International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

  • Redirect
Kufuatia kuuawa kwa kiongozi wa Irani Dunia ya kiislamu imeonesha Umoja wa hali ya juu sana kulaaani tukio Hilo. Wale waliokuwa wanasema shia siyo waislamu wameaibika!
0 Reactions
Replies
Views
Kwa mujibu wa gazeti la The Times of Israel, Kiongozi Mkuu wa Iran Ayatollah Ali Khamenei ameandaa mpango wa dharura wa kutorokea Urusi iwapo vikosi vyake vya usalama vitashindwa kuzuia ghasia za...
3 Reactions
42 Replies
1K Views
Mods, tafadhali naomba isomeke MASHAMBULIZI, na siyo MASHULIZI. Siku zote nchi inapokuwa katika shida ya amani, chanzo huwa ni watawala waovu wenye kiburi. Israel na Marekani, wanajua kuwa: 1...
1 Reactions
0 Replies
136 Views
Kumekucha naona Iran wametishia kulipua makazi ya Allah endapo Saudi Arabia itafanya shambulizi lolote dhidi yake. Sijui Allah atapona na kama akipona sijui atahamia wapi, au iran watajenga Al...
23 Reactions
49 Replies
1K Views
Iran amepanic balaa.. hadi sasa hajaweza kudondosha hata ndege moja ya israel kati ya ndege nyingi zinazofanya mashambulizi kwenye anga lake. Hadi sasa hajaweza kuzamisha hata meli moja ya...
3 Reactions
23 Replies
573 Views
Katika shambulio la kushtukiza lililotokea leo, Jeshi la Anga la Israel (Israel Defence Forces) limefanikiwa kuwalenga viongozi wakuu wa Jeshi la Iran, kwa msaada wa ushirikiano na Jeshi la...
3 Reactions
13 Replies
593 Views
Oya, ina maana USA wameshindwa kurudia kile walichokifanya Venezuela kwa Iran? Yaani wameshindwa kwenda na makomando wao wa Delta force kumnyakua Ayatollah kama walivyomnyakua Maduro? Daaaaah!!!
4 Reactions
9 Replies
236 Views
Rais wa Marekani Donald Trump ametangaza kuuawa kwa Kiongozi Mkuu wa Iran, Ali Khamenei, baada ya mashambulizi ya anga ya pamoja ya Marekani na Israel kulenga makazi yake siku ya Jumamosi. Trump...
6 Reactions
73 Replies
2K Views
Palestinian Authority imelaani mashambulizi ya Iran dhidi ya nchi za Kiarabu, ikisema hatua hiyo ni ukiukaji wa mamlaka ya nchi husika, inahatarisha usalama wa raia, na inaweza kuongeza zaidi...
1 Reactions
4 Replies
330 Views
Mpaka sasa Iran wamekuwa wakipapaswa tu licha ya viongozi wote kufutwa, ila wameonywa kama wakishupaza shingo, wajiandae kushukiwa na kipigo ambacho hawajawahi kushuhudia siku nyingine kwenye...
2 Reactions
8 Replies
307 Views
Kupitia mambo anayofanya Marekani kwa kuvamia na kushambulia mataifa mengine kwa watu wengi wanekuwa na maoni ya kutaka kuona China ikijibu mapigo kwa kuishambulia Marekani ? Je, watu hawana...
2 Reactions
8 Replies
193 Views
  • Redirect
Iran huwa inatia huruma sana, imekua mazoea sasa kwa Isael kuteka anga ya Iran na pia kufuta viongozi ake, huyu hapa mkuu wa jeshi ameliwa pia... Jamaa ni majuha huwa hawajifunzi kwenye chochote...
4 Reactions
Replies
Views
Juzi kati hapo sisi Tanzania, tuliwaita wazungu Who are you! Siyo kwamba tunaweza kabisa kabisa kuwadunda, la sivyo, ila wajue tu kwamba, na sisi ni wanaume, na wakija juu watake kutupiga, tunazo...
2 Reactions
0 Replies
111 Views
Mambo yanayohusu Marekani na Israel ni uwezo wao wa kijasusi na jinsi wanavyotumia teknolojia yao ya kisasa ya kijeshi kila nafasi inapopatikana. Huwezi kujua kile wanachoweza kufanya mpaka...
2 Reactions
5 Replies
183 Views
Hawa wahindi walijiingiza kwenye dini ya muaabu hadi akili zikawahama, sasa wanaandamana na kufia karibu na ubalozi wa Marekani kisa vita ambavyo vipo mbali sana na wao, utakuta hapo hamna hata...
1 Reactions
4 Replies
206 Views
Ni jambo la kusikitisha kuona mataifa mawili ya Kiislamu yakiingia kwenye mapigano, hasa katika mwezi mtukufu kama Ramadhani. Uhusiano kati ya Pakistan na Afghanistan umekuwa wa mashaka kwa miongo...
2 Reactions
5 Replies
264 Views
  • Redirect
Habari ndio hio ndege za Iran zimeshambulia Base za USA huko Gulf pamoja na Iraq, na pia Iran wameangusha ndege ya kivita ya America. https://youtu.be/pW3xa3eZuU4?si=Mbimlwbq4v-rRN4k...
2 Reactions
Replies
Views
Baada ya Babu Ali 'kupotezwa', ni nani anayetowa kamandi za 'makamanda' wa iliyokuwa IRGC kurusha zile 'penseli'? Au 'makamanda' wamekuwa kama wanamgambo wa Hamas na Hesbollah? Mfano nani saii...
6 Reactions
20 Replies
488 Views
Mmoja anatumia nguvu mia akili kisoda mwingine anatumia nguvu kisoda akili mia Israel na Marekani anatumia akili kubwa na nguvu kidogo matokeo makubwa. Mpaka sasa vifo vingi ni Iran lakini...
0 Reactions
0 Replies
97 Views
Back
Top Bottom