya ya kipekee, Corneille Nangaa, Mkuu wa...
Zaidi ya watu 300 wameripotiwa kupoteza maisha kaskazini magharibi mwa Pakistan kufuatia mvua kubwa na mafuriko yaliyodumu kwa siku mbili, kwa mujibu wa taarifa za maofisa wa eneo hilo. Mvua hizo...
Waziri wa Mambo ya Nje wa Urusi, Sergey Lavrov amesema kwamba Urusi haitakubali kurejesha ardhi iliyokwisha itwaa kutoka Ukraine katika mazungumzo ya kutafuta amani yanayotarajiwa kufanyika leo...
Hivi karibuni, ili kukabiliana na maambukizi ya virusi vya Chikungunya, mkoa wa Guangdong, China uliachilia mamilioni ya mbu maalumu, ambao wanaweza kula mbu wanaoambukiza virusi hivyo. Utafiti wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.