International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Malawi: Rais Joyce Banda amtimua kazi Callista Mutharika (Mke wa aliyekuwa Rais wa Malawi)...
0 Reactions
7 Replies
9K Views
Ni sera yake mpya aliyosaini leo ikiitwa Trump Gold Card, amesema hata Oligarchs wa Russia wanaruhusiwa kulipa na kununua uraia wa Marekani.
6 Reactions
43 Replies
1K Views
Malawi na Zambia zimejijengea utamaduni wa uwajibikaji wa kufanya uchaguzi wa haki, wazi, na unaokidhi viwango tofauti na Bongolalaland ambayo hufanya uchafuzi na kuuita uchaguzi. Baada ya kura...
2 Reactions
5 Replies
377 Views
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika jimbo la Darfur nchini Sudan baada ya shambulio baya la ndege isiyo na rubani siku ya Ijumaa kuwauwa waumini...
0 Reactions
2 Replies
245 Views
Unafikiri wakiichukua tel aviv na jerusalem ndio itakuwa mwisho wao? Wataipata israel yote alafu kama kawaida yao wataanza kupigana wao kwa wao kwamba nani ana jukumu kuu la kuilinda jerusalem...
2 Reactions
22 Replies
612 Views
Chama tawala nchini Malawi cha Congress Party (MCP) kimesema kuwa kimegundua dosari katika kuhesabu kura katika karibu nusu ya wilaya za nchi hiyo baada ya uchaguzi wa wiki hii. Wakati MCP...
1 Reactions
2 Replies
373 Views
Wakuu, Yaani hata huko Marekani napo hakuna uhuru kama tunaoufikiria. Hili tukio halina tofauti sana na lile la Askari wa Tanzania kumvamia yule jamaa mbele ya mahakama na kuanza kumpiga...
2 Reactions
29 Replies
1K Views
Huu ndio ujirani Mwema, Saudi Arabia wamezuia makombora ya magaidi wa Yamen yaliyokuwa yakielekea Israel, Makombora hayo yalionekana yakipita juu ya mji wa Madinah karibu na msikiti Masjid an-Nabawī
3 Reactions
39 Replies
2K Views
Brenda Biya, binti wa Rais wa Cameroon Paul Biya, amewaomba wananchi wa nchi hiyo kutompigia kura baba yake katika uchaguzi wa Oktoba 2025. Kupitia moja ya matangazo ya moja kwa moja kwenye...
4 Reactions
15 Replies
1K Views
Gaza bye bye Leo mapema. Israeli wameingiza jeshi moja kwa moja kutwaa kipande cha Gaza kilichobakia. Wametoa onyo kwa raia waondoke maeneo yote ya Gaza hadi eneo walilopangiwa lililo karibu na...
5 Reactions
27 Replies
1K Views
Iran wamekuja na technology mpya ya Missiles hukioni kichwa we utaishia kudaka target sio orignal hio hio Missile moja inaonyesha kama ina vichwa vingi hivyo Air defense zitakuwa zinafata hizo...
4 Reactions
9 Replies
764 Views
Mahakama nchini Afrika Kusini imekataa ombi la familia ya aliyekuwa rais wa Zambia, Edgar Lungu, waliotaka kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliomtaka azikwe nchini kwake. Lungu, aliyekuwa rais wa...
3 Reactions
15 Replies
809 Views
Mara nyingi tumekuwa tukiweka mifano ya USA kama ndio Target, lakini kwa wakati husika inabidi tupatumie kama what not to became; na upuuzi unaofanyika sasa unaweza kupelekea ionekane kama ni the...
2 Reactions
62 Replies
2K Views
  • Closed
Huwa najiulliza sana kwanini nchi nyingi sana ambazo zina idadi kubwa sana za wakristo kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe( civil war) kwa mfano Liberia, sierra leone, Guinea Bissau, Sudani kusini...
3 Reactions
8 Replies
599 Views
Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa watu 22 wameuawa kwa risasi na watu wasiojulikana katika mkoa wa Tillabéri, magharibi mwa Niger, wakati wa sherehe ya ubatizo. Mashuhuda wamesema...
1 Reactions
13 Replies
593 Views
Ukishangaa ya Waiba Kura yaani Upige, Usipige, itapigwa... Kuna nchi zinalazimisha ukapige! na Ajabu zaidi kuna zile zinaruhusu mtu kutuma mtu akampigie kwa kumpa Power of Attorney...
2 Reactions
31 Replies
1K Views
Chama Kikuu cha upinzani, Democratic Progress kimemudhinisha Rais wa zamani, Peter Mutharika kuwa Mgombea wake katika Uchaguzi wa Septemba 2025 ====== Malawi's main opposition party, the...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Wananchi wa Malawi wanatarajiwa kupiga kura Septemba 16, 2025 kuchagua rais mpya, wabunge na madiwani, ikiwa ni baada ya miaka mitano tangu uchaguzi uliopita ambapo vyama 17 vitashiriki huku...
2 Reactions
10 Replies
1K Views
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa watu 31 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Spetmeba 2025. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros...
0 Reactions
0 Replies
259 Views
Wanakumbi. Mataifa ya Kiarabu yameamua kuunda kikosi cha kijeshi cha kwa mtindo wa NATO. Nchi za Mashariki ya Kati zinaungana kupigana na Israel pindi atakaposhambulia nchi yeyote ya Mashariki...
9 Reactions
188 Replies
4K Views
Back
Top Bottom