Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Frustration, Frustration, Frustration. Asilimia 60% ya walimu wamekata Tamaa, tena Frastruation zao sio kwasababu ya mshahara, hapana Frustration kutoka kwa Mkuu wa shule, mwenyekiti wa mtaa...
2 Reactions
17 Replies
181 Views
Kwa mujibu wa Kanuni ya 18 (1) na (2) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, Tangazo la Serikali Na. 137 la Tarehe 22 Mei, 2026 linapa Mamlaka Baraza la Sanaa la Taifa kurasimisha Wasanii na Wadau...
0 Reactions
0 Replies
20 Views
Venomous snake found a sleeping porcupine. It wrapped itself around it. It felt warm, safe, perfect. Then, the porcupine woke up. Its sharp quills rose instantly. The snake felt pain. But instead...
1 Reactions
2 Replies
18 Views
Mwalimu wa kujitolea katika Shule ya Sekondari Bibi Titi Mohamed, Jafar Abdul, ameweka rekodi ya kipekee baada ya kuiwezesha Wilaya ya Rufiji kushika nafasi ya tatu kitaifa kwenye somo la...
5 Reactions
15 Replies
213 Views
Wengi wao wapo kwenye mahusiano tata au muonekano tata au jinsia tata (mwanaume haitaji kutambulisha jinsia yake ataonekana tu alivyo)
1 Reactions
4 Replies
54 Views
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe. Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa. Unammtoa mwanamke mzuri...
21 Reactions
85 Replies
1K Views
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa Tanzania baada ya Dar. Ziwa Victoria (Nyanza) ni sehemu ya jiji hili, na ukiwa maeneo mengi ya jiji hili, unaweza kuliona ziwa kwa macho. Cha ajabu, licha ya ziwa...
0 Reactions
0 Replies
25 Views
Picha inajieleza Taikuni la kuwastua wanaotapeliwa kiimani hasa wakristo Kubwa la Maadui
0 Reactions
2 Replies
46 Views
Waalimu sita wa shule ya sekondari Makongoro iliyopo wilaya ya Bunda mkoani Mara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Petro Chisumo (23) aliyekuwa...
2 Reactions
54 Replies
765 Views
WAFANYAUSAFI wawili wa treni ya Reli ya Kisasa (SGR) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa simu ya thamani ya Sh 450,000. - Washitakiwa...
7 Reactions
28 Replies
394 Views
Kijana aloefahamika Kwa jina la Dickson ameuwawa Kwa kuchomwa kisu cha shingo na rafiki yake Kareem. Tukio hili limetokea dar, kiwalani. vijana hao walikua wakicheza kamali, ndipo Dickson...
6 Reactions
61 Replies
570 Views
There shall not be a genuine reconciliation if personal gain exceeds national interest. The leading part must prove beyond reasonable doubt the good will of having reconciliation and under all...
1 Reactions
1 Replies
15 Views
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22...
1 Reactions
12 Replies
300 Views
SIRI YA MACHO YAKO AMBAYO HAKUNA ALIYEWAHI KUKUAMBIA Anaandika, Robert Heriel Mtibeli Haya nayo nikasema nisikufiche. Kwa sababu ninakupenda Sana. Nataka uwe kiumbe huru. Hii ikiwa ni zawadi...
9 Reactions
18 Replies
970 Views
Walichonifanyia eniembii kinatosha. Nilifungua account lao mwaka Jana November, nikawa naweka tu elfu mbili tatu kama saving, simalizi wiki, nanyofoa pesa zangu, mambo mengine yanaendelea Mwezi...
19 Reactions
45 Replies
2K Views
Happy .....Sabbath.....!!! "Nilifanya agano na macho yangu, basi nawezaje kumwangalia msichana?" Ayubu 31:1. Usifunue macho yako, kwenye jambo lolote linalokufanya utamani... Nimemaliza.
2 Reactions
2 Replies
116 Views
Mgogoro kati ya Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) ulianza mwaka 1991 kufuatia mfarakano wa kiuongozi na kikatiba kati ya viongozi wakuu, ambapo...
1 Reactions
6 Replies
209 Views
Hoteli inauzwa White Sand Road 60 Rooms all en suite 2 Conference Halls Swimming pools 2 Big Restaurant Standby Generator Has more than 60 Employees Plot size: SQM 16,000 Document: Title Deed...
2 Reactions
1 Replies
89 Views
Habari Wakuu, Nategemea kuwepo Mtwara mjini kwa wiki mbili kikazi. Naomba kujua lodge nzuri na safi hasa zenye internet kwa 30,000 - 40,000. Asanteni.
4 Reactions
76 Replies
1K Views
Kumekuwa na changamoto kubwa upande wa Azam Pesa pale mteja anapokosea muamala. Wanachukua muda mrefu sana kurejesha fedha. Ukiwapigia simu, unaweza kuambiwa: Leo ni weekend, hatufanyi kazi...
1 Reactions
5 Replies
41 Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…