Habari na Hoja mchanganyiko

Una jambo umeliona kutoka chanzo chochote cha habari? Hoja binafsi? Tushirikishane

On JF:

Mbunge wa Jimbo la Kisesa, Luhaga Mpina, ameitaka Serikali kueleza kwa nini mikataba ya uwekezaji wa Bandari ya Dar es Salaam na kampuni ya DP World haijawasilishwa Bungeni ili wabunge waweze...
4 Reactions
6 Replies
1K Views
Wakati Mamlaka ya Bandari Tanzania (TPA) ikikabidhi Bandari ya Dar es Salaam kwa Kampuni ya DP World, Serikali inaangalia namna ya kufanya upanuzi wa bandari hiyo ili kuendana na ongezeko la...
3 Reactions
33 Replies
2K Views
John Peter ni nani kwake? Kwanini ametoa taarifa kwa umma ya kumlinda kwa kusema dereva alishambuliwa na kitu chenye ncha kali wakati alishambuliwa kwa risasi...
2 Reactions
3 Replies
443 Views
Wakuu habari.. Aseee nataman kuhama hapa dar, hapa mjini pamoto sana, gharama zipo juu kinoma, na matumizi ya pesa ni kila siku , just imagine hata kuuliza sehem kama umepotea wata wanaku charge...
4 Reactions
15 Replies
681 Views
Huko Indonesia shina la mgomba hutumika kama chakula baada ya ya mkungu wa ndizi kukatwa, video inaeleza process nzima
0 Reactions
2 Replies
471 Views
Msajili wa Mabaraza ya Ardhi na Nyumba ya Wilaya nchini, Bi. Stella Tullo, amesisitiza umuhimu wa mashauri kumalizika kwa wakati na kwa Haki ili kuhakikisha wananchi wanapata haki za umiliki wa...
0 Reactions
1 Replies
337 Views
Zaidi ya satellite 120 za Elon musk zinaanguka toka Angani Kuna kipindi ulikua unaangalia Angani unakutana na rangi nyingi juu zinakimbia kwa kasi zikiwa mchanganyiko hizo ni satellite za Elon...
3 Reactions
7 Replies
682 Views
Ukraine imekubali kuipa Marekani madini yake yenye thamani ya $500B Moscow imepiga kelele isiyo na madhara Ulaya imefuata nyayo za Trump Marekani hadi muda huu imetumia $183 B kama msaada wa...
1 Reactions
1 Replies
477 Views
MAOMBI MAALUM YA KUVUNJA LAANA(ROHO) YA KUPOTEZA VITU VYA THAMANI VINAVYOINGIA KWENYE MAISHA YAKO... PIA KUSAMBARATISHA ROHO YA HASARA... 👇👇👇👇👇👇👇👇👇 Naongea na wewe ambaye kila kitu cha thamani...
2 Reactions
6 Replies
655 Views
Serikali imeingia mkataba wa kuanza Ujenzi wa uwanja Mpya Jijini Arusha Maarufu kama Samia Suluhu Hassan Stadium ambao ni Mahsusi Kwa Ajili ya Maandalizi ya AFCON 2027. Uwanja huo utagharimu...
13 Reactions
156 Replies
13K Views
Anonymous
Kitefure Longuo A Moshi Vijijini, tuna changamoto ya kutokuwa na huduma ya maji kutokana na maji kutotoka hali ambayo inaathiri Watu wengi ikiwemo sisi Wanachuo na Wanajamii kwa jumla, hali hii...
0 Reactions
5 Replies
688 Views
Meneja wa Barrick nchini, Dk.Melkiory Ngido akitoa taarifa ya utendaji wa Barrick na Twiga kwenye kikao cha Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini. Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge...
0 Reactions
0 Replies
445 Views
Habari . Mimi ni muumini mkubwa wa kutoa , Ila katika utoaji wangu huwa nikimsaidia mtu ambaye hatuna undugu wowote , baraka huwa zinarudia kwa kiwango kikubwa Sana. I need to understand kwa...
4 Reactions
30 Replies
811 Views
Kupata uhakika unaweza kufanya utafiti mdogo tu na utagundua hili Kwa Sasa Tanzania hasa Bara ni kama vile Vijana Wote walikufa yaani hawaonekani kabisa kama Wapo tofauti na Gen Z hapo Kenya...
1 Reactions
5 Replies
322 Views
Anonymous
Niliwahi kuandika hapa JamiiForums juu hatari ya biashara kandokando ya barabara kuwa kuna siku gari likosa mwelekeo leo limetokea. Tunaposema wananchi wa kawaida huwa ni kama vile kelele. Lakini...
1 Reactions
0 Replies
255 Views
Malalamiko ya Mgawanyo wa Walimu Kupitia Njia Mpya ya Uajiri ya Ofisi ya Rais Katika Utumishi wa Umma: Katika mchakato wa uajiri wa walimu unaofanywa na Ofisi ya Rais Utumishi, kumekuwa na...
1 Reactions
0 Replies
631 Views
Sinza D (Mtaa wa Sinza Madukani) kuna mradi wa uchakataji wa maji taka unaofanyika chini ya usimamizi wa karibu wa Diwani wetu ukifadhiliwa na Benki ya Dunia na kuratibiwa na DAWASCO, ambapo...
2 Reactions
1 Replies
550 Views
Mo amefanikiwa sana kibiashara na ndio $bilionea wetu hapa bongo anayetambulika rasmi, akipewa kitengo cha DOGE kuleta ufanisi serikalini anaweza kuleta mabadiliko makubwa? Tukumbuke pia Wahindi...
1 Reactions
12 Replies
450 Views
Miaka mingi sana najificha na sitaki zungumzia haya mambo lakini kwa kile nlichokiona usiku huu nimeamua tu kumwaga mboga kwakua wao wamemwaga wali. Niulize chochote nitakujibu elimu yote ipo hapa.
3 Reactions
12 Replies
673 Views
Morocco 🇲🇦 na Uhispania 🇪🇸 zinapanga kujenga tunnel la Euro bilioni 6 ili kuunganisha nchi hizo mbili. Njia hiyo itakuwa na urefu wa kilomita 38.5, na kilomita 28 chini ya bahari kwenye kina cha...
3 Reactions
28 Replies
1K Views
Back
Top Bottom