Habari wanajukwaa!!
Maisha yanazidi kuendelea huku miaka ya kuishi ikiendelea kuisha bado nipo katika tafakari nzito Juu ya ombwe la vijana kukata tamaa kabisa ya kufanikiwa kimaisha.
Hali...
Mahakama ya Hakimu mkazi Kisutu imewahukumu kifungo cha miaka sita au faini ya shilingi Milioni 12 kila mmoja na kutaifisha madini yote baada ya kukubali makosa ya kuongoza uhalifu wa kupanga na...
Habari wadau.....
Kama MTU anazuia midomo ya watu kuzungumza kuhusu mambo mema anayowatendea ,kwa namna yoyote anajua kwamba hana jema analowafanyia watu wake kwa hakika jambo la kuficha...
Dar es Salaam, inakwenda kumaliza shida ya maji kutokana na uamuzi na ubunifu wa Ofisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Majitaka(DAWASA), Injinia Cyprian Luhemeja kunuia kuleta maji kutoka...
Habari wanajamvi..niaze na kumshukuru m/mng kwa neema ya Pumzi,uhai na afya njema, inayo niwezasha leo hii kuja kwenu wajuzi.Nirudi katika mada kuu.miaka mingi sasa najiona wa aina yake kutokana...
Hebu Vodacom tujuzeni kulikoni tangu jana tumenunua LUKU mpaka leo asubuhi hakuna token wala neno lolote. Tumrlipia huduma mbali mbali hela mmekata lakini haifiki kunakohusika. Kwanini...
Mtu anayedaiwa kumuua Mariam Charles (22), mwanakwaya wa Kanisa la AICT, Chang’ombe amekamatwa leo Jumamosi Septemba 8, 2018.
Mtu huyo amekamatwa wakati ibada ya mazishi ya Mariam ikiendelea...
Poleni member wa JF kwa majukumu yenu. Nia ya kuandika bandiko hili jukwaani hapa ninaomba kujuzwa mambo yafuatayo kuhusu gari hii ya 2005 BMW 1 SERIES (116i)
1. Fuel consumption per kilometer
2...
Sio siri Watanzania wengi sana huwa wanavipenda sana na kuvisifu vyombo vyao vya Ulinzi na Usalama,Hususan JW,TISS,FFU na hata TP.
Mara nyingi utawakuta vijana wakiwa vijiweni wakiyasifu majeshi...
Elimu ni jambo njema sana. Linamfanya mtu kufungua ubongo wake kwa mapana.
Hata hivyo elimu tu haitoshi linapokuja suala la uongozi. Katika qualities za uongozi bora elimu ya madegree na maPhDs...
Mimi nilikuwa nimeajiriwa na kampuni binafsi na kwenye hifadhi ya jamii nina takribani 1,500,000 na nilikuwa nimepanga mwezi wa kumi naacha ili nikafanye biashara zangu au kilimo cha karoti lakini...
Anger Over Deportation of Gay Tanzanian
PROTEST: Campaigners say Edson Cosmas should be allowed to stay in UK
A GAY Tanzanian man facing deportation says he will be killed or tortured if he...
Kampeni maalumu ya kuhamasisha wanaume kupima virusi vya ukimwi inatarajiwa kuzinduliwa hapo kesho na Mkuu wa wilaya ya Iringa Mhe. Richard Kasesela, uzinduzi huo unatarajiwa kufanyika katika...
Mafia kama organization nyingine kubwa za kihalifu yenye maskani yake kubwa ulaya mashariki na duniani kote wana sheria/amri ambazo kila member lazima azifuate ili kuwa member kamili nazo ni;
TEN...
kila nikipita mtaani nakutana na matangazo ya ajira hadi mishahara imewekwa mingi ni laki tatu unusu.
hivi tumefikia kutafutwa kuajiriwa hadi kwenye mitaro, nguzo za umeme na makaravati.
kumbe...
Ndugu zetu deni limewazidi hadi uniform za jeshi la polisi wa kenya wameanza kuvaa za jeshi la polisi la china. Hivi cc twadaiwa kiac gani na hao wavchina?
Serikali imeajiri walimu 2160 wa shule za sekondari na kuagiza waajiriwa hao wapya kuripoti kwenye vituo vyao vya kazi ndani ya wiki mbili wakiwa na vyeti halisi vya taaluma na cheti cha kuzaliwa...
KIASI cha sukari kilichopo nchini, kinatosheleza kwa miezi mitatu, ukiachilia mbali uwepo wa uzalishaji unaoendelea nchini. Akitoa taarifa ya hali ya sukari nchini bungeni Dodoma jana, Waziri wa...
Katika hali inayokumbushia kisa cha "Wasabato Masalia" kundi la kina mama Wapentekoste na watoto wao wameamia kwenye msitu huko ngara wakiziacha nyumba na familia zao katika kile wanachoamini kuwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.