Jaji anayechunguza madai ya wizi wa fedha dhidi ya mke wa Waziri Mkuu wa Uhispania, Pedro Sanchez, Begona Gomez, ameagiza afikishwe mahakamani kusikilizwa kesi, kwa mujibu wa hati ya mahakama...
Septemba 18, 2025 mji mkuu wa Guinea, Conakry, ulijaa shughuli za kampeni huku wananchi wakijiandaa kupiga kura ya marekebisho ya katiba ambayo inaweza kumruhusu kiongozi wa mapinduzi Col. Mamadi...
Video hii inaonyesha Muonekano wa Mji wa Gaza July 2023 kabla ya Mashambulizi ya Jeshi la Israel kwenye Mji huo Septemba 1, 2025.
--------------------
As Israeli bombardment intensified...
Serikali nchini Madagascar imepiga marufuku ya kutoka nje usiku kufuatia maandamano yaliyoendelea nchini humo ambapo polisi wamelazimika kutumia risasi za mpira na gesi ya kutowa machozi kutawanya...
Jeshi la anga la Israel likishirikiana na wanamaji jioni hii wameamua kwenda kuwasalimia wahouth huko Yemen, lengo lao kubwa ni kumuona kiongozi wao Mkuu Abd al-Malik al-Houthi.
Taarifa Kamili...
Akili Mnemba (Artificial Intelligence au AI) hutumia kompyuta kufanya kazi ambazo kwa kawaida zingehitaji akili ya binadamu. Siku hizi AI inatumika katika maisha ya kila siku, mfano wasaidizi wa...
Akielekea New york City, Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu anasema atatumia hotuba ya United Nations General Assembly (UNGA) kuwashutumu viongozi wa dunia wanaoitambua Palestina
Waziri Mkuu...
Rais wa Malawi, ambaye pia ni mwenyekiti wa SADC, Lazarus Chakwera ametoa wito kwa wananchi wa visiwa vya Shelisheli kujitokeza kupiga kura ili kushiriki mchakato wa maendeleo katika nchi yao...
Spika wa Bunge la Taifa la Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo, Vital Kamerhe amejiuzulu muda mfupi kabla ya kufanyika kwa kura ya maoni iliyolenga kumwondoa madarakani. Akitangaza hatua hiyo...
Siku za karibuni alianza kupeleka drones Poland. Akarusha ndege kwenye anga la Estonia. Siku hizi mbili kapeleka drones Dernmark na Norway.
Hadi uwanja wa ndege Copennhagen ulifungwa.
Russia...
Katika Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa, Rais wa Marekani Donald Trump alilaani madola ya Magharibi kwa kulitambua taifa fake la Palestina. Alisema kuwa hatua kama hiyo itakuwa thawabu kwa "unyama...
Zaidi ya watu 200 wamekamatwa na polisi jijini Manila baada ya makabiliano na waandamanaji waliovaa barakoa, siku moja baada ya maandamano makubwa ya kupinga ufisadi, Taarifa iliyotolewa na...
Kosa na Maelezo ya Hukumu:
Kosa kuu: Njama ya jinai (criminal conspiracy) katika kufadhili kampeni yake ya urais wa 2007. Anashtakiwa kwa kukubali mamilioni ya euro (karibu €50 milioni) kutoka...
Rais wa zamani wa Ufaransa, Nicolas Sarkozy, anakabiliwa na kifungo cha hadi miaka 10 jela endapo mahakama ya Paris itamkuta na hatia ya kutumia kificho fedha kutoka serikali ya aliyekuwa dikteta...
Upinzani Guinea umepinga kura ya maoni ya katiba iliyozua utata, ikidaiwa kufungua njia kwa kiongozi wa kijeshi wa nchi hiyo kugombea urais. Matokeo rasmi yaliyotangazwa Septemba 23, 2025...
Habari za ukatili dhidi ya wafanyakazi wa ndani ni jambo la kawaida sana huko uarabuni ila ajabu ni kwamba mabinti Waafrika huwaambii kitu kuhusu kwenda huko uarabuni kuteseka!
Wenye imani na kuwaonea uchungu wapalestina nendeni mkawachukue ila siku mtajikuta nyie ndio mkipigwa viboko.
Hawa watu bora tu mataifa yawatambue waachiwe taifa lao ila sio kwenda kwenye mataifa...
Wakuu, Marekani imeweka bayana kuwa makubaliano ya mauziano hayo ya Mtandao wa Tiktok yatafanyika wiki hii. Mmiliki huyo mpya Larry Ellison ndio mtu binafsi anayeongoza kwa kulipa misaada jeshi la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.