Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Wananchi mbalimbali wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Dkt Samia Suluhu Hassan kufuatia kukamilika kwa mradi wa kuzalisha umeme wa Julius Nyerere Hydropower Project, mradi...
1 Reactions
3 Replies
242 Views
Wakuu, Hii video inaonyesha namna vijana hawa ni majasiri, waligomea gari la Serikaei lisibebe mwili wa mwenzao kwani kifo chake kimesababishwa na watumishi wa Serikali Hawa Wanafunzi mwenzao...
6 Reactions
11 Replies
228 Views
Katika purukushani za maisha huku na kule, kuna kipindi nilishawahi kukamatwa na kuwekwa ndani Kesi yangu ilikuwa bado inaendelea, lakini ndani ya moyo wangu nilikuwa naamini kwamba, kwa namna...
7 Reactions
17 Replies
246 Views
Asilimia kubwa ya sisi wazazi tunaojitambua haturuhusu watoto waangalie au wasikilize nyimbo za bongo fleva sababu nyingi hazina maadili. Ila cha kushangaza unaenda kwenye mahafali unakuta mtoto...
14 Reactions
62 Replies
462 Views
As I'm adding one year today, to make it the last year of my 20's kuna mambo ambayo nataka nishee nanyi as to what I learned through.. Huwa sicelebrate na sijawahi. Unazaliwa na kufa tu hapa...
12 Reactions
62 Replies
470 Views
Habari wakuu,mara ya mwisho nilisimulia hapa jinsi ambavyo nilipitia kipindi kigumu kwenye maisha yangu baada ya kupoteza kazi ikafika kipindi nakosa hata shilingi 100 ndani na nina familia ila...
3 Reactions
4 Replies
78 Views
Kuna Mwanafunzi wa Kidato cha Sita Shule ya Sekondari Makongoro iliyopo mkoani Mara - Bunda Vijijini kachapwa viboko na Walimu takribani 30 mpaka amefariki Dunia, tukio limetokea SaaSaba Mchana...
3 Reactions
12 Replies
292 Views
Kufungwa rasmi na milele kwa stendi zilizokuwa shekilango, Lumumba na mnazi mmoja imekuwa kicheko kwa matapeli, wezi, vibaka , wabakaji na waganga wa kienyeji waliokuwa wamekosa kazi: MADALALI...
16 Reactions
43 Replies
574 Views
Gen Z wanakwenda kuishangaza na kuistaajabisha serikali iliyoua na kufanya uzalimu kwa namna ambayo haijawahi kutokea. 1. Shule ambazo wanafunzi wake wataingia na kufanya mitihani ya taifa...
8 Reactions
16 Replies
317 Views
Kwa mfano Umeenda Hospital kumuona daktari, akakufanyia vipimo vyote mahususi na baada ya vipimo na majibu ya vipimo daktari anakuja na ushauri kwa kuhusu suala zima la kuzingatia matibabu yako...
1 Reactions
9 Replies
55 Views
Chai Jaba waliweza sana kujitangaza. Maana walisikika na kuongelewa hasa. Ilikuwaje wakaanguka sokoni?
5 Reactions
31 Replies
393 Views
Roman Catholic imeanzia kale sana, tofauti na hawa wanaojibagaiza kutoka kanisa la kwanza huku wakiwa hawana ushahidi wowote! zaidi ya kuwa na Biblia kubwa kama kitanda. Anyway tuachane na hayo...
5 Reactions
20 Replies
211 Views
Mashahidi wa Yehova (Jehovah’s Witnesses) ni dhehebu la Kikristo lenye mafundisho kadhaa yanayotofautiana na madhehebu mengi ya Kikristo. Kwa ufupi, wao wanaamini: -> Mungu ni mmoja, na...
3 Reactions
24 Replies
299 Views
Mnatudanganya na makamera yenu. Mtajiita A list, ila watanzania wana A list zao na watabaki nazo Wolper, Irene, Kajala na Aunty ni kipi cha maana mlicho inspire kwa mabinti katika hili taifa...
7 Reactions
5 Replies
134 Views
Kama wanyama flani wapo na aina zao kwanini isitambuliwe kwa binadamu pia? Tunaona ng'ombe wapo katika types tofauti, nguruwe, mbwa, kuku, tembo nk. Kwanini binadamu tusiwepo kwenye types...
0 Reactions
1 Replies
104 Views
Madalali wa nyumba jijini Dar es salaam wamekuwa matapeli kwa miaka, sasa wamewafundisha wenzao wa mikoani kama Kilimanjaro, Arusha , Mwanza, Mbeya na Dodoma. Madalali ndio wamekuwa wakipandisha...
5 Reactions
5 Replies
2K Views
Maisha yanafikirisha sana Mim ni form 4 point 29 enz hizo 2011 .Kichwani nipo empty kiasi chake Yote ni mipango ya Mungu .ckuwa na wazazi mambo ni mengi Tena hayaelezeki, Wabongo. wanasema mambo...
4 Reactions
8 Replies
97 Views
Wale wajuvi wa mambo naomba msaada kama kuna chuo rasmi kama ilivyo kwa fani zingine zinazotolewa VETA.
2 Reactions
2 Replies
44 Views
Kama ilivyokua na aina za ngombe, kuku, mbwa, punda, papa wapo wa aina tofati haswa kutokana na ubora na mapungufu yao hata binadamu TUPO KWA AINA TOFAUTI na hatupo sawa kama dini na sayansi...
2 Reactions
7 Replies
77 Views
Anonymous
Wakazi wa Iringa Mjini tunapandishiwa nauli za daladala katika njia kutoka Stendi ya Zamani kupitia Igumbilo hadi Stendi Kuu ya Mabasi na Viwengi, magari yanayofanya safari katika njia hii...
0 Reactions
3 Replies
46 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…