Meja Jenerali John Walden a.k.a Black Mamba, mwanajeshi wa JWTZ, kiongozi wa Brigedi 207. Aliongoza mapambano ya Masaka na yale ya kuchukua makazi ya Idd Amin katika vita vya Kagera. Alizaliwa...
Kulingana na sheria na taratibu za nchi yetu ushoga na usagaji ni kinyume na sheria
Kwanini serikali imeshindwa Kumchukulia hatua za kisheria huyu kijana??
Anahamasisha ushoga na kujitangaza live...
Katika imani ya Buddha hata Hindu wanaamini mwisho wa binadamu ni kufa na kuzaliwa tena. Kuzaliwa huku kutatokana na matendo yako. Kama yalikuwa ni ya kumpendeza Mungu basibutazaliwa kwenye...
Habarini wadau!
Leo mheshimiwa rais alipoenda bandarini kumaliza tatizo la mafuta kulikuwa na mzungu mmoja pembeni.
Huyu mzungu bana alivyokuwa ana act was very weird alafu alipopewa mic kuongea...
Daudi T. Balali @daudibalali
Kumekuwa na majaribio mawili kuondoa uhai wa Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali Tanzania Profesa Mussa Assad. Jaribio moja lilimlenga nyumbani kwake na...
Nimegundua, nikiacha salio kwenye simu kuna kiasi kinakatwa usiku.
Mara ya kwanza nilifikiri labda huwa naacha data bila kuzima.
Nimefuatilia mara nyingi nimegundua salio linakatwa hata kama simu...
Kwanza nianze kumshukuru Mwl.JK na watangulizi wote wakiwemo Waarabu kwa kuasisi lugha yetu adhimu ya Kiswahili.
Tuna makabila zaidi ya 120, sote tunaunganishwa na lugha adhimu ya Kiswahili...
Wachungaji watatu wamenusurika kipigo kutoka kwa wananchi, baada ya kushindwa kumfufua marehemu katika Kijiji cha Sitalike Tarafa ya Nsimbo wilaya ya Mpanda mkoani Katavi.
Wachungaji hao...
Habari zenu wanajukwaa.
Niende moja kwa moja kwenye hoja.
Juzi tuliona kwenye vyombo vya habari
kuhusu mizoga ya ng'ombe 15 waliokuwa
wamepelekwa tegeta Dar es salaam ili
kutengenezwa na hivyo...
Usiku huu imebidi nipitepite YouTube kucheki mambo ya home huko, kilichoniacha hoi ni mwanaume strong kabisa wa Dar Es Salaam akimuomba nauli raisi Magufuli katika ziara yake bandarini huku...
Poleni na majukumu wakuu,
Rejea kichwa cha habari, kuna ndugu yangu anahaha kweli kweli akitafuta visa ili aweze kuvuka border kuelekea nchi za Scandinavia.
Kimsingi yeye anadai kwamba haioni...
Nashukuru Jamii forum kwa hili,
Leo nimepigiwa simu na kiongozi wa hii kampuni akiwa Zanzibar kwa namba ya halotel inayoishia na nambari 029, akasikiliza malalamiko yangu na kiukweli ameongea...
Kwa tuliosoma boarding hasa zile za wasichana na wavulana tulikuwa tunakula msosi huku mboga zikiwa na harufu ya mafuta ya taa.
Hakuna sababu ya maana iliyokuwa inatolewa na wapishi zaidi ya kuwa...
Sababu hii inatosha kabisa kutokuirudisha tena ccm madarakani mwaka 2020 sema watanzania hatutumii akili zetu sawasawa hasa wanawake walio wengi wamekuwa janga kubwa katika hili, lakini akili zao...
Wana-JamiiForums, awali ya yote Heri ya Christmas na mwaka mpya.
Naomba kujuzwa gharama ya kutembelea mbugani Serengeti ikiwa ni pamoja na hotel. Lengo niipeleke family yangu huko atleast kwa...
Nawasilisha malalamiko yangu kwa uchungu mkubwa, kwa heshma na taadhima naziomba mamlaka za juu zinazojihisisha na SUMATRA kitenga cha mabaharia wamulike kwa jicho la pili kitengo hiki kwani ni...
China wametengeneza daraja la kioo tupu ambalo ni 3000 mita kutoka usawa wa ardh, daraja ilo limejengwa likizunguka mlima na linatumika kama kivutio cha utalii,
Jambo la kushangaza ni kwamba...