Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Kanisa Katoliki la Italia limefungua milango yake kwa wanaume mashoga kujiunga na masomo ya upadre, mradi wasiendelee kupigia debe au kuunga mkono kile kinachoitwa "utamaduni wa mashoga,"...
13 Reactions
154 Replies
6K Views
DAHA ILE SEHEMU ILIKUWA KAMA GAZAA YAAN USITEMBEE RIVERSIDE KUIONQA UBUNGO WANAUME HAOOO WAMEKUPITIA NA SIMU WAKIKUKOSA SIMAMA KWENYE KARATA USHANGAE MIUJIZA WANAKUPITIA DAH..YAAN ILE SEHEMU...
5 Reactions
19 Replies
1K Views
Hamjambo Waungwana, Nmekuja na bandiko la kuomba ushauri , wiki ijayo nina safari ya kutoka kahama kwenda daresalam, pia nikiri kua huko niendako ni mgeni sijawaih kufika, naenda kuhemea mzingo...
3 Reactions
32 Replies
2K Views
Enzi hizo Sinza kila baada ya nyumba kadhaa unakutana na sehemu ya ulevi, iwe grocery flani hivi ama baa. Sinza ilikuwa na baa maarufu kama Hongera, B-Bar, Lego, Vatican City, Waungwana...
29 Reactions
214 Replies
16K Views
Wadau hamjamboni nyote? Tafakuri ya kina kwa wenye ilimu ya theolojia Genesis 50:26 [26]So Joseph died, being an hundred and ten years old: and they embalmed him, and he was put in a (Coffin)...
4 Reactions
24 Replies
1K Views
Meneja wa Mizani wa Wakala ya Barabara Tanzania (TANROADS), Mhandisi Leonard Mombia ameeleza umuhimu wa kutumia mizani katika kudhibiti uzito wa magari kama njia ya kulinda barabara na miundombinu...
2 Reactions
2 Replies
408 Views
Kweli sijui kama TTCL wanajielewa aisee. Unapopita maeneo mengi yenye mazingira mazuri na yaliyopendeza, unakutana na nyaya za TTCL zilizopita hovyohovyo, nyingine zikiwa zinaning'inia chini, huku...
4 Reactions
21 Replies
1K Views
WANANGU WOTE ZINGATIENI ELIMU KWA MAANA ELIMU NDIYO MAISHA YENU MAZURI YA KESHO YENU KUIKOSA ELIMU NI MATESO KWA MAISHA YENU YA KESHO. Tukisoma Kitabu Cha Nukuu za Kiswahili za Mwalimu uk 148...
0 Reactions
0 Replies
333 Views
Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Afya Duniani (WHO) amesema yeye na wenzake "wameponea kifo chupuchupu" katika shambulio la anga la Israel kwenye uwanja wa ndege nchini Yemen. Tedros Adhanom...
0 Reactions
4 Replies
673 Views
Wafanyakazi wa Shirika la Ndege la Afrika Kusini wamegoma baada ya kukosa mishahara kwa miezi kadhaa kutokana na shirika hilo lenye ndege zaidi ya 40 na vituo (destinations) zaidi ya 42 duniani...
1 Reactions
23 Replies
3K Views
Kwanzia mwaka huu 2025 dunia itashuhudia mambo mengi ya kutikisa akili, kusisimua na ya maajabu mbele ya macho yetu Kwenye upande wa medicines, technology, uongozi, kutakua na uwezekano usio na...
1 Reactions
0 Replies
227 Views
Mimi ni Mtanzania ninayeuamini Utanzania wangu na kuiamini Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania 1977 toleo 2005, ibara 08(1) a, b, c, d. Naiamini ilani ya CCM 2020–2025: Ukurasa wa 01...
1 Reactions
0 Replies
302 Views
ADABU ZILIZOKOSEKANA Siku hizi kutangaza makosa ya watu au tuliyoyafanya limekuwa si jambo la kuogopwa tena Tumekuwa rahisi kuharibu heshima za watu.. Tumekuwa wa rahisi wa kukosoa watu ...
0 Reactions
0 Replies
143 Views
Wenye chama chao wapo Dodoma, wewe upo hapa unatupigia kelele tu, amka toka usingizini! Punguza uchawa…
2 Reactions
6 Replies
372 Views
Sisi sote hufanya makosa, Tunasema vibaya, Tunafanya vibaya, Tunaanguka,tunainuka Tunajifunza,tunakua Tunasongambele tunaishi, Tunamshukuru MUNGU kwa kutupa nafasi nyingne daima, tujifunze kusamehe
1 Reactions
0 Replies
210 Views
Binafsi nimejaribu kukitafuta Kitambulisho changu cha NIDA, bila mafanikio yoyote, ofisi za Kata hakipo, ofisi za serekali za mitaa hakipo, japo nilihama eneo, nikaendelea labda nilijikomfuzi...
5 Reactions
34 Replies
2K Views
Asalaaam aleikum,ipi hukumu ya kuchukua mikopo ya riba? Wakuu naombeni msaada aisee wakuu
2 Reactions
4 Replies
426 Views
Habari. Naomba kufahamu je. Raia wa kenya anaweza kuona mke Raia wa Tanzania na vipi huyo mwanamke anaweza kwenda kuishi kenya kwa uaratibu gani muda wote? Asante
0 Reactions
0 Replies
150 Views
Bodaboda ni sekta rasmi Kwa Sasa. Ni dharau kubwa Kwa bodaboda ambao kwasasa wapo zaidi ya watu million 10 hawa watu wote kila mtu akilipa elfu 10 Kwa mwaka ni pesa ndefu Kulipa Kodi ni jukumu...
10 Reactions
41 Replies
2K Views
MWEKEZAJI kwenye Shamba la VASSO lililopo kijiji cha Dakau wilaya ya Moshi vijijini, Fons Nijenhuis(73) raia wa Uholanzi, amedai kufukuzwa kwenye shamba hilo na watu wasiojulikana huku kundi kubwa...
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…