Frustration, Frustration, Frustration.
Asilimia 60% ya walimu wamekata Tamaa, tena Frastruation zao sio kwasababu ya mshahara, hapana Frustration kutoka kwa Mkuu wa shule, mwenyekiti wa mtaa...
Kwa mujibu wa Kanuni ya 18 (1) na (2) ya Kanuni za Baraza la Sanaa la Taifa, Tangazo la Serikali Na. 137 la Tarehe 22 Mei, 2026 linapa Mamlaka Baraza la Sanaa la Taifa kurasimisha Wasanii na Wadau...
Venomous snake found a sleeping porcupine. It wrapped itself around it. It felt warm, safe, perfect. Then, the porcupine woke up. Its sharp quills rose instantly. The snake felt pain. But instead...
Mwalimu wa kujitolea katika Shule ya Sekondari Bibi Titi Mohamed, Jafar Abdul, ameweka rekodi ya kipekee baada ya kuiwezesha Wilaya ya Rufiji kushika nafasi ya tatu kitaifa kwenye somo la...
Nimeikuta x twitter, hichi kisa cha hawa wasanii wawili kuachana, na kutupiana vijembe.
Kwa kusoma kwa kina , nimegundua huyo Madebe ndio Pumbavu takataka kabisa.
Unammtoa mwanamke mzuri...
Mwanza ni jiji la pili kwa ukubwa Tanzania baada ya Dar. Ziwa Victoria (Nyanza) ni sehemu ya jiji hili, na ukiwa maeneo mengi ya jiji hili, unaweza kuliona ziwa kwa macho. Cha ajabu, licha ya ziwa...
Waalimu sita wa shule ya sekondari Makongoro iliyopo wilaya ya Bunda mkoani Mara wanashikiliwa na Jeshi la Polisi Mkoani humo kwa tuhuma za kuhusika na kifo cha Petro Chisumo (23) aliyekuwa...
WAFANYAUSAFI wawili wa treni ya Reli ya Kisasa (SGR) wamepandishwa kizimbani katika Mahakama ya Mwanzo Kariakoo wakikabiliwa na mashitaka ya wizi wa simu ya thamani ya Sh 450,000.
-
Washitakiwa...
Kijana aloefahamika Kwa jina la Dickson ameuwawa Kwa kuchomwa kisu cha shingo na rafiki yake Kareem.
Tukio hili limetokea dar, kiwalani.
vijana hao walikua wakicheza kamali, ndipo Dickson...
There shall not be a genuine reconciliation if personal gain exceeds national interest. The leading part must prove beyond reasonable doubt the good will of having reconciliation and under all...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amezindua rasmi Kituo cha Kuzalisha Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) chenye uwezo wa kuzalisha megawati 2,115 leo, tarehe 22...
SIRI YA MACHO YAKO AMBAYO HAKUNA ALIYEWAHI KUKUAMBIA
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Haya nayo nikasema nisikufiche. Kwa sababu ninakupenda Sana. Nataka uwe kiumbe huru.
Hii ikiwa ni zawadi...
Walichonifanyia eniembii kinatosha. Nilifungua account lao mwaka Jana November, nikawa naweka tu elfu mbili tatu kama saving, simalizi wiki, nanyofoa pesa zangu, mambo mengine yanaendelea
Mwezi...
Mgogoro kati ya Tanzania Assemblies of God (TAG) na Evangelistic Assemblies of God Tanzania (EAGT) ulianza mwaka 1991 kufuatia mfarakano wa kiuongozi na kikatiba kati ya viongozi wakuu, ambapo...
Hoteli inauzwa White Sand Road
60 Rooms all en suite
2 Conference Halls
Swimming pools 2
Big Restaurant
Standby Generator
Has more than 60 Employees
Plot size: SQM 16,000
Document: Title Deed...
Kumekuwa na changamoto kubwa upande wa Azam Pesa pale mteja anapokosea muamala. Wanachukua muda mrefu sana kurejesha fedha.
Ukiwapigia simu, unaweza kuambiwa:
Leo ni weekend, hatufanyi kazi...