Malawi na Zambia zimejijengea utamaduni wa uwajibikaji wa kufanya uchaguzi wa haki, wazi, na unaokidhi viwango tofauti na Bongolalaland ambayo hufanya uchafuzi na kuuita uchaguzi.
Baada ya kura...
Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa ametoa wito wa kusitishwa mara moja kwa mapigano katika jimbo la Darfur nchini Sudan baada ya shambulio baya la ndege isiyo na rubani siku ya Ijumaa kuwauwa waumini...
Unafikiri wakiichukua tel aviv na jerusalem ndio itakuwa mwisho wao?
Wataipata israel yote alafu kama kawaida yao wataanza kupigana wao kwa wao kwamba nani ana jukumu kuu la kuilinda jerusalem...
Chama tawala nchini Malawi cha Congress Party (MCP) kimesema kuwa kimegundua dosari katika kuhesabu kura katika karibu nusu ya wilaya za nchi hiyo baada ya uchaguzi wa wiki hii.
Wakati MCP...
Wakuu,
Yaani hata huko Marekani napo hakuna uhuru kama tunaoufikiria.
Hili tukio halina tofauti sana na lile la Askari wa Tanzania kumvamia yule jamaa mbele ya mahakama na kuanza kumpiga...
Huu ndio ujirani Mwema, Saudi Arabia wamezuia makombora ya magaidi wa Yamen yaliyokuwa yakielekea Israel, Makombora hayo yalionekana yakipita juu ya mji wa Madinah karibu na msikiti Masjid an-Nabawī
Brenda Biya, binti wa Rais wa Cameroon Paul Biya, amewaomba wananchi wa nchi hiyo kutompigia kura baba yake katika uchaguzi wa Oktoba 2025.
Kupitia moja ya matangazo ya moja kwa moja kwenye...
Gaza bye bye
Leo mapema. Israeli wameingiza jeshi moja kwa moja kutwaa kipande cha Gaza kilichobakia.
Wametoa onyo kwa raia waondoke maeneo yote ya Gaza hadi eneo walilopangiwa lililo karibu na...
Iran wamekuja na technology mpya ya Missiles hukioni kichwa we utaishia kudaka target sio orignal hio hio Missile moja inaonyesha kama ina vichwa vingi hivyo Air defense zitakuwa zinafata hizo...
Mahakama nchini Afrika Kusini imekataa ombi la familia ya aliyekuwa rais wa Zambia, Edgar Lungu, waliotaka kukata rufaa dhidi ya uamuzi uliomtaka azikwe nchini kwake. Lungu, aliyekuwa rais wa...
Mara nyingi tumekuwa tukiweka mifano ya USA kama ndio Target, lakini kwa wakati husika inabidi tupatumie kama what not to became; na upuuzi unaofanyika sasa unaweza kupelekea ionekane kama ni the...
Huwa najiulliza sana kwanini nchi nyingi sana ambazo zina idadi kubwa sana za wakristo kuna vita vya wenyewe kwa wenyewe( civil war) kwa mfano Liberia, sierra leone, Guinea Bissau, Sudani kusini...
Shirika la habari la AFP limeripoti kuwa watu 22 wameuawa kwa risasi na watu wasiojulikana katika mkoa wa Tillabéri, magharibi mwa Niger, wakati wa sherehe ya ubatizo. Mashuhuda wamesema...
Ukishangaa ya Waiba Kura yaani Upige, Usipige, itapigwa... Kuna nchi zinalazimisha ukapige! na Ajabu zaidi kuna zile zinaruhusu mtu kutuma mtu akampigie kwa kumpa Power of Attorney...
Chama Kikuu cha upinzani, Democratic Progress kimemudhinisha Rais wa zamani, Peter Mutharika kuwa Mgombea wake katika Uchaguzi wa Septemba 2025
======
Malawi's main opposition party, the...
Wananchi wa Malawi wanatarajiwa kupiga kura Septemba 16, 2025 kuchagua rais mpya, wabunge na madiwani, ikiwa ni baada ya miaka mitano tangu uchaguzi uliopita ambapo vyama 17 vitashiriki huku...
Shirika la Afya Duniani (WHO) limetangaza kuwa watu 31 wamefariki dunia kutokana na mlipuko wa Ebola nchini Jamhuri ya Kidemokrasia ya Congo (DRC) Spetmeba 2025. Mkurugenzi Mkuu wa WHO, Tedros...
Wanakumbi.
Mataifa ya Kiarabu yameamua kuunda kikosi cha kijeshi cha kwa mtindo wa NATO.
Nchi za Mashariki ya Kati zinaungana kupigana na Israel pindi atakaposhambulia nchi yeyote ya Mashariki...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.