Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mtaa unakusubiri_ bahati mbaya ni kuwa mtaa haujui kutofautisha kati ya msomi na ambaye hajasoma Mtaa lazima umpitishe Kila mtu kwenye tanuri la moto. Ukienda dukani unaonyesha pesa na sio vyeti...
2 Reactions
3 Replies
240 Views
UDSM kuwekeza kwenye kumbi za mikutano na frame Mlimani City kuna tija ya msingi? Nawasilisha kama Swali Ahsanteni sana 😄
1 Reactions
62 Replies
2K Views
Maaumuzi mengi tena yenye Unyeti anatoa Elon Musk huku Rais Trump akionekana Kukubaliana nayo hata kama Wachambuzi Nguli wa Siasa za Dunia wanasema ni Hatari kwa Ustawi wa Marekani. Kuna Clip...
11 Reactions
41 Replies
3K Views
Naomba serikali ifanye jambo hapa. Ajali huwa hazitokei bahati mbaya. Ajali zinatokana na uzembe wa madereva na kutofuata sheria za usalama barabarani. REJEA ANDIKO HILI...
0 Reactions
4 Replies
476 Views
Ukipata nafasi ya kazi, ukatumwa kazi nenda ukaifanye usiku na mchana, Watanzania wanawategemea ninyi kwa sababu sehemu kubwa ya nchi yetu iko chini ya TAMISEMI’ Mhe. Mohamed Mchengerwa akifungua...
0 Reactions
0 Replies
207 Views
Ripoti mpya ya Tanzania Human Rights Defenders Coalition (THRDC) inaonyesha kuwa kusitishwa kwa ufadhili kwa ghafla kumevuruga shughuli za NGOs za ndani, kusababisha upotevu wa ajira, kufungwa kwa...
0 Reactions
43 Replies
3K Views
Anonymous
Tupazie sauti kipande cha barabara cha kwenda kituo cha afya cha Kisemu kilichopo halmashauri ya wilaya ya Morogoro ni kero kubwa sana njia ni mbovu
0 Reactions
1 Replies
220 Views
Wakati changamoto za uchumi duniani zikiendelea kuonekana, na wanasiasa wa mrengo wa kulia katika nchi za magharibi wakiendelea na hata kutamka maneno mbalimbali yenye viashiria vya kutatiza...
0 Reactions
1 Replies
528 Views
Wakili Paul Kisabo ameeleza kuwa amemuandikia barua Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP) kutaka majibu ya utekelezaji wa amri ya Mahakama Kuu ya Tanzania kuhusu upelelezi wa walipo Deus Soka...
1 Reactions
6 Replies
483 Views
Habari wakuu, Leo naomba niulize swali ambalo kama watu watajibu litasaidia wengi pia. Miaka ya karibuni kumekua na watu wengi wanafanya remote jobs hasa huko US ila ukiwa popote duniani. Wenye...
0 Reactions
3 Replies
982 Views
Siku zote nitasimama katika ukweli na katikati bila kuwa ' Mnafiki ' au Kumuonea fulani na hivyo ndivyo nitakavyokuwa siku zote. Kwa masikitiko makubwa kabisa nimekuwa nikifuatilia sehemu...
4 Reactions
59 Replies
12K Views
Ndugu zangu wana JF, naomba msaada jinsi ya ku highlight, kuweka rangi nk, humu JF. Ahsante.
5 Reactions
60 Replies
2K Views
Kaimu kamanda wa polisi Mkoa wa Njombe Ally kitumbo amewataka vijana kutojitoa uhai pindi wanapoachwa na wenzi wao, kwani kufanya hivo ni kosa kwa mujibu wa sheria. Ametoa tahadhari hiyo ikiwa ni...
0 Reactions
7 Replies
432 Views
Jana nimeleta uzi huu https://www.jamiiforums.com/threads/kwa-muda-mrefu-sasa-naota-sana-kurudishwa-kurudi-shule-kama-leo-nimeota-nachapwa-parade.2307099/ Samahani kwa kuanzisha nyuzi nyingine...
3 Reactions
63 Replies
2K Views
Waziri wa Madini ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Dodoma Mjini, Anthony Mavunde amesema suala la kuanza ujenzi wa uwanja mkubwa wa mpira wa Dodoma ulizungumzwa kwa kipindi kirefu na michakato yake...
1 Reactions
8 Replies
689 Views
Kumbe mende ana maziwa bora kuliko ya Ngombe mazuri kwa watoto Hivi unajua maziwa ya mende yana lishe bora mara 4 zaidi ya maziwa ya ngombe ni chakula kizuri kwa watoto. Watu wengi wanapomuona...
4 Reactions
14 Replies
768 Views
Picha: My Camera "Hatuna dunia nyingine. Lazima tuitunze na kuihifadhi." – Wangari Maathai Kuna mdau aliandika hapa kuwa mmeamua kupamba jiji la Dar kwa chupa za plastiki. Sasa hii hapa ni...
2 Reactions
7 Replies
623 Views
Amani kwenu. Naomba tusikilize video hii ambayo nimeweka link hapo chini. Tovia Singer ni mwalimu wa dini ( Rabi) mwenye asili ya uyahudi na mwenye kufuata imani ya kiyahudi ( Judaism). Hapa...
0 Reactions
26 Replies
1K Views
Naombeni mtu yoyote au yeye mwenyewe kama atapita humu, naomba kuonana na watu hawa ili wanipe connection ya maisha, wanapata hela wapi? Hawa vijana wadogo lakini pesa ndefu sana. Msaada tafadhali.
2 Reactions
17 Replies
1K Views
Kwa ma globalists wenzangu tunaopenda mambo ya kimataifa hasa viongizi wa Dunia, Leo Dunia imechanganyikiwa baada ya Trump kuongea na Putin jumatano ya jana. Matukio makubwa kama mkutano wa...
0 Reactions
2 Replies
407 Views
Back
Top Bottom