Tahadhari kwa abiria waishio Dar es Salaam

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Feb 3, 2009
42,318
33,125
*TAHADHARI KWA ABIRIA WAISHIO _DAR ES SALAAM_*

Ikifika jioni maeneo ya *Mnazi Mmoja* kwa sababu ya shida ya usafiri wa kutoka katikati ya jiji kwenda maeneo mbalimbali pembezoni mwa mji, kuna wapiga debe hutangaza usafiri kwa nauli ya shs *Elfu Mbili*, kwenye moja ya *Magari Madogo na Noah*. Hususani maeneo ya karibu na *Benki ya CRDB Tawi la Lumumba*.
Majuzi jamaa Mmoja alipanda hizo gari akiwa na wenzake ikidaiwa inaelekea *Gongo la Mboto*. Matokeo yake walitekwa na watu wenye silaha ambao awali walijifanya nao ni wasafiri na kuporwa kila kitu baada ya kupelekwa Pugu Mnadani Wakasachiwa huku wakitishiwa kupigwa risasi na kuchinjwa kwa visu walivyokuwa wamebeba.

*"Ukiweza wajulishe wengine ili wapande usafiri huo kwa tahadhari au wakiweza waachane nao"*

chanzo._COPIED_
 
*TAHADHARI KWA ABIRIA WAISHIO _DAR ES SALAAM_*

Ikifika jioni maeneo ya *Mnazi Mmoja* kwa sababu ya shida ya usafiri wa kutoka katikati ya jiji kwenda maeneo mbalimbali pembezoni mwa mji, kuna wapiga debe hutangaza usafiri kwa nauli ya shs *Elfu Mbili*, kwenye moja ya *Magari Madogo na Noah*. Hususani maeneo ya karibu na *Benki ya CRDB Tawi la Lumumba*.
Majuzi jamaa Mmoja alipanda hizo gari akiwa na wenzake ikidaiwa inaelekea *Gongo la Mboto*. Matokeo yake walitekwa na watu wenye silaha ambao awali walijifanya nao ni wasafiri na kuporwa kila kitu baada ya kupelekwa Pugu Mnadani Wakasachiwa huku wakitishiwa kupigwa risasi na kuchinjwa kwa visu walivyokuwa wamebeba.

*"Ukiweza wajulishe wengine ili wapande usafiri huo kwa tahadhari au wakiweza waachane nao"*

chanzo._COPIED_
Asante kiongozi kwa kutujuza
 
Eeeenh kumenuka aiseee , sijasikia hizo habar , nahic kama za kutunga,

My take: ni vema ukaminyania usafir wetu wa public (daladala au mwendokasi) ujue moja tu, kuliko kupenda mambo rahis alaf ukaminywe na wenye mbavu nene,

Asante kwa tahadhari
 
Pia kuna saloon cars nazo huwa wanaita watu, huwa sipandi hizo acha nishike bomba tu!
 
Na kama mtu umepanga huko gomz au mbagala wala hapafai bora ukae sehemu ambayo hata ikitokea dharura utaweza kutembea, ila kama kwako sawa
 
Eeeenh kumenuka aiseee , sijasikia hizo habar , nahic kama za kutunga,

My take: ni vema ukaminyania usafir wetu wa public (daladala au mwendokasi) ujue moja tu, kuliko kupenda mambo rahis alaf ukaminywe na wenye mbavu nene,

Asante kwa tahadhari
Mkuu hili jambo ni kweli
na kuna jamaa yetu ilikuwa kinyume chake aliowabeba kumbe walikuwa ni majambazi na sio abiria na mmoja alikuwa ni mwanamke wa heshima kwa muonekano,basi kwa uwezo wa Mungu aliwashitukia mapema mbona abiria kama wanapeana ishara aliwaona kwenye kioo cha ndani.
Kabla ya mataa ya Tazara ktk foleni akaliweka gari kando na kuamua kutoka nje.wale abiria walihamaki na kushuka garini kila mmoja alifuata njia yake.Mooja akamwambia unabakhti sana.
 
hivi itakuwaje wanakuteka mpaka huko pugu wanakukuta una buku mbili tu na begi la kuzugia mjini duh si ndio mwanzo wa kuliwa tigo huu duh heri yangu siko mjini
 
Back
Top Bottom