Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kuna video inasambaa tangu jana kwenye mitandao ya kijamii haswa Instagram ikimuonyesha mtoto(Dorcas kama alivyoitwa humo) akichezeshwa wimbo wa chura kweli ile vidio haina maadili kabisa na ni...
20 Reactions
150 Replies
20K Views
Wakuu nimeona mjadala huu na nkaona una mapungufu makubwa nabya kinyonyaji sana kiasi kwamba kuajiriwa sasa kutakuwa ni utumwa zaidi ya ilivyo sasa. Sijazama kuona ukweli wa haya hapa chini...
0 Reactions
5 Replies
3K Views
Mabibi na mabwana hamjambo woteee, pole kwa wenye matatizo ya hapa na pale, naomba niende kwenye mada moja kwa moja. He ni mkoa upi ambao unapambana kila kukicha yawe makazi yako ya kudumu achilia...
3 Reactions
201 Replies
25K Views
Je! Umewahi kutazama watu na kwa kweli ukaitamani furaha yao, ukatamani kuwa wao? Nikupe siri moja kile kinachokufanya utamani kuwa kama wao ni thelusi tu ya maisha yao halisi na kama ungeliona...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Hope ur all fine, Mi nadhani ni wakati wa kuzibadilisha policy znazoelekeza usimamizi,matumizi na manufaa ya rasilimali za nchi. Tuchukulie mfano madini,wenzetu Botswana na Namibia wamekua...
0 Reactions
1 Replies
769 Views
Niko hapa jijini La Paz, nchini Bolivia. Kuna matukio makubwa mawili yametokea. Moja kuna kituo cha habari kimeungua wakati huohuo Chama tawala kilikuwa Ikulu kinavuna na kuwatangaza wanachama...
9 Reactions
51 Replies
5K Views
Salam wakuu...... Zitto alipokuwa anagombea ubunge mwaka 2005 wapinzani wake waliibua hoja kua hajasoma, zitto alionyesha vyeti vyake na hoja hiyo IKAFA. TAFAKARI (1) Mtu yuleyule aliyeisifia...
2 Reactions
94 Replies
14K Views
Hamjambo wana jamvi, mimi nipo safarini kuelekea Harare naenda kum'interview' aliyekuwa firt lady wa Zimbabwe mama Grace Mugabe,je ungependa kutoa swali gani kwake nikaliwakilishe? yakwangu ninayo...
0 Reactions
0 Replies
778 Views
WAKATI upimaji wa afya bure ukiendelea katika meli maalumu kutoka China, baadhi ya wananchi jijini Dar es Salaam wamegeuza shughuli hiyo kuwa mtaji baada ya kuanza kuuza namba za kadi...
1 Reactions
45 Replies
6K Views
Wanabodi habari ya leo, Binafsi naomba kusema ni vyema kuwajali na kuwahifadhi wapendwa wetu waliotutoka kwa njia nzuri na ambazo ziko kihalali kulingana na mila, desturi, tamaduni na dini...
2 Reactions
43 Replies
5K Views
Meneja wa Nyanza Commercial Farm, Dilipkumar Patel, amehukumiwa kifungo cha miaka 20 jela au faini ya mil. 534 na Mahakama ya Mkazi Kisutu kwa kosa la kukutwa na kucha za Simba. Bw. Patel...
2 Reactions
49 Replies
9K Views
Hivi ni kwanini MpesaTigo pesa/ Aitel money/Z-pesa Tanzania hawaingii makubaliano na Moneygram au Western union katika kutuma fedha toka ng'ambo? Hivi hili ni suala la kuambiwa kwa jinsi...
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Siku kadhaa zilizopita nilikuwa chini ya uangalizi wa magereza. Hii ilitokea baada ya kwenda kumdhamini mtu mahakamani. Bahati mbaya simu ilivyoita ndio ikaniponza siku 15 hakuna kuona jua. Kuna...
14 Reactions
132 Replies
13K Views
Jamaa ana degree yake ya PR toka pale SAUT kaamua kujilipua kihivi Hii ni kiashiria vijana tuna hali mbaya kitaa
0 Reactions
74 Replies
11K Views
habari zenu nimejaribu kutafuta usafiri wa ndega Dar to Cape town presionair hakuna na air Tanzania hakuna yoyote mwenye mawazo ?
0 Reactions
2 Replies
931 Views
Wadau, Jumla ya wakazi 1,172 wa vijiji vitano vilivyo jirani na Ikulu ya Chamwino Dodoma wamenufaika na mafunzo maalumu waliyopewa ya kuwaongzea ujuzi ili waweze Kushiriki vema Upanuzi wa...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Naona usajili wa sasa umeenda sambamba na dirisha dogo la VPL, kila timu inajitahidi kuimarisha kikosi chake, huyu anaenda huku na huyu anaenda kule, siasa kama soka usimwamini sana mchezaji...
0 Reactions
0 Replies
699 Views
Wana jamvi habari zenu kwenye pta pita zangu nime liona sana hili neno Black friday, mara nyingi nime iona mwezi huu kwenye mitandao ya njee ya nchi ya tanzania waki tangaza sana ...kuna lecturer...
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Pamoja na Mikutuo yote unayopitia kukata tamaa iwe ni mwiko. Pambana hadi dakika ya mwisho na ushindi utakuwa upande wake. Jifunze hata kupitia mbuzi huyu mtata
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Polisi imesema amebainika kuwa na funguo bandia saba za ofisi ya mhasibu. Singida. Mhasibu aliyeondolewa kazini kwa vyeti feki, anashikiliwa na polisi akituhumiwa kuiba fedha katika Hospitali ya...
2 Reactions
11 Replies
2K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…