Kitambulisho cha taifa cha Levini Peter Tluway kimeokotwa

jeez boy

Senior Member
Mar 23, 2017
112
237
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza.
Kimeokotwa kitambulisho cha taifa maeneo ya KNCU MOSHI MJINI, JIRANI NA PUB ALBERTO.

Kwa yeyote anayemfahamu au mwenye taarifa ya muhusika awasiliane na mimi. Jina lililopo kwenye kitambulisho ni LEVINI PETER TLUWAY, JINSIA, MWANAUME

8b14c585ec2a9f7204d53e9a8db42b79.jpg
 
Tatizo la huyo jamaa analewa sana yaani wikiendi nzima yeye ni kulewa hadi anapoteza vitu.
 
Mbona Hasira Mkuu hata huku maisha ni magumu kama huko usidhani mimi ndiye nimekusababishia hiyo hali kikubwa vumilia, pia omba sana Mungu.
Kuchafuliana CV sio vizuri asee!.Zipo sababu nyingi zinaweza kusababisha kupoteza kitambulisho nk na si kweli kwamba kila mtu anapopoteza kitu kalewa!
 
Hivi ikitokea mtu kauwawa ukaokota kitambulisho chake ukapeleka polisi si utaisaidia polis asee
 
Back
Top Bottom