Kwanini Iran isipige kombola pale California

Kwanini Iran isipige kombola pale California

Mhaya

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
2,592
Reaction score
7,400
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....

Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.

Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.
 
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....

Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.

Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.
Ipo siku naye Ataonja cha moto
 
Back
Top Bottom