“Gideon's Chariots II Underway” Magaidi wajiandae kuteka ndoano!!

“Gideon's Chariots II Underway” Magaidi wajiandae kuteka ndoano!!

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
9,000
Reaction score
7,618
IDF inasema inakamilisha maandalizi ya mwito mkubwa wa askari wa akiba kabla ya Operesheni ya Gideon's Chariots II. Wanajeshi wanapewa zana kamili za kivita na kupewa mafunzo kwa ajili ya vita vya mijini na uwanjani, huku timu za vifaa zikifanya kazi chini ya moto kukarabati magari ya kivita na kupata hali zinazofaa kwa wanajeshi wa kusini.

Kando na utayari wa mapigano, jeshi pia linaongeza msaada kwa askari wa akiba na familia zao. Kurugenzi ya Wafanyakazi ilisisitiza kuwa kupunguza mizigo ya kibinafsi na ya vifaa ni kipaumbele cha juu, wakati uongozi wa IDF ulisisitiza shukrani zake kwa jukumu la askari wa akiba katika usalama wa Israeli wakati vikosi vinapojiandaa kwa operesheni iliyopanuliwa.

🎥 IDF
 
IDF inasema inakamilisha maandalizi ya mwito mkubwa wa askari wa akiba kabla ya Operesheni ya Gideon's Chariots II. Wanajeshi wanapewa zana kamili za kivita na kupewa mafunzo kwa ajili ya vita vya mijini na uwanjani, huku timu za vifaa zikifanya kazi chini ya moto kukarabati magari ya kivita na kupata hali zinazofaa kwa wanajeshi wa kusini.

Kando na utayari wa mapigano, jeshi pia linaongeza msaada kwa askari wa akiba na familia zao. Kurugenzi ya Wafanyakazi ilisisitiza kuwa kupunguza mizigo ya kibinafsi na ya vifaa ni kipaumbele cha juu, wakati uongozi wa IDF ulisisitiza shukrani zake kwa jukumu la askari wa akiba katika usalama wa Israeli wakati vikosi vinapojiandaa kwa operesheni iliyopanuliwa.

🎥 IDF
Malkia Zumaridi tumekusikia, tupo na ww mpaka mayahudi wakuuue
 
Nikiangalia hako kamtaa kalivyo kadogo alafu kamezungukwa pande zote na silaha za kisasa kabisa ulimwenguni nashindwa kuwaelewa wayahudi wanavyosifiwa ujinga
Ni kwa nini hushangai kwamba hao wanaokazunguka hako kamtaa tena wanazo silaha za kisasa kabisa Hakuna anayethubutu kurusha jiwe kwa Myahudi.
Kuna mahali nilisoma hadithi ya Jitu kubwa liloitwa Goliath lilikuwa linawakebehi na kuwadhihaki hao Wayahudi lakini likaja kuuawa na kakijana ka-kiyahudi kadogo tena dhaifu kwa kutumia kombeo na kokoto kalikokuwa kanachunga kondoo.
 
Ni kwa nini hushangai kwamba hao wanaokazunguka hako kamtaa tena wanazo silaha za kisasa kabisa Hakuna anayethubutu kurusha jiwe kwa Myahudi.
Kuna mahali nilisoma hadithi ya Jitu kubwa liloitwa Goliath lilikuwa linawakebehi na kuwadhihaki hao Wayahudi lakini likaja kuuawa na kakijana ka-kiyahudi kadogo tena dhaifu kwa kutumia kombeo na kokoto kalikokuwa kanachunga kondoo.
Naona umekazia zaidi nilichoandika
 
Yani Hawa na mavita sijui HUWA wanafaidika nini
Hawafaidiki na chochote ila mara nyingi huwa wanachokozwa na kutokana na historia ya mapito yao huwa wanajibu mapigo kikamilifu na kwa hasira zote - hawaangalii makunyanzi na pia humnyang'anya adui eneo alilokuwa analitumia kufanya uchokozi.
 
Operation Gideon's Chariots II tayari imeanza usiku huu vifaru na ndege vita tayari kusonga mbele na kushambulia maeneo ya magaidi!!!
 

Attachments

  • 112.mp4
    2.8 MB
Operation Gideon's Chariots II tayari imeanza usiku huu vifaru na ndege vita tayari kusonga mbele na kushambulia maeneo ya magaidi!!!
Kama hii habari ni ya ukweli, basi yajayo yatakuwa yamejaa simanzi na hayatafurahisha.
 
Hawafaidiki na chochote ila mara nyingi huwa wanachokozwa na kutokana na historia ya mapito yao huwa wanajibu mapigo kikamilifu na kwa hasira zote - hawaangalii makunyanzi na pia humnyang'anya adui eneo alilokuwa analitumia kufanya uchokozi.
Ipo siku si watakutana na wahuni wapotezwe mkuu
 
Ipo siku si watakutana na wahuni wapotezwe mkuu
Labda itakuja hiyo siku. Lakini wote wajanja na wenye nguvu waliojaribu au kuthubutu walijikuta wameteketezwa jumla. Tusubiri hao wahuni ulosema tuone utofauti na ujasiri wao. Muda utasema.
 
Back
Top Bottom