Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mtumiaji wa mtandao wa kijamii wa Facebook anayetumia majina Kwinyara au Kwinyara Kwintara au Kwinyara Kwinyara ni tapeli mkubwa sana kwa kujifanya ni mfia chama wa chama cha Demokrasia na...
3 Reactions
8 Replies
3K Views
Tuliambiwa Tundu Lisu alikimbizwa Kenya kwa kuhofia Usalama wake, kwamba Madakatari na watu wetu siyo wakuwaamini kwamba wangemmalizia mbali, sasa Je, Makamu wetu wa Raisi asingeweza kummaliza...
3 Reactions
51 Replies
4K Views
Ukifungua redio Clouds kutwa ni kulalamika tuu....kaa kaaa, usiwe kaa usiwe kaa, tubebaneee tubebanee ! Alivyovibeba Ruge inatosha bana mnatokera wasikilizaji wenu na vijembe na mipasho isiyoisha...
6 Reactions
43 Replies
6K Views
MUHIMBILI: Taasisi ya Moyo ya Jakaya Kikwete (JKCI) imefanya upasuaji wa kuhamisha moyo kwa mtoto wa miezi 9 ambaye alizaliwa moyo wake ukiwa upande wa kulia Hii ni mara ya kwanza kwa upasuaji...
1 Reactions
0 Replies
1K Views
Kwa kifupi ni ugonjwa unaoshambulia maeneo ya Uso hasa Mdomo,Oris/oral Mouth ni ugonjwa unaosababishwa na bacteria na kusababisha kukauka/gangrene kwa tissue,ngozi inayozunguka mdomo. Ugonjwa huu...
0 Reactions
0 Replies
46K Views
Jeshi la Polisi Zanzibar, limesema limepokea taarifa ya kuzama kwa boti katika bahari ya Zanzibar, iliyokuwa ikitokea Tanga, kuelekea kisiwani Pemba. ============================= Kikosi cha...
1 Reactions
24 Replies
3K Views
Kuna baadhi ya mambo yanafanyika nchini hasa yale ya kimaendeleo au miradi flani ila utasikia kwa niaba ya Kiongozi flani ndo amewezesha huo mradi au ametekeleza hilo jambo hili naona halisound...
0 Reactions
1 Replies
840 Views
Katika karne ya 21 tunatumia muda na akili nyingi kulalamika tu, kulaumiana na kufuatilia nani kamzodoa mwezake . Yaani hatuna kitu chochote cha maana tunachoanzisha iwe ni wazo au kitu tangible...
3 Reactions
0 Replies
1K Views
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Kimeokotwa kitambulisho cha taifa maeneo ya KNCU MOSHI MJINI, JIRANI NA PUB ALBERTO. Kwa yeyote anayemfahamu au mwenye taarifa ya muhusika awasiliane na...
1 Reactions
16 Replies
7K Views
Naomba niulize baada ya mkutano wa kumuapisha Uhuru Kenyata, ma rais wengi wali elekea kwenye mkutano wa Africa Union/ European union huko Abidjan, cote d'ivoir tar 28,29 rais wetu wa tanzania...
0 Reactions
20 Replies
2K Views
Nimesikia anataka eti kwenda Libya kuchukuwa Wakimbizi na kuwaleta Unyarwanda, vipi kuhusu hawa waliojaa nchini kwetu? Acha usanii wewe babu, ... Watoto wakimbizi ktk Rwanda walioko nchini kwetu...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Mgodi wa Acacia Buzwagi uliopo mjini Kahama umeanza maandalizi ya kufungwa kwa kuwaaga wananchi ambao waliguswa na miradi yake, huku ikiwapa elimu ya kufanya shughuli za kujitegemea bila uwapo...
0 Reactions
31 Replies
5K Views
Katika video Nyerere anaeleza kuna kipindi Karume alianza kuwafukuza wamakonde kutoka zanzibar, Nyarere alipopata habari akamuita na kumuuliza mbona unafukuza wamakonde? Majibu ya Karume sasa...
3 Reactions
10 Replies
4K Views
Hi gt Muda huu mbwa kichaa amevamia mtaa wa mlima FUNDI Korogwe Tanga ameng'ata mbuzi watatu tumboni wote wamekufa na mtoto wa kike mikononi lakini ameuawa na wana mtaa
0 Reactions
7 Replies
1K Views
THE HAGUE - War crimes convict Slobodan Praljak passed away in hospital here after he poisoned himself in the courtroom as the appeals ruling was being handed down, the International Criminal...
0 Reactions
4 Replies
793 Views
TCRA imeanza kampeni za kuelimisha wananchi kuhakiki usajili wa simu card zao ili kujiweka salama kutokana na utekelezaji wa sheria ya Epoca ya 2010 inayotaka kila simu ya mkononi iwe imesajiliwa...
0 Reactions
13 Replies
9K Views
Waombolezaji katika Kijiji cha Katani wilayani Nkasi mkoani Rukwa wameitelekeza maiti kwenye jeneza na kutimua mbio baada ya mvua kubwa iliyoambana na radi kuanza kunyesha ghafla. Tukio hilo...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Kuna baadhi ya vyombo huwa vinafanya tafiti za mambo tofauti tofauti kitaifa na kimataifa. Ningependa kujua baada ya kuingia awamu ya tano je suala la Rushwa likoje....imeongezeka au umepungua...
0 Reactions
38 Replies
4K Views
Wakati Chadema ikiendelea kufanya Tathmini ya uchaguzi huu mdogo uliopita kwa kutafuta Sababu za kushindwa kwao basi wasisahau pia kumtaja mzee Ndesamburo kama sababu mojawapo. Najua watakuwa...
2 Reactions
2 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…