Mhaya
JF-Expert Member
- Aug 20, 2023
- 2,592
- 7,398
Shida hapo ni kwa nini Iran hawezi kuthubutu kuishambulia Marekani direct, apige kombola pale New York....
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.
Kama Iran anajiweza apeleke mashambulizi moja kwa moja pale California 😂😂😂😂 aache kupiga kambi za jeshi za Trump kwenye nchi za watu.
Iran unaweza kuta akapiga kombola pale Kenya kwenye kambi za jeshi za USA badala ya kutuma kombola pale Miami.