Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Jana niliona post, Mzungu aliuliza vijana wa Kenya kama wanamwamini Mungu. Vijana walimjibu kuwa hawamwamini Mungu ambaye anayekaa mbinguni, wala dini ya Ukristo wala uislamu bali wanamwamini...
7 Reactions
18 Replies
271 Views
Ili watanzania baada ya miaka miwili wafaidi kitoweo hiki adhimu sana na kinono?... Bila kufanya biashara ya kuwalisha na kupata gharama za ziada, yaani waishi katika misingi ya asili, je...
5 Reactions
75 Replies
1K Views
Akimudu hilo jambo nadhani umaharufu wake na trending zitakalibia za lisu na chadema na hata kuzudi nje na apo ni watu kuona jamaa anatafuta KIKI
0 Reactions
0 Replies
27 Views
Kero yangu ni kwa Diwani wa Kata ya Uru Kusini ambaye amekuwa akifanya maamuzi juu ya ardhi, ilhali natambua Diwani hana mamlaka ya moja kwa moja kiutendaji, kiufundi au kukamilisha ardhi kwa mtu...
0 Reactions
0 Replies
16 Views
Unatafuta mwalimu bora wa kumfundisha mtoto wako nyumbani? Elite Home Tuition tunakupatia walimu wenye sifa, uzoefu na uwezo wa kufundisha kulingana na mahitaji ya mwanafunzi. 🌍 TUNAFUNDISHA...
0 Reactions
0 Replies
36 Views
Mfanyabiashara wa miamala ya fedha Bi. Vaileth Libaba mwenye umri wa miaka 34, mkazi wa Shewa Kata ya Mwakibete Jijini Mbeya, ameuawa na kuporwa fedha taslimu shilingi 300,000/= na simu zake mbili...
4 Reactions
85 Replies
1K Views
Leo nimekaa nikawaza kama Dinosaurs waliweza kupotea kabisa kwenye uso wa Dunia ikikaridiwa namba yao ilikuwa 2.5 billion, miaka milioni 65 iliyopita basi kuna uwezekano mkubwa wa binadamu nao...
15 Reactions
118 Replies
4K Views
Kwanza niseme tu mimi siungi mkono ushoga lakini pia namuomba sana Mungu aniepushe mimi na kizazi changu kwenye hali yoyote inayohusu LBGTQ Watu wanaopromote ushoga ndio wetu ambao wanaongoza...
8 Reactions
24 Replies
314 Views
🌍 Baraza Kuu la Umoja wa Mataifa limepitisha pendekezo la Afrika la kuwa na ramani mpya ya dunia inayoonesha uhalisia wa ukubwa wa maeneo. 🟢 Waliounga mkono: 164 🔴 Waliopinga: 1 ⚪ Waliojizuia...
1 Reactions
5 Replies
152 Views
Miezi michache iliyopita nilikuwa Mbeya kikazi, nilijionea mazingira ya kuwepo kwa tatizo la ajira kwa vijana Mandhari ya jiji la Mbeya imesambaa kwenye wilaya tatu ambazo ni, Mbeya CBD, UYOLE...
7 Reactions
29 Replies
243 Views
Wakuu kwema.. Nani anazijua taratibu za kununua vitu vya asili pale maliasili kama vile ngozi ya Simba, Chui, na kadhalika. Gharama zake je, zipoje?
1 Reactions
14 Replies
145 Views
Msimu wa Saba wa kampeni ya kuhamasisha unywaji wa kahawa umezinduliwa rasmi huku msisitizo mkubwa ukiwa kwa watanzania kujenga utamaduni wa kunywa kahawa ikiwa ni mkakati wa kukuza soko la ndani...
0 Reactions
0 Replies
34 Views
Habari JF ,Ligi kuu Uingereza na JamiiForums fantasy premier league zimerudi , jiunge sasa kupitia Code wemf7z au autojoin kupitia https://fantasy.premierleague.com/leagues/auto-join/wemf7z...
3 Reactions
10 Replies
108 Views
Hi guys, Nawezaje kupata watoto mapacha?, ikiwa kuna mtu ana uelewa juu ya jambo hili naomba kufahamishwa tafadhali. Najua humu jukwaani kuna ma great thinkers wa kutosha. Naomba kuwasilisha.
6 Reactions
73 Replies
774 Views
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Anthony Mtaka amesema ni muhimu Wafanyabiashara kuwa na maisha yanayoendana na kipatao chao . Mtaka amesema hayo leo Julai 13, 2026 wakati akizungumza na Wakulima wa...
5 Reactions
18 Replies
374 Views
Mama mmoja, kwa jina la Kalie Robins, ameibua wasiwasi kuhusu namna tool ya Meta AI inavyoweza kutumia taarifa zilizowahi kuchapishwa mtandaoni kukusanya na kuhusisha taarifa binafsi. Kwenye...
1 Reactions
3 Replies
79 Views
Wanabodi, Mungu na Shetani Hiii ni moja ya Mada zangu za holistic approach zinazotumia dhana dhanifu ya Mungu na shetani。 Mara moja moja haswa siku za Jumapili ninapojikuta nina nafasi, nitakuwe...
21 Reactions
43 Replies
14K Views
Jiji la DSM ni chafu kwa sababu Viongozi wake wana vichwa vigumu sana kuelewa.
0 Reactions
0 Replies
24 Views
Katika eneo la Gongo la Mboto, kituo cha magari yanayoenda mjini kinachoitwa Maliasili, kuna yard ya magari ya mwendo kasi. Kumekuwa na tatizo la maji ya DAWASA kuvuja na kutiririka katika eneo...
0 Reactions
1 Replies
39 Views
Wadau nataka kucreat account Katika mfumo wa E-Ardhi ila niliweka NIN na Namba ya simu sehemu ya ENDELEA haipo active nawezaje kusolve hili?. Lengo ni kusajili DEEP POOL.
0 Reactions
2 Replies
18 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…