Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

Nyimbo inaitwa SISIKII ila sio ile yenyewe. Hii kuna na sauti ya mdada, yaani Jux mwenyewe anaimba alafu na mdada anaimba pia nyimbo ni ileile ya Jux sisikii. Sijui ndio mnasemaga cover sijui...
1 Reactions
1 Replies
468 Views
Muigizaji maarufu John Malkovic, ameigiza kama Nyota katika Movie inayoitwa 100 Years. Imetengenezwa mwaka 2015 ambapo inatarajiwa kutoka November mwaka 2115. Kwajina lingine movie hii...
3 Reactions
13 Replies
2K Views
Kichwa hapo juu chahusika, nina mdogo wangu ana kipaji cha uimbaji yupo shuleni. Mwanzo sikujua kuwa anajihusisha na muziki kwani amekuwa ni mcheza mpira mzuri sana hasa upande wa golikipa...
0 Reactions
4 Replies
455 Views
1. Tazama ramani utaona nchi nzuri Yenye mito na mabonde mengi ya nafaka, Nasema kwa kinywa halafu kwa kufikiri, Nchi hiyo mashuhuri huitwa Tanzania Majira yetu haya, yangekuwaje sasa Utumwa wa...
2 Reactions
6 Replies
37K Views
Kama kichwa kinavyosema, nimeukumbuka huo mstari ila nimesahau ulikuwa kwenye wimbo gani na wa msanii gani. Ni wimbo wa bongo fleva wa enzi zile za golden age of Bongo Fleva kabla ya zama za...
1 Reactions
3 Replies
475 Views
Habarini wakuu, Kuna ule wimbo wa Rayvanny "Unaibiwa" yaani huu wimbo unarelate sana mambo ya mahusiano na kudate kwa sasa. "Unadhani niwapeke ako Kumbe wengine wameshaweka kambi Kakupendea...
3 Reactions
18 Replies
2K Views
Tamthilia ya Lupin ni tamthilia ya uhalifu ya Ufaransa iliyotengenezwa na George Kay na François Uzan. Ilionyeshwa kwa mara ya kwanza kwenye Netflix mnamo Januari 8, 2021. Tamthilia hiyo...
4 Reactions
15 Replies
2K Views
Matatizo: Harmonize 2016 Haiyee aaah! Olelelelee Alfajiri imefika Anga inang'aa Mvua inaanza katika Ghafla tumbo la njaa Naweka sauti kwa spika Nipate umbea wa dar Mara simu inaita Jina la anko...
0 Reactions
0 Replies
756 Views
Ukiona hii chapa, basi ujue humo ndani sio drama, mapenzi wala vita. Hawa jamaa hawana mambo hayo. Hawa wameletwa duniani kwa kazi moja tu, kuwafurahisha wapenzi wa 'horror' na sie tunawashukuru...
7 Reactions
59 Replies
7K Views
i naona mbali) Kwa darubini kali (kwa darubini kali) Afande anasema wote (wote kimya) Ntakayo nena hapa yatamgusa mwenye hekima (Hapo!) hapo ulipo Kama waipenda pepo kwanini uogope kifo? (Eehee)...
3 Reactions
21 Replies
4K Views
Huku mmenishauri nitumie dish la DSTV, kwakweli mwana kafurahia sana nasi tumefurahia . Inavipindi vya kidhungu dhungu, unajiona wewe ni wewe tu kati ya majirani wenye azam na startimes. Startimes...
14 Reactions
24 Replies
1K Views
Assassin anayefuata principle za kisamurai.
3 Reactions
6 Replies
393 Views
Nibebe - Nyota Ndogo “Nibebe” from the album “Mpenzi” Nyota Ndogo featuring Nonini Nonini Ngoma kali hufanya niwakumbushe wakenya Vile Swahili ni kitamu Au sio Nyota aa, Nyota aa Ndogo oo, Ndogo...
3 Reactions
9 Replies
1K Views
1. Darassa - Muziki 2. Dully sykes - Bongo fleva 3. Chid benz - Dar es salaam stand up
7 Reactions
328 Replies
9K Views
Tanta lala la Ooh la la la la la Mmh Ooh Ghafla visenti sina nimerudi Tandale Nimeshindwa kulipa BIMA nimeuza Madale Radio nyimbo wamezima Tv ndio hataree Umeneja umebaki jina Hanitaki hata Tale...
2 Reactions
5 Replies
1K Views
Kama ujafika korea basi niwajuze tu? Japo wanakila kitu na wapo mbali sana ila swala la migahawa ya vyakura na huduma za chukura korea wapo vizuri sana. Biashara ya chakura korea hipo tofauti na...
7 Reactions
10 Replies
735 Views
Wakuu na wadau wa Marvel. Marvel Studio wametoa teaser ya upcoming superhero movie ya Captain America iitwayo Brave World. Usichanganye na TV Series yao ya Captain America & Winter Soldier, hii...
2 Reactions
0 Replies
447 Views
Imagine huu mzigo utakuaje? Under James Cameron. Humu Leonardo Di Caprio kafanya kitu hatari Nduki_ Young lunya 🏌️🏌️
9 Reactions
94 Replies
3K Views
Wadau, Natafuta huu wimbo alikiba alipiga live. Nahisi kwenye moja wapo ya show za clouds media. Kuna live kadhaa za macmuga lakini kwangu mimi hazikuendana sana na hii ninayotafuta. Thanks.
1 Reactions
2 Replies
477 Views
Natafuta cover ya wimbo wa Hapana wa msanii Marioo ulioimbwa na mdada fulani hivi ukatumika katika tamthilia ya Jua kali. Anaeweza kunisaidia namna ya kuupata tashukuru.
1 Reactions
0 Replies
733 Views
Back
Top Bottom