Great Thinkers

JF's Great Thinkers' home | If you want to be enrolled, contact us
Ni muhimu kurudia hii mada mara kwa mara ili iingie akililini mwa watu kuhusu nidhamu katika uongozi na jinsi gani huleta mwelekeo kwa watu unaowaongoza kama wewe mwenyewe kiongozi una nidhamu...
4 Reactions
0 Replies
5K Views
MWAKA 1970, Umoja wa Mataifa (UN) ulipitisha azimio kuzitaka nchi zinazotoa “misaada” ya kimataifa kuongeza misaada hiyo ili ifikie asilimia 0.7 ya mapato ya nchi zao ifikapo 2015. Moja ya nchi...
5 Reactions
5 Replies
4K Views
Nidhamu katika uongozi ni jambo muhimu sana. Bila nidhamu uongozi unakuwa shida na usiokuwa na mwelekeo. Ni muhimu sana kufahamu hili. Ili taifa lolote liendelee viongozi wake lazima wawe na...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
Taifa lolote ni zao la maadili hakuna taifa lolote litakalozaliwa na kuwa kubwa pasipo maadili. Viongozi ndio wanaotengeneza jamii, mawazo yao na maamuzi yao yana madhara makubwa kwa jamii...
4 Reactions
9 Replies
4K Views
Wednesday food for thoughts: I often wonder why did Tanzania abandon agriculture as a mode of economy to create wealth and build up its income reserves! If 80% of citizens are in rural areas...
3 Reactions
1 Replies
3K Views
Uzuri ni kitu kinachopita hakikai katika mwili wa binadamu milele, ni kama maua waridi toka nje yaangalie asubuhi ni mazuri na yenye kuvutia rudi jioni yamenyauka na kupoteza uzuri wake. Hata...
1 Reactions
4 Replies
5K Views
Hoja yangu ni kwamba sikatai mfumo wa serikali tatu ikiwa mazingira yanaruhusu. Tatizo ambalo tunalokabiliana nalo ambalo litafanya mfumo wa serikali tatu au shirikisho kuwa mgumu kufanyika ni...
2 Reactions
13 Replies
4K Views
Sehemu ya 1 kati ya 5. 10 October 2001, kulifanyika muafaka baina ya CCM na CUF, nakutiwa saini na Philip Japhet Mangula, na Seif Sharif Hamad, na kushuhudiwa na Kingunge Ngombale-Mwiru, Ali...
5 Reactions
13 Replies
5K Views
Our God and our father. Creator of all living and non living things. We come to you for your help in these dark hours in Our national life. We need your light. We can not progress without you. You...
3 Reactions
0 Replies
3K Views
Elimu ni msingi kwa taifa lolote lile kuendelea. Maendeleo ya taifa lolote lile yanategemea sana msingi huu. Bila elimu hakuna maendeleo. Kwahiyo ili taifa litoke kutoka katika hatua moja ya...
1 Reactions
0 Replies
3K Views
YATAKAYOJIRI HOTUBA YA JK KESHO Sehemu ya I Hali ya taharauki imetanda Dodoma. Wabunge wakitishiwa kwa kamera 13 ndani ya ukumbi na viongozi 4 wa kundi linalompinga Sitta kukiuka taratibu...
12 Reactions
148 Replies
18K Views
Kuongoza na kutawala, ni jukumu la serikali. Kutawala ni kama kulinda, kutotawanya, kukusanya na kutoruhusu kutawanyika. Kulinda binadamu dhidi ya uharibifu na uovu ni jukumu la serikali...
0 Reactions
0 Replies
3K Views
Wanabodi, Leo hii baada ya kutafakari kwa kina juu ya swala zima la Katiba mpya likifuatiwa na kile wanachokiita changamoto juu ya Muungano na kero zake kwa wananchi wa pande mbili za Muungano...
8 Reactions
29 Replies
9K Views
Sehemu ya I Ndugu wana Duru, Tunaomba tuweke rekodi vema kuhusu katiba mpya. Kuanzia mwanzo hadi sasa msimamo wa duru ni katiba mpya itakayoandikwa na wananchi haitapatikana. Utaratibu...
6 Reactions
71 Replies
10K Views
Mjadala huu utakuwa na sehemu kuu NNE. SEHEMU YA KWANZA: Msingi Wa Mkataba Ulikiukwa, Woga Wa CCM Serikali Tatu. Mchakato wa Katiba Mpya ulitoa fursa pekee kwa CCM kurekebisha kasoro...
23 Reactions
47 Replies
13K Views
Why did Americans want a weak federal government? Answer, What were the positive and negative consequences of a weak national government? First of all, the states did not originally intend to...
0 Reactions
8 Replies
35K Views
1._ Ukweli ni vyema tukautamka hadharani bila ya kujiumauma. Ndani ya Jumuiya ya Afrika ya Mashariki ni ukweli usiofichika ya kuwa tumechokwa kwa sababu tumekuwa tukipinga kila hatua ambayo...
7 Reactions
39 Replies
10K Views
My wild guess: the three-tier government union structure proposal will be shot down in the Constituent Assembly Dr Kitila Mkumbo As in sports, the outcome of politics, and democracy in...
12 Reactions
6 Replies
3K Views
Huu ni uzi maalum wenye lengo la kuelezea na kubadilishana mawazo juu ya maana na umuhimu wa Tanganyika kuelekea kura ya maoni. Tutajadili mengi ikiwa ni pamoja na: 1. Asili ya Tanganyika. 2...
11 Reactions
26 Replies
10K Views
I am impressed by the way Ethiopia has chosen to organize their whole investment strategy. According to the advisor to the State Minister for Industry, knowing that they are number one in Africa...
4 Reactions
0 Replies
2K Views
Back
Top Bottom