Wakuu,
Sema watu 100 ni wengi jamani tuacheni masihara.
Alafu Trump huyu baba alipunguza budget ya National Weather Service (NWS) na kusababisha watu 600 kufukuzwa kazi. Leo majanga kama haya...
Rais Donald Trump amegundulika kuwa na tatizo la mzunguko wa damu kwenye miguu, linalojulikana kitaalamu kama chronic venous insufficiency, baada ya kufanyiwa uchunguzi na madaktari wa Ikulu ya...
Jeshi la Israel (IDF) lashutumiwa kwa kulenga kanisa kwa makusudi
Kardinali Pierbattista Pizzaballa amesema:
“Tunachojua kwa hakika ni kwamba tanki — IDF wanasema kwa bahati mbaya — lakini sisi...
Arusha, Tanzania – 18 Julai 2025:
Katika hatua ya kihistoria ya kutetea utawala wa sheria, haki, na haki za binadamu katika Afrika Mashariki, watetezi wawili mashuhuri wa haki za binadamu – Bi...
Rais wa Cameroon mwenye umri wa miaka 92, Paul Biya amabaye ni kiongozi mkongwe zaidi duniani kwa sasa ametekeleza mabadiliko makubwa katika safu ya juu ya jeshi siku chache tu baada ya kutangaza...
Watu wengi wasiopenda demokrasia kila mara hupenda kutolea mifano ya nchi za uarabuni zenye raia wenye maisha bora sana kiuchumi pasipo kuwepo na utawala bora kwenye nchi zao. Watu wa haina hii...
Rais wa zamani wa Marekani, Barack Obama, ameonya dhidi ya mwenendo wa kisiasa wa Donald Trump, akisema kuwa hatua kama kusitisha vibali vya usalama na kufuta mikataba kwa kampuni zinazohusishwa...
Utawala wa kijeshi wa Burkina Faso umevunjilia mbali tume ya uchaguzi nchini humo ukiitaja kuwa ni ufujaji wa fedha.
Badala yake Wizara ya Mambo ya Ndani itashughulikia uchaguzi katika siku...
Mtangazaji wa kituo cha televisheni ya taifa nchini Syria alilazimika kusitisha matangazo ya moja kwa moja baada ya mlipuko mkubwa kusikika karibu na jengo la studio, kufuatia mashambulizi ya anga...
Vijana wa miaka 16 na 17 wataweza kupiga kura katika uchaguzi mkuu ujao, kufuatia mpango wa serikali wa kushusha umri wa chini wa kupiga kura.
Ahadi hiyo ni sehemu ya hatua kadhaa...
Iran’s political fault lines are widening in the aftermath of the 12-day war with Israel, with President Masoud Pezeshkian facing accusations of attempting a coup against Supreme Leader Ali...
Rais wa Marekani Donald Trump kasema kuna habari njema huko Gaza!
Julai 16, 2025 Rais wa Marekani Donald Trump alitangaza bila kufafanua kuwa “kuna habari njema kuhusu Gaza” katika hafla ya Ikulu...
Habari za muda huu ni kuwa Israel inashambulia Ikulu na Makao Makuu ya jeshi la Syria baada ya Majeshi ya Syria kuua watu wa jamii ya Druze.
Baraza la Ushirikiano wa Ghuba (GCC) limeilaani kwa...
Leading climate engineering and geoengineering expert Dane Wigington has taken a centre stage in warning about the escalating threats to Earth's biosphere.
Dane Wigington has delivered this...
By Max Boot: Columnist Covering National Security.
So it was all the more shocking to read that hundreds of supporters of Kataib Hezbollah, an Iranian-backed militia, broke into the compound on...
Baada ya tukio la kutumika kwa silaha za kemikali dhidi ya Raia linalodaiwa kutekelezwa na serikali ya Syria,Marekani ikiungwa na mkono na Ufaransa na Uingereza zimetoa matamko makali zote...
Rais wa Marekani Donald Trump ameashiria kauli "kuu" kuhusu Ukraine hii leo, huku kukiwa na kile kinachoonekana kuzidi kukasirishwa na Rais wa Urusi Vladimir Putin.
Siku ya Jumapili usiku, Trump...
Tokea mwaka 1944, baada ya kutengeneza mfumo wa Bretton-Woods hakuna taifa ambalo limewahi kuwa na uchumi mkubwa kama Marekani. Kufika mwaka 1945, Marekani ilikuwa inamiliki nusu nzima ya uchumi...
Huyu jamaa ni mkorofi sana,
Kaenda na mabaki ya ndege ya Irani ambayo haina rubani (Drone) akamuuliza waziri wa Iran kama anaikumbuka na akasema ni lazima aikumbuke kwasababu ni yao. Akatuma...
Wapalestina wasiopungua 20 wameripotiwa kupoteza maisha siku ya Julai 16,2025, katika kituo cha kugawa misaada cha Gaza Humanitarian Foundation (GHF) kilichopo Khan Younis, kusini mwa Ukanda wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.