International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

22 February 2026 Jalisco, Mexico Baada ya kutumia miaka mingi kukwepa mamlaka duniani kote, kiongozi mwenye nguvu wa genge la wahalifu wa Mexico aliuawa wakati wa operesheni ya kijeshi, maafisa...
10 Reactions
43 Replies
2K Views
Sasa Iran anazishambulia nchi za waarabu wenzake ikiwemo nchi yao ya Saudi Arabia yenye chimbuko la wavaa kobazi alafu unakuta mvaa kobazi wa Yombo Vituka au Bonyokwa anashangilia Iran kuwapiga...
6 Reactions
37 Replies
656 Views
Msemaji wa Wizara ya Mambo ya Nje ya Iran, Esmail Baghaei, leo alitaka mkutano wa dharura wa Baraza la Usalama la Umoja wa Mataifa ili kuzuia kile ambacho Iran inakitaja kama mashambulizi ya anga...
2 Reactions
7 Replies
388 Views
Waarabu waliokutana na kisasi Cha Israel wamenyamaza kimya hawatamani hata kuwasikia Gaza kupitia magaidi wa hamas 7october walichokoza kidogo tu Israel Leo miji yao ni magofu wanagombea CHAKULA...
19 Reactions
61 Replies
2K Views
TAARIFA MPYA: Iran imesema itawafundisha Israel na Marekani somo la kihistoria,” ikisema itatoa jibu kali baada ya operesheni ya pamoja ya kijeshi ya Marekani na Israel dhidi yake, kulingana na...
5 Reactions
16 Replies
654 Views
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York.... Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache...
6 Reactions
35 Replies
657 Views
Wakuu Akizungumza muda mfupi baada ya shambulio kwa Iran, Donald Trump amesema kuwa Jeshi la Iran linatakiwa ku-surrender na kuacha kupambana kumtetea Ayatollah "To the members of the Islamic...
1 Reactions
12 Replies
518 Views
TAARIFA MPYA: UAE imesema mabaki ya kombora la Iran yaliyoanguka yameangukia maeneo ya makazi jijini Abu Dhabi, na kwamba shambulio hilo limekiuka mamlaka yake ya kikatiba; UAE imehifadhi haki ya...
4 Reactions
15 Replies
644 Views
TAARIFA MPYA: Italia imethibitisha kwamba kombora la Iran limepigia uwanja wa ndege unaotumika na vikosi vya Italia huko Kuwait, likisababisha uharibifu mkubwa kwenye reli ya ndege, lakini askari...
2 Reactions
6 Replies
358 Views
Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni ya AI ya Anthropic, Dario Amodei, amesema kampuni yake haitakubali shinikizo kutoka Wizara ya Ulinzi ya Marekani (Pentagon) kuondoa vizuizi vya usalama kwenye...
1 Reactions
5 Replies
221 Views
Imagine you are sitting at a table in Geneva. It’s late February, 2026. For months, the world has been holding its breath. You are there to negotiate the limits of Iran’s nuclear and missile...
0 Reactions
1 Replies
342 Views
https://www.instagram.com/p/DVQqDVZkm_4/?igsh=bW4xb3g0dWd1aDJv
0 Reactions
3 Replies
232 Views
Enyi ndugu zangu watanzania, msiwe mashabiki na wapiga soga juu ya vita hii inayo endelea Mashariki ya kati, kwani huu ni muendelezo wa kutimia kwa vita kuu ya tatu ya dunia, vita ambayo hakuna...
14 Reactions
177 Replies
7K Views
Chama tawala chafurahi Iran kushambuliwa kwasababu watanzania watahamisha mawazo yao kwemye hiyo vita na kuifatilia na kuacha na kusahau yote yaliyopita hasa october 29.
2 Reactions
1 Replies
125 Views
Wakuu, Haya ni maneno ya Donald Trump baada ya Marekani na Israel kushambulia Iran "Hatimaye, kwa wananchi wa Iran, nasema usiku wa leo kwamba saa ya uhuru wenu imewadia. Kaeni mahali salama...
7 Reactions
31 Replies
678 Views
Paper tiger (Mbwa asiye na meno) kaufyata wakati mwenzake anachezea kipigo. China linapokuja suala la operesheni za kijeshi ni mchumba tu. Wairani walimuomba Trump awasaidie, naye akawaitikia...
7 Reactions
39 Replies
496 Views
Serikali ya Australia chini ya Waziri Mkuu Anthony Albanese imepongeza uamuzi wa Marekani kuendesha operesheni dhidi ya Iran ili kuizuia nchi hiyo kupata silaha za nyuklia na kuzuia tishio la...
0 Reactions
0 Replies
213 Views
TAARIFA MPYA: Qatar imesema inahifadhi haki ya kujibu shambulio la Iran.
2 Reactions
2 Replies
175 Views
  • Redirect
Tayari Israel Bahrain Kuwait USA zinapelekewa moto Jeshi la mtu mmoja
1 Reactions
Replies
Views
Wakuu, Haya ndugu zangu Iran kashaanza kujibu mapigo huku Hii kambi ya Jeshi ya Marekani huko Bahrain imeshambuliwa na Iran
1 Reactions
9 Replies
452 Views
Back
Top Bottom