Wachungaji watatu wamenusurika kipigo kutoka kwa wananchi baada ya kushindwa kumfufua marehemu katika kijiji cha Sitalike Wilayani Mpanda mkoani Katavi
Wachungaji hao walifika kijijini hapo...
Kwa zaidi ya miaka 48 (1967 -2015) tangu uhuru wake Tanzania imekuwa na maisha yasiyoeleweka kiuchumi pamoja na kuwa na vitu vingi na maliasili nyingi ambazo zingeweza kuipaisha nchi hii kiuchumi...
Ndugu wana jamvi naomba kujua utaratibu wa uhamisho nahitaji uhamisho Mimi nafanya kazi halimashauli moja wapo hapa Tanzania kama afisa ugavi na manunuzi nahitaji kuhamia Taasisi yeyote ya ELimu...
Continetal drifting theory inazidi kuprove us right ...
=========
Kuibuka kwa ufa mkubwa katika eneo la Suswa katika Bonde la Ufa kusini magharibi mwa Kenya kumezua wasiwasi kuhusu uthabiti wa...
Habarini wakuu, nimebahatika kupata fursa ya kikazi Zanzibar Kwa miezi mitano, sasa nahitaji nyumba ya kupanga iwe ni chumba kimoja tu master.
Budget yangu haizidi 90 Kwa mwezi.
Kama nikipata...
Kwa robo ya kwanza mwaka huu, Deni la Taifa limeongezeka kwa zaidi ya Sh. 12 Trilioni na kufikia takribani sh 60 trilioni, Ripoti ya Benki kuu inaonesha. #Mwananchi
Wing of the plane have been conflict and civilians in the Indian Ocean on the island of Kojani. Made known is what airlines.
A place where it is believed to the remains of the plane have been...
Huku akikabiliwa na mashtaka 12 ya uhujumu uchumi, Harbinder Sing Sethi ameondolewa katika orodha ya wakurugenzi wa kampuni ya kufua umeme ya Independent Power Tanzania (IPTL).
Uamuzi wa...
Miaka ya nyuma kidogo Malaria ilioneka ni ugojwa tishio kwa kusababisha vifo vingi! Baada ya jitihada mbalimbali ikiwemo dawa na utunzaji wa mazingira maambukizi ya Malaria yamepungua kwa kiasi...
“Wafungwa waliopewa cheo cha unyampala ndio wanaoweza kupata chakula cha kutosheleza matumbo yao, wengine huishia kula kwa kunyang’anyana na mwenye nguvu ndiye anayekula, kwa kifupi mle ndani...
Nimeshangaa sana, mwipwa wangu ana mkopo NMB sasa CRDB waliomba barua ya NNB ikionyesha mkopo anao daiwa cha ajabu sasa ni siku ya 5 leo (siku za kazi) wanamzungusha tu, sasa najiuliza inamaana...
mshana ni mmoja ya watu ambao pasipo kificho wamekuwa wakijitanaibisha kuwa wao ni wataalamu wa sayansi za kiafrika. sijui kwa ukeli kiasi gani hilo si suala linalonihusu.
jana nilikuwa na wana...
Nimeona sio vibaya nikatoa tahadhari au angalizo kwa ndugu zangu wenye usafiri binafsi ambao wanapenda kwenda nao Airport ya Julius Nyerere International Airport either kusindikiza ndugu jamaa na...
Mzuqa sana wanajamvi?
MODS msiunganishe.
Kweli nyani haoni makalio yake. Dogo aliletaga uzi humu wakati flani kuhusu wabongo wanaoishi Sauz. Akawakandia kweli wanaishi maisha duni na ya...
Wanajamvii mambo vipi?
Jamani kwenye pitapita zangu nimekutana na matangazo ya TRA kwenye gazeti la Daily News kuna Makontena zaidi ya 20 mali ya Mr Paul Makonda kupigwa mnada nikajiuliza ni...
Muigizaji wa filamu nchini Elizabeth Michael, maarufu Lulu, amebadilishiwa adhabu na sasa anatumikia 'kifungo cha nje' kwa amri ya Mahakama Kuu Tanzania.
Lulu alihukumiwa kifungo cha miaka miwili...
Naona vijana wengi wa kiume jana walikuwa mstari wa mbele katika kuwatakia heri mama zetu katika siku ya wanawake duniani.
Ukweli ni kwamba 94% ya vijana wengi hawawatunzi mama zao wala...
Habari wanaJf Moja kwa moja kwenye mada,
Mkoa huu bado una changamoto za huduma za kijamii kama maji, barabara za mitaa pamoja na umeme baadhi ya maeneo, Chakushangaza wenyeji(Wanyantuzu)...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.