Wataalamu wa Shirika la Ujasusi la Kijeshi la Ukraine (HUR) wamefanikiwa kuvunja ulinzi wa Jeshi la Majini la Urusi na kupata nyaraka za ndani zinazohusu manowari mpya ya daraja la Project 955A...
Muungano wa kijeshi wa NATO unaratibu ufikishaji wa kawaida wa silaha kubwa kwa Ukraine baada ya Uholanzi kusema itatowa mfumo wa ulinzi wa anga, risasi na msaada mwengine wa kijeshi wenye thamani...
Ni ukweli kwamba anachofanya Ibrahim Traore ni jambo zuri in term of mabadiliko ni jambo ambalo waburkinafaso wanafurahia na waafrika wote wanafurahia
Hawa viongozi wengi wa Afrika ambao ni...
Jeshi la Israel linasema limefanikiwa kulidunguwa kombora lililorushwa kutoka nchini Yemen mapema leo.
Taarifa hiyo imekuja baada ya milio ya ving'ora vya hadhari kusikika kwenye maeneo kadhaa ya...
Waziri Mkuu wa Israel, Benjamin Netanyahu, amesema hakuna mtu anayekufa kwa njaa Gaza na kwamba Israel haijawahi kuwa na sera ya kuwanyima Wapalestina chakula
“Tunaruhusu misaada ya kibinadamu...
Trump anapaswa kukumbuka jinsi 'mkono uliokufa' ulivyo hatari," ni maneno ambayo rais wa zamani wa Urusi Dmitry Medvedev alitumia akihutubia Marekani, suala ambalo liliikasirisha Ikulu ya...
Wakuu,
Kwanini China kila ugonjwa mbaya unaanziaga huko? Baada ya COVID sasa umekuja huu mwingine unaitwa Chikungunya na kuna watu 7,000 tayari wameathirika.
Mnaonaje China ikatengwa ili mambo...
Shirika la anga la Marekani (Nasa) limepanga kuharakisha ujenzi wa kinu cha nyuklia kwenye Mwezi ifikapo 2030 kama sehemu ya mpango wa kuanzisha makazi ya kudumu ya binadamu kwenye uso wa Mwezi...
Kinachoweza kubadilisha kinachoendelea kutokea Palestina hakuna isipokuwa ni rehma za Allah.Si mataifa majirani,ndugu wala marafiki wa Ulaya pamoja wapenda haki duniani wanaoweza kubadili...
Wizara ya Nishati ya Marekani hivi karibuni ilitangaza kukamilika kwa utengenezaji wa bomu jipya la nyuklia aina ya B61-13. Wakati dhana ya jumuiya yenye hatma ya pamoja ya binadamu inazidi...
Babu kachoka na visingizio na kutishiwa Nyau eti Uingereza sijui Canada kaamua kuwaambia kama Mbwai mbwai tu so Palestina kutawanywa watakuwa Taifa katika nchi kadhaa Duniani ila Sio katika Ardhi...
Waziri wa Usalama wa Israel, Itamar Ben-Gvir ametembelea eneo la Msikiti wa al-Aqsa mjini Jerusalem na kusali huko, na kukiuka mpango wa miongo kadhaa unaohusu mojawapo ya maeneo nyeti zaidi...
Kijana mwenye kipaji cha michezo aitwaye Abu Khater mwenye umri wa miaka 17 amefariki kwa kukosa kula chakula na kunywa maji kwa muda mrefu.
Kwa mujibu wa manesi wa magofu ya hospitali ya Ashifa...
Wanaukumbi.
Amir alikuwa mvulana mdogo ambaye alifika bila viatu mwishoni mwa Mei katika mojawapo ya vituo vya usambazaji chakula vya Wakfu wa Gaza Humanitarian Foundation (GHF). Alikuwa...
Mahakama ya Moldova imemuhukumu Kiongozi wa Pro-Kremlin , Evgenia Gutul kifungo cha miaka saba jela kwa kosa la kuingiza fedha kutoka Urusi ili kufadhili chama cha siasa.
Gutul amekanusha...
Huyu bwana alianzisha vita ambayo hawezi kuimudu. Kupigana two frontlines kwa wakati mmoja ilikuwa ni kosa moja kubwa la kiufundi lililomgharimu. Atleast angepigana moja kwanza iishe.
Yaani...
Wanaukumbi.
Abu Obaida:
•Al-Qassam Brigades are ready to cooperate positively and respond to any request by the Red Cross to deliver food and medicine to enemy prisoners.
•We condition this on...
Kikosi maalum cha urusi toka spetnaz cha spat-12,kilifanya operation yenye uthubutu wa hali ya juu ndani ya ukraine
Operation hiyo iliyodumu kwa dakika 15 usiku mwingi,ilifanyika kwenye kambi...
Kifo katika maisha ya dunia ni kitu cha lazima ambacho humpata kila kiumbe bila uchaguzi.Wako wanaokufa wachanga,wazee na wakongwe.
Vifo navyo hutofautiana kutokana kwa namna nyingi sana.Kilicho...
Likizo ya Siku ya Mei Mosi nchini China inageuka kuwa ya kitamaduni isiyo ya kawaida!
Kuanzia maonyesho ya kuvutia hadi bidhaa za kitamaduni zinazovuma, majumba ya makumbusho sasa ni chaguo bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.