Kwa mfano wiki ijayo labda akija hapa nchini Rais wa Urusi Vladmir Putin kwa ' ziara ' yake ya Kikazi hapa nchini ni nani anakuwa anaangalia ' Usalama ' wake pindi akitua tu, akiwa nchini na hadi...
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuikamata gari aina ya Toyota Harrier iliyoibiwa DSM.
Jeshi la Polisi mkoani Pwani limefanikiwa kuikamata gari aina ya Toyota Harrier ilioibwa jana...
Karibuni............
kuna mdau mmoja aliniambia akipata pesa atatatua shida zake zote
sasa turejee swali....
ukijibu useme kwa nini kimmalize mwenzake?
Ndugu wanajamvi mtakumbuka Mara baada tetemeko kutokea serikali ilikimbia mbio kwenda kuandaa mazishi ya waliokufa ktk tetemeko hilo kitaifa.
Watu wengi tukategemea kinachofuata ni serikali...
Magazeti mengine yanafuata sera za kisiasa kadiri ya chama wanachoshikamana nacho. mengine yanatumiwa na watu wenye nguvu au serikali. yapo mengine ni ya kidini na humu uzini cjayahusisha kabisa...
Mgombea ubunge Jimbo la Mbarali haroon-mulla
MTOTO wa Mbunge wa Mbarali, Haroon Mulla (CCM), ametiwa nguvuni kwa tuhuma za kukutwa na meno ya tembo pamoja na nyama ya pori kinyume cha sheria...
Wapendwa,
Mwaka jana liliibuka suala la bei ya sukari kwamba ilikua ni kubwa mno, maagizo yalitolewa kwamba ishuke adi 1800 per kg, chakushangaza baada ya tamko sukari ikapanda bei tukaambiwa ni...
Mamlaka ya nguvu za Atomic ya Urusi (ROSATAM) imefikia makubaliano na Tume ya Nguvu za Atomiki Tanzania kuendeleza na kujenga kinu cha Nyuklia nchini.
Katika makubaliano hayo ROSATAM itajenga kinu...
Hii ni moja ya mithali za mfalme Suleman
Mungu hapandi mtu mwenye kiburi, anawependa sana wanyenyekevu
Kuna mifano mingi katika Biblia ya wafalme waliojiinua Mungu akawaangusha vibaya
1-Mfalme...
Habari wakuu,
LAPF, PPF, PSPF. nk
Naombeni muongozo kuhusu mifuko ya pension kwa muajiriwa;
1. Je, mfuko ipo ni mzuri ukilingamisha na mingine, hauna makato makubwa saana & huduma zao n nzuri...
Shughuli zilisimama mjini Dodoma baada ya polisi kuonyesha namna ya kukabiliana na tukio la uporaji fedha kwa kutumia silaha ambapo wananchi walikuwa hawajui kinachoendelea
Wakati agenda ya wanavyuo wengi kukosa mikopo mwaka huu, na wengi wakiendelea kulalamikia vigezo vilivyotumika kupata mikopo kukiuka vigezo vya mwanzo vya utoaji mikopo, Mkurugenzi wa wilaya ya...
Wakati niko Shule Mwalimu wangu alikuwa anasema kwamba Samaki inasaidia sana ukuaji na ustawi wa Ubongo hasa wa Watoto, kwa sababu ya protini nyingi inayopatikana kwenye nyama ya Samaki!
Na kweli...
Wiki kadhaa zilizopita nilipotembelea Bagamoyo mkoa wa Pwani nilipigwa na butwaa kuona baadhi ya wanafunzi wa shule moja ya sekondari kuvaa soksi bila ya viatu, huku wengine swakipekua.
Nilibaki...
Tarehe kama ya leo ,mwezi huu, mwaka Jana..25/10/2015. Ndio watanzania tulifanya maamuzi ambayo kwa sasa tu nataman iwe kama ni njozi.. .
Tunaisoma namba kwa ukaribu zaidi
-->>wafanyakazi katika fishing boats huitaji DISCHARGE BOOK,ukizingatia chombo husika Hakitoki nje ya nchi?
• wajuvi kama wapo naomba kujuzwa.
*mods pls sticks the thread no one related since...
Ukiangalia upande wa magharibi baada ya Jua kutua, kuanzia saa moja hivi karibu na upeo kiasi nyuzi 30, utaona nyota kali inan’gaa angani. Nyota hiyo si nyingine ila ni Zuhura (Venus) ambayo...
Wengi tulisikia mengi mara mmoja kawahi kazini kafungia wafanyakazi nnje
Mara ziara za kutembelea mbuga
Mara ziara za kushtukiza mahospitalin na nini na nini
Mara ziara za kumtembelea jj mwaka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.