CCM yafurahi Iran kushambuliwa.

CCM yafurahi Iran kushambuliwa.

Adryz

Senior Member
Joined
Dec 7, 2025
Posts
192
Reaction score
523
Chama tawala chafurahi Iran kushambuliwa kwasababu watanzania watahamisha mawazo yao kwemye hiyo vita na kuifatilia na kuacha na kusahau yote yaliyopita hasa october 29.
 
Kila kitu kwa sisiem ni mtaji.
20260227_095102.jpg
 
Back
Top Bottom