Tupe tetesi nini alifanya maana siyo mwanasiasa je imekuwaje??Kwa kuzingatia vyanzo vyangu nyeti huyu ndugu shafii dauda anashikiliwa na jeshi la polisi tangu juma lililopita. Kuna uwezekano anaandaliwa kesi mbaya.
Nitarudi hivi punde.
Atakua amekwepa izi kodKwa kuzingatia vyanzo vyangu nyeti huyu ndugu shafii dauda anashikiliwa na jeshi la polisi tangu juma lililopita. Kuna uwezekano anaandaliwa kesi mbaya.
Nitarudi hivi punde.
Itakuwa sheria zina macho .Atakua amekwepa izi kod
Nihatr san mkuu ,maana ndo kesi za sasa iv zilizo baki bt izi kesi haziwahusu vichaaItakuwa sheria zina macho .
Containers 36 bila kodi hala yeye kapitisha ngapi?
Hata hii waiondoe maana hauna nyama nyama JamiiForums, Moderator safisheni hapaAfu Mods acheni ujinga wa kuondoa hii thread za shafii kila mara
iv uyu shafii daud ni nan? i mean anajishughulisha na nn ? coz namskia sna but cmjuiKwa kuzingatia vyanzo vyangu nyeti huyu ndugu shafii dauda anashikiliwa na jeshi la polisi tangu juma lililopita. Kuna uwezekano anaandaliwa kesi mbaya.
Nitarudi hivi punde.
iv uyu shafii daud ni nan? i mean anajishughulisha na nn ? coz namskia sna but cmjui
Page zake katika mitandao zinaendeshwa na watumishi wake acha ushamba kama polepole. Shafii alikuwa kituo cha mabatini ila kahamishwa Leo. Tusubiri habari zaidi.Hivyo vyanzo vyako nyeti na nyeti zenyewe mpo sawa
Tangu wiki ilioisha wakati hata sasa kapost insta kuhusu game za leo
Labda mwingine sio nimjuae
Wewe mchawi kweli kweliHata hii waiondoe maana hauna nyama nyama JamiiForums, Moderator safisheni hapa
Mi mwenyewe simjuiHuyo shafii dauda ndiyo nani