International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Miradi ya nishati safi inapogwa rungu na vita kwa nguvu zote, Wachina wakina Xi Jinping watakuwa wanachekea chooni, wanekunua meno to😁. Waziri wao nishati anadaganya kwamba hata ukizungusha...
1 Reactions
3 Replies
345 Views
Gwaride la kijeshi la China la Septemba 3 litaonyesha silaha na vifaa vilivyoboreshwa. Xinhua|June 24,2025 The weapons and equipment to be displayed in China's Sept. 3 military parade embody the...
4 Reactions
21 Replies
2K Views
Maneno hayo aliyasema Waziri Mkuu wa Israel Benjamin Netanyahu miaka 25 iliyopita akiziasa nchi za Magharibi kuhusu kupambana na Magaidi lakini hawakumuelewa lakini sasa hivi wanakumbuka maneno...
0 Reactions
0 Replies
227 Views
‼Marekani imetoa zawadi ya dola milioni 15 kwa atakayetoa taarifa zitakazowezesha kukamatwa kwa Waziri wa Ulinzi wa Venezuela Vladimir Padrino Lopez. You
1 Reactions
12 Replies
901 Views
Kijana huyo alijulikana kama Alshababa.Alipewa kazi ya kupambana na Hamas na yeye akapewa siku 14 kujisalimisha kujibu kosa la kukubali kuwasaliti wapalestina. Baada ya hapo akasema yeye anataka...
4 Reactions
7 Replies
633 Views
Ugiriki imefunga zaidi ya shule 700 kutokana na upungufu wa wanafunzi kufuatia kupungua kwa idadi ya watu. Wizara ya Elimu imetangaza kwamba shule 721 kati ya shule 13,478 za Ugiriki...
7 Reactions
23 Replies
1K Views
IDF inasema inakamilisha maandalizi ya mwito mkubwa wa askari wa akiba kabla ya Operesheni ya Gideon's Chariots II. Wanajeshi wanapewa zana kamili za kivita na kupewa mafunzo kwa ajili ya vita vya...
2 Reactions
14 Replies
605 Views
Kilichoipta Urusi kule Afghanistan miaka ya 1979 na Marekani kule Vietnam mwaka 1975 na Afghanistan tena mwaka 2021 ndicho kilnachoelekea kuipata Israel huko Gaza mwaka huu 2025 Marekani na...
12 Reactions
49 Replies
2K Views
Magaidi wa Houth toka Oct 07,2023 wamekiwa wakiishambulia Israel kwa Makombola ambayo yamekuwa yakipopolewa na Mufumo ya ulinzi wa anga ya Israel. Israel kwa wakati wote wamekuwa waliwaonya...
8 Reactions
55 Replies
3K Views
Wakuu, Burkina Faso imepitisha sheria mpya inayokataza masuala ya ushoga. Sheria hiyo mpya, iliyopitishwa kwa kauli moja na bunge la mpito, inasema kuwa eyote atakayepatikana na hatia ya...
5 Reactions
23 Replies
1K Views
Rais Isaac Herzog atasafiri hadi Vatican siku ya Alhamisi kwa ziara ya siku moja, ambapo atakutana na Papa Leo XIV na Kardinali Pietro Parolin. Mazungumzo yanatarajiwa kulenga kuachiliwa kwa...
2 Reactions
4 Replies
340 Views
By Dickson Ng’hily Prologue: The Voice They Couldn't Contain For decades, the Catholic Church in Tanzania had in its ranks a man of rare clarity—Bishop Methodius Kilaini. Scholar, canon lawyer...
4 Reactions
39 Replies
2K Views
Rais wa Indonesia, Prabowo Subianto, ametangaza kupunguza mishahara na baadhi ya marupurupu kwa wanasiasa wa taifa hilo, ikiwemo wabunge, ili kutuliza maandamano yanayoendelea nchini humo. Hatua...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
Idhaa ya Saudia ya Al-Hadath jana ilichapisha picha za mwanamume wa Gaza kutoka vitongoji vya kaskazini mwa Gaza City, ambapo alitangaza kwamba hatahama eneo hilo kama walivyoamriwa na majeshi ya...
4 Reactions
19 Replies
887 Views
Baada kuficha kifo cha Gaidi Mohamed Sinwar kwa muda mrefu leo hii Hamas wameamua kusema wazi kuwa Gaidi Mohamed Sinwar ndugu yake na Yahya Sinwar alikufa huko Gaza!!! Hii inadhibitisha wazi kuwa...
5 Reactions
15 Replies
932 Views
Mkuu wa IDF awatishia viongozi wa Hamas nje ya nchi: 'Tutawafikia pia' Mkuu wa IDF, Lt. Jenerali Eyal Zamir (kushoto) akizungumza katika tathmini pamoja na Mkuu wa Kamandi ya Kaskazini Meja...
2 Reactions
15 Replies
1K Views
My Take Nchi za wanaojitambua zinachangamkia fursa ya kiuwekezaji na Nchi za Kiarabu ambazo zinapambana ku diversify Uchumi zao kutoka kutegemea Mafuta na kutafuta vyanzo vingine lakini hapa...
6 Reactions
55 Replies
2K Views
Israeli hawana chaguo ila kuchukua hatua. Uongo wa Hamas ya Palestina kusema Gaza ina njaa na huku magaidi hao kuwatesa mateka wa Israel katika mahandaki yao huko Gaza na israel ilishaapa mauaji...
3 Reactions
17 Replies
952 Views
Nilishaandika uzi hapa, Historia yq Urusi na vita zake. Si allied wa kumtegemea hata siku moja. Urusi ameshawageuka allied wake wengi before, Diplomasia ya Urusi ni baada ya kushindwa kabisa...
3 Reactions
31 Replies
1K Views
Back
Top Bottom