Hayo yamesemwa leo katika maadhimisho ya siku ya walemavu wa akili duniani. Maadhimisho hayo yamefanyika Mirembe.
Bangi ni kati ya madawa ya kulevya yanayoongeza kwa kasi ongezeko la walemavu wa...
dunia inapitia mabadiliko makubwa ya kihistoria. nchini uingereza tayari waziri mkuu mwanamama ameshashika usukani.Ujerumaninchi yenye uchumi imara ulaya angela yuko tayari, Muda sio mrefu bi...
Simu ya Samsung Note 7 ilishika moto ikifanyiwa uchunguzi maabarani Singapore
Samsung imetoa wito kwa watu wenye simu aina ya Galaxy Note 7 kuzizima mara moja huku ikifanya uchunguzi kubaini ni...
Hivi ni kweli Mama wa taifa Mama Mpendwa, Maria Nyerere ni mwenyeji wa Dodoma? Na kama si kweli je ni mwenyeji wa mkoa gani?
Naomba kufahamishwa.
Natanguliza shukrani.
Jana simu yangu ya AIRTEL ilikuwa "HACKED" na baadhi ya namba za watu walioko kwenye simu yangu kutumiwa ujumbe wa kutakiwa kutuma pesa. Moja wa ujumbe ni huu hapa chini:
Nawaasa mtu yoyote...
Nimejiuliza maswali bila kupata jibu!
Katika kitabu cha Biblia,kitabu cha mwanzo 1:1 -15 tunaelezwa juu ya uumbaji wa dunia na vitu vilivyomo ndani take,na hapakuwa na mtu na you're zaidi ya...
Hivi inawezana kweli ukawa upo katika mstari / foleni unasubiri kupata huduma halafu ' Nge ' akakufuata tu Wewe na kukudhuru?
Hivi inawezekana kweli sehemu uliyopo wapo Watu wengi halafu ' Nge '...
Lhrc wanapendekez adhabu hii ifutwe nchini,moja ya sababu zao ni kua zaidi ya nchi 140 Duniani wameiondoa adhabu hiyo.
Najiuliza kwa nchi hizi za kwetu zinazoendelea/maskini kuondoa adhabu ile...
Nimekuwa nikishangazwa na Mamlaka hii, imekuwa ikitamani sana kuona kila mtu analipa kodi lakini cha kushangaza sioni wala kusikia vipindi vya redio,TV au hata makala za muendelezo(Safu) za elimu...
Wafanya kazi wanaisoma namba weeee!!!
No kupandishwa vyeo no kuongezwa mishahara!!
Waliosoma waje kuajiliwa wanaisoma balaaa!! Soma namba weeee!!
Baada ya uhakiki wa wafanya kaz hewa tutaenda...
Hali sio shwari katika hospitali ya wagonjwa wa cancer ocean road hasa hasa wagonjwa wanaosubiri mionzi ya matiti. Tokea mwezi wa sita mwaka huu wagonjwa wanaosubiri mionzi (wa cancer ya matiti)...
Mtu mmoja ameuawa na wananchi wenye hasira kali akidhaniwa kuwa ni popobawa.
Anadaiwa kuwa amekuwa akiwaingilia kimwili watu kimazingara.
Kamanda wa polisi mkoa wa Morogoro athibitisha kutokea...
Kuna baadhi ya wazazi, marafiki na ndugu wengi wamekuwa wakiibiwa sana pesa hasa kwa mfumo wa mtandao, kwa mfano, kuna mzazi mmoja ambaye yupo Mbeya, lakini anakijana wake yupo mikoa ya Kanda ya...
Kampuni ya SIMBA MOTOR inajenga kiwanda cha kuunganisha magari apa Tanzania na wamesema kabla ya 30 December mwaka huu kitakua kimeshaanza kuzalisha magari apa nchini.
CHANZO.......
:: Kampuni...
kutoitendea pesa haki ni sawa na kutomhudumia mkeo kama mwanamke anavyostaili hudumiea na kuridhishwa.
Hata kama unaimiliki pesa na umeipata kwa shida,bado unatakiwa kuheshimu haki ya pesa,haki...
Kama tunavyojua wanajamvi,
Mtumishi anapokuwa kazini anaweza kufanya vizuri kazi yake hata kama cheti kilichompa ajira si halali.
Lakini inasadikiwa kwamba wanaofanya kazi bila uweledi ni wale...
Mimi ni konda wa scania ila gari limeharibika hapa Dumila tukiwa tunaelekea Dodoma. Tumebeba cement mifuko mia sita. Tangu asubuhi dereva hajarudi kutafuta fundi na simu hapatikani halafu sina...
Leo nilipanda daladala sehemu ya kulipa sh mia nne hata kutembea ningeweza sema tu uvivu na jua kali. Nikampa konda sh elf kumi akanipa chenji yangu vizuri tu mi sikuangalia nikatupia tu kwa...
*TAHADHARI KWA ABIRIA WAISHIO _DAR ES SALAAM_*
Ikifika jioni maeneo ya *Mnazi Mmoja* kwa sababu ya shida ya usafiri wa kutoka katikati ya jiji kwenda maeneo mbalimbali pembezoni mwa mji, kuna...
Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Prof. Joyce Ndalichako amemtaka Katibu Mkuu wa wizara hiyo kufanya uchunguzi ndani ya siku kumi na nne kubaini sababu za kuchelewa kuanza kwa ujenzi wa Chuo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.