International Forum

News and Stories from rest of the World

On JF:

  • Redirect
Ikiwa ni chini ya siku moja toka Marekani na Iran wafanye mazungumzo huko Ulaya juu ya kusitishwa kwa program ya nuclear ya Iran Leo tarehe 28/02/2026 Israel na Marekani wameishambulia na...
0 Reactions
Replies
Views
New York Times inaripoti kuwa Israel itajikita kulenga “maghala ya makombora ya Iran, vituo vya uzalishaji na launchers,” Huku Marekani ikitarajiwa kulenga “mradi wa nyuklia wa Iran na malengo...
1 Reactions
0 Replies
256 Views
Mnamo tarehe 28 Februari 2026 saa tatu asubuhi Israel imeshambulia Iran mjini Tehran wakiita ni shambulio la "pre emptive strike". Shambulio limepewa jina la "Operation Judah". Maeneo...
1 Reactions
3 Replies
357 Views
Hivi hamjui kuwa current situation ni kwamba muda wowote US na Israel wanaenda kuishambulia Iran kijeshi? Mpango uliopo mezani ni kutumia silaha za nyuklia zilizorutubishwa na urani chache kwa...
4 Reactions
51 Replies
3K Views
Ulimwengu sasa sio wa vita ya vifaru na RPG ,ulimwengu wa drone za kivita ndio maana wenye akili sasa wanawekeza kwenye kuziunda ,kuzitumia na kuzi jamm,sasa sijui m23 wamejiandaa kwa elimu ya...
0 Reactions
0 Replies
138 Views
Kwa wanaofuatia kwa karibu, Rasi wa Marekani Donald Trump, kwa kweli hakuitaka hii vita dhidi ya Iran. Si kwa sababu ghafla amegeuka Baba Mtakatifu, la, bali timing si muwafaka kabisa kwake...
5 Reactions
8 Replies
446 Views
Baada ya ziara ya waziri Mkuu wa India huko Israel nimeanza kupata mashaka na Maendeleo ya BRICKS hivi wanaendeleaje huko?
2 Reactions
19 Replies
298 Views
Vita inakuja sahivi wanahesabu masaa tu, huko Israel mahandaki yashafunguliwa Marekani wenyewe washaanza kuondia wanajeshi kwenye bases zao...Sidhani kama round hii itapita bila mtwangano kutokea
4 Reactions
16 Replies
265 Views
Wakati wa hotuba ya rais kwa bunge la Marekani inayoitwa State of union, Democrats wameionyesha dunia kwamba wao ndio tatizo kubwa nchini humo, lakini wao ndio wenye media kubwa hivyo ni rahisi...
6 Reactions
45 Replies
740 Views
Haya mambo bana, unakuta mtaani changudoa malaya kabisa unamuagizia beer na kila kitu ila ukitaja kitimoto anakuambia yeye muislamu. Sasa nchi ya Senegal kwao huko asilimia 97% waislamu ila...
16 Reactions
78 Replies
3K Views
President Boko stated that any official discussions or business deals concerning Botswana’s resources should happen within the country. He said: "If there is any business or official engagement...
6 Reactions
6 Replies
417 Views
Balozi wa marekani nchini Israeli Mike huckabee amewaambia maafisa wa ubalozi ya kwamba kama wanataka kuondoka ndani ya ardhi ya Israel waondoke mapema ''Haina haja ya kupanic kama mnataka...
2 Reactions
3 Replies
283 Views
Wakuu, Hii skendo ya Epstein naona kila mtu itamfikia tu. Huyu baba mara ya kwanza alisema kuwa hausiki na kwamba alikuwa anaenda kumtembelea Epstein kama rafiki na hajawahi kushiriki kwenye any...
4 Reactions
5 Replies
408 Views
Ranking hii ya majeshi ni kulingana na takwimu za Global Firepower, taasisi inayoaminika zaidi kwenye ranking. Inapendekezwa kuzingatia kuwa kiwango cha uhalisia na usahihi wake ni zaidi kwa nchi...
2 Reactions
31 Replies
2K Views
  • Redirect
Kampuni ya Anthropic imesema haitarudi nyuma katika mvutano wake na US Department of Defense (DoD) kuhusu namna teknolojia yake ya akili bandia (AI) inavyotumika. Mkurugenzi Mtendaji wa kampuni...
0 Reactions
Replies
Views
Rais wa World Economic Forum (WEF), Borge Brende, amejiuzulu wadhifa baada ya kubainika kuwa alikuwa na urafiki na mahusiano na marehemu Jeffrey Epstein ambaye alikuwa na makosa ya unyanyasaji wa...
1 Reactions
2 Replies
195 Views
Ujumbe ndio huo German and British intelligence, Iran Haiwezekani Kushindwa Vitu sababu hata ushambulie vipi wanauwezo wa kuendelea kutengeneza Hypersonic Missiles...
6 Reactions
17 Replies
517 Views
Ni swali tu wakuu, Miaka 15 nyuma hili swali lilikuwa ni rahisi sana kulijibu maana Serikali ya Kikwete ingeenda upande wa Marekani maana mahusiano yetu na watu wa magharibi yalikuwa ni kama...
1 Reactions
0 Replies
120 Views
Wakuu, Nilikuwa nafuatilia huu mjadala wa Zambia na Zimbawe kukataa msaada wa Bilioni 1.7 kutoka Marekani Kama kuna kosa ambalo hizi nchi mbili wamezifanya katika kipindi hiki ni kukataa huo...
1 Reactions
6 Replies
270 Views
Mnamo tarehe 24 Februari kundi la mujaheddin El Khalq lenye asili ya watu wa KURDI lilivamia makazi ya Ayatollah Khamenei na kuyashambulia kwa risasi. Idadi ya wanamgambo hao walikua wasiopungua...
2 Reactions
11 Replies
317 Views
Back
Top Bottom