MartinCoder
JF-Expert Member
- Feb 20, 2018
- 700
- 629
Naombeni maelekezo kutoka kwa yeyote anayejua mahali ilipo hospitali ya Hindu Mandali na jinsi ya kufika katika hospital hiyo kutokea Gongolamboto
Nasubir HapaNaombeni maelekezo kutoka kwa yeyote anayejua mahali ilipo hospitali ya Hindu Mandali na jinsi ya kufika katika hospital hiyo kutokea Gongolamboto
Akipanda Gari za Gongolamboto ashuke kituo kipi?Kama ni ya City Centre... Fika Azam Ice cream Centre Round about Jamhuri na Mkwepu Street ulizia kuanzia hapo.
Akipanda Gari za Gongolamboto ashuke kituo kipi?
Gari Za Gombs Huwa zinaenda mpaka ferryStation si hayaruhusiwi kwenda Ferry
La mboto Farry / posta cku hz yanaishia station au ? Make kitambo nimeenda hukoStation si hayaruhusiwi kwenda Ferry
OkGari Za Gombs Huwa zinaenda mpaka ferry
Panda dldl za Kivukoni ukitokea huko Gongo la Mboto, Shuka Posta Mpya, rudi nyuma hadi kituo cha mafuta GBP, fuata barabara inayoenda Azam Ice cream (Mtaa wa India), ulizia mtaa wa Chusi au Chewa au ulizia Msikiti wa Ngazija/hospitali ya Hindu Mandal. Msikiti huu umetenganishwa na barabara, utaanza Hospitali unayotaka kufika. Vlvl waweza kutumia Google mapNaombeni maelekezo kutoka kwa yeyote anayejua mahali ilipo hospitali ya Hindu Mandali na jinsi ya kufika katika hospital hiyo kutokea Gongolamboto
Sorry Nikishashuka then Nikarudi nyuma hyo barabara inayoelekea azam ice cream ipo kulia au kushoto ?Panda dldl za Kivukoni ukitokea huko Gongo la Mboto, Shuka Posta Mpya, rudi nyuma hadi kituo cha mafuta GBP, fuata barabara inayoenda Azam Ice cream (Mtaa wa India), ulizia mtaa wa Chusi au Chewa au ulizia Msikiti wa Ngazija/hospitali ya Hindu Mandal. Msikiti huu umetenganishwa na barabara, utaanza Hospitali unayotaka kufika. Vlvl waweza kutumia Google map
Unarudi nyuma kama unakwenda Maktaba. Mkono wa kushoto utaona kituo cha mafuta cha GBP. Kati ya kituo hicho cha GBP na jengo la Haidery Plaza kunatenganishwa na barabara. Hy barabara ndiyo inaelekea Azam Ice cream (Barabara ya mtaa wa India)Sorry Nikishashuka then Nikarudi nyuma hyo barabara inayoelekea azam ice cream ipo kulia au kushoto ?
Ok ahsanteKama unatumia Smartfon, ukishuka Posta mpya pale, ingia kwenye cmu yako, fungua google map, kisha search Hindu Mandal.. Itakusaidia hiyo.. Otherwise kama utaweza kuielewa hiyo ramani niliyoi-screeshot hapa, inaweza kukusaidia..View attachment 865598
ThanksUnarudi nyuma kama unakwenda Maktaba. Mkono wa kushoto utaona kituo cha mafuta cha GBP. Kati ya kituo hicho cha GBP na jengo la Haidery Plaza kunatenganishwa na barabara. Hy barabara ndiyo inaelekea Azam Ice cream (Barabara ya mtaa wa India)