Mung Chris
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 3,367
- 3,778
Naomba niulize baada ya mkutano wa kumuapisha Uhuru Kenyata, ma rais wengi wali elekea kwenye mkutano wa Africa Union/ European union huko Abidjan, cote d'ivoir tar 28,29 rais wetu wa tanzania kutokwenda huko ili akutane na viongozi wengine haikuwa na umuhimu au. angalieni picha na video muone ilivyokuwa immependeza.