International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

Baadhi ya wafanyakazi wameelekezwa kuondoka katika kambi ya kijeshi ya Marekani ya Al Udeid nchini Qatar ifikapo jioni ya Jumatano, kwa mujibu wa ripoti ya shirika la habari la Reuters lililonukuu...
2 Reactions
14 Replies
564 Views
Sababu ya kuvamiwa kwa Iran Wazee wa propaganda wameshaanza kupenyeza uzushi kuwa Marekani (US) inataka kuivamia Iran kwa sababu ya Uislamu. Hoja hii haina mashiko hata kidogo. Kama sababu...
6 Reactions
5 Replies
537 Views
Rais wa Marekani Donald, ajiita ‘Kaimu Rais wa Venezuela’ baada ya zaidi ya wiki moja tangu jeshi la Marekani kuivamia Venezuela na kumkamata rais wake, Nicolás Maduro. Kupitia mtandao wake wa...
4 Reactions
33 Replies
927 Views
Rais korea kaskazini ni comedian Sana Mambo yakishaharibika yeye huingia kwenye mahandaki na masigara yake hatoki hadi Hali itulie🤣🤣 Israel alivokuwa anamshughulikia Iran alikauka Kama hayupo...
4 Reactions
15 Replies
601 Views
Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa mataifa yote duniani yanayofanya biashara na Iran, akitangaza kuwa nchi yoyote inayoendelea na itakayofanya hivyo itakabiliwa na ushuru mpya wa...
3 Reactions
14 Replies
468 Views
👇 Ritz you are a fraud Soma Tehran, Wairani milioni 1.2 waliandamana kuiunga mkono serikali yao
2 Reactions
10 Replies
348 Views
Kwa mujibu wa maelekezo ya Elon Musk, wahandisi wa SpaceX wanafanya kazi usiku na mchana kutafuta njia ya kupita uzuiaji wa Starlink unaofanywa na Jamhuri ya Kiislamu na kuwezesha upatikanaji wa...
8 Reactions
11 Replies
538 Views
Trump aonya kuhusu mashambulizi zaidi nchini Nigeria ikiwa Wakristo 'wataendelea kuuawa'. Rais wa Marekani Donald Trump ameonya kuwa anaweza kuamuru mashambulizi zaidi ya anga dhidi ya Nigeria...
1 Reactions
6 Replies
236 Views
Kwa mara ya kwanza ndege za Mashambulizi ya Nyuklia za Russia Chapa Tu 160, Il 62 na An 124 zimetua bara la Afrika aidha ni mikakati ya kiulinzi na kivita inaasukwa. Update: Russia is sending...
16 Reactions
80 Replies
5K Views
Wakulima nchini Ufaransa wameandamana kwa njia ya kushangaza kwa kumwaga takribani tani 30 za viazi nje ya jengo la Bunge la Taifa, wakipinga mkataba wa biashara huria unaopendekezwa kati ya Umoja...
3 Reactions
15 Replies
362 Views
Rais wa Algeria, Abdelmadjid Tebboune, amewataka vijana wa Algeria wanaoishi nje ya nchi katika mazingira magumu na bila vibali halali kurejea nyumbani, akiahidi kurasimisha hali zao kisheria...
0 Reactions
0 Replies
115 Views
Spika wa bunge la Venezuela Jorge Rodriguez amesema zaidi ya watu 400 wameachiliwa kutoka gerezani kama sehemu ya mchakato unaoendelea wa kuachiliwa huru wafungwa wa kisiasa. Akizungumza siku ya...
1 Reactions
1 Replies
142 Views
Jamhuri ya Kidemokrasia ya Kongo (DRC) imekamilisha usafirishaji wake wa kwanza kabisa wa shaba kwenda Marekani kupitia mradi unaoungwa mkono na kampuni ya Mercuria, hatua inayochukuliwa kama...
2 Reactions
3 Replies
258 Views
At least 12,000 people were killed over two nights on January 8 and 9 during protests, Iran International’s editorial board concluded, based on a review of sources and medical data. Exiled Prince...
1 Reactions
16 Replies
685 Views
Ameandika hivyo Rais wa Marekani Donald Trump kwenye mtandao wake wa Truth
7 Reactions
16 Replies
463 Views
Mwaka wa 2026 wa Mawasiliano kati ya Watu wa China na Afrika umezinduliwa hivi karibuni katika makao makuu ya Umoja wa Afrika yaliyoko Addis Ababa, mji mkuu wa Ethiopia. Mwaka huu, takriban...
0 Reactions
2 Replies
225 Views
Hali ya kidiplomasia katika eneo la Arctic imezidi kupamba moto baada ya Greenland kupendekeza kufanya mazungumzo ya moja kwa moja na Marekani kuhusu mustakabali wake. Hatua hii inakuja huku...
1 Reactions
1 Replies
344 Views
  • Redirect
Iran kwa sasa iko kwenye kuzimwa kwa mawasiliano kulikoratibiwa, lengo lake si udhibiti wa usalama pekee bali pia kuficha ukweli. Kukatwa kwa intaneti, kuvurugwa kwa mawasiliano, kufungwa kwa...
0 Reactions
Replies
Views
Ubalozi wa Marekani nchini Iran siku ya Jumatatu umetoa taarifa mtandaoni ya onyo la usafiri ikiwataka raia wa Marekani kuondoka Iran mara moja huku machafuko yakiendelea kusambaa kote nchini...
0 Reactions
0 Replies
251 Views
Somalia imetangaza kukatiza uhusiano na Umoja wa Falme za Kiarabu, na kufuta makubaliano yote ya ushirikiano kati ya nchi hizo mbili. Katika taarifa iliyotolewa baada ya kikao cha baraza la...
0 Reactions
5 Replies
283 Views
Back
Top Bottom