Ni muhimu kurudia hii mada mara kwa mara ili iingie akililini mwa watu kuhusu nidhamu katika uongozi na jinsi gani huleta mwelekeo kwa watu unaowaongoza kama wewe mwenyewe kiongozi una nidhamu...
MWAKA 1970, Umoja wa Mataifa (UN) ulipitisha azimio kuzitaka nchi zinazotoa misaada ya kimataifa kuongeza misaada hiyo ili ifikie asilimia 0.7 ya mapato ya nchi zao ifikapo 2015.
Moja ya nchi...
Nidhamu katika uongozi ni jambo muhimu sana. Bila nidhamu uongozi unakuwa shida na usiokuwa na mwelekeo. Ni muhimu sana kufahamu hili. Ili taifa lolote liendelee viongozi wake lazima wawe na...
Taifa lolote ni zao la maadili hakuna taifa lolote litakalozaliwa na kuwa kubwa pasipo maadili.
Viongozi ndio wanaotengeneza jamii, mawazo yao na maamuzi yao yana madhara makubwa kwa jamii...
Wednesday food for thoughts:
I often wonder why did Tanzania abandon agriculture as a mode of economy to create wealth and build up its income reserves!
If 80% of citizens are in rural areas...
Uzuri ni kitu kinachopita hakikai katika mwili wa binadamu milele, ni kama maua waridi toka nje yaangalie asubuhi ni mazuri na yenye kuvutia rudi jioni yamenyauka na kupoteza uzuri wake.
Hata...
Hoja yangu ni kwamba sikatai mfumo wa serikali tatu ikiwa mazingira yanaruhusu. Tatizo ambalo tunalokabiliana nalo ambalo litafanya mfumo wa serikali tatu au shirikisho kuwa mgumu kufanyika ni...
Sehemu ya 1 kati ya 5.
10 October 2001, kulifanyika muafaka baina ya CCM na CUF, nakutiwa saini na Philip Japhet Mangula, na Seif Sharif Hamad, na kushuhudiwa na Kingunge Ngombale-Mwiru, Ali...
Our God and our father. Creator of all living and non living things. We come to you for your help in these dark hours in Our national life. We need your light. We can not progress without you. You...
Elimu ni msingi kwa taifa lolote lile kuendelea. Maendeleo ya taifa lolote lile yanategemea sana msingi huu. Bila elimu hakuna maendeleo. Kwahiyo ili taifa litoke kutoka katika hatua moja ya...
YATAKAYOJIRI HOTUBA YA JK KESHO
Sehemu ya I
Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu...
Kuongoza na kutawala, ni jukumu la serikali. Kutawala ni kama kulinda, kutotawanya, kukusanya na kutoruhusu kutawanyika.
Kulinda binadamu dhidi ya uharibifu na uovu ni jukumu la serikali...
Wanabodi,
Leo hii baada ya kutafakari kwa kina juu ya swala zima la Katiba mpya likifuatiwa na kile wanachokiita changamoto juu ya Muungano na kero zake kwa wananchi wa pande mbili za Muungano...
Sehemu ya I
Ndugu wana Duru, Tunaomba tuweke rekodi vema kuhusu katiba mpya.
Kuanzia mwanzo hadi sasa msimamo wa duru ni katiba mpya itakayoandikwa na wananchi haitapatikana.
Utaratibu...
Mjadala huu utakuwa na sehemu kuu NNE.
SEHEMU YA KWANZA: Msingi Wa Mkataba Ulikiukwa, Woga Wa CCM Serikali Tatu.
Mchakato wa Katiba Mpya ulitoa fursa pekee kwa CCM kurekebisha kasoro...
Why did Americans want a weak federal government?
Answer,
What were the positive and negative consequences of a weak national government?
First of all, the states did not originally intend to...
1._ Ukweli ni vyema tukautamka hadharani bila ya kujiumauma.
Ndani ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ni ukweli usiofichika ya kuwa tumechokwa kwa sababu tumekuwa tukipinga kila hatua ambayo...
My wild guess: the three-tier government union structure proposal will be shot down in the Constituent Assembly
Dr Kitila Mkumbo
As in sports, the outcome of politics, and democracy in...
Huu ni uzi maalum wenye lengo la kuelezea na kubadilishana mawazo juu ya maana na umuhimu wa Tanganyika kuelekea kura ya maoni. Tutajadili mengi ikiwa ni pamoja na:
1. Asili ya Tanganyika.
2...
I am impressed by the way Ethiopia has chosen to organize their whole investment strategy.
According to the advisor to the State Minister for Industry, knowing that they are number one in Africa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.