Wadau wa JF hiyo movie ni ya zamani lakini bado napenda kuingalia tena na tena. Nimeitafuta sana bila mafanikio. Naomba kama kuna Ndugu anayo au ana link ambayo itaniwezesha kuidownload anisaidie...
Nearly five years after his death, the world is getting previously new music from Michael Jackson. Xscape will hit stores May 13 and feature eight previously unreleased tracks.
Associated Press...
Habari zenu wadau!
In our cultures, music is an important part of our way of life. Having said that, Its gonna be a long weekend, so try listening to Tim Mcgraw's love story album and Keith...
NAIPENDA AFRIKA,NAIPENDA TANZANIA,KUMBE AFRIKA TUNAWEZA BWANA
Nineteen of the top recording artists from across Africa, including D'Banj and Femi Kuti from Nigeria, DR Congo's Fally Ipupa, Cote...
Wadau mimi kwa majina ni Matendo Andrew
ni Gospel singer.lakini hapa nimekuja kama Manager
wa Matendo Andrew. nahitaji mtu au kampuni nifanye nayo
kazi, kazi ni hii hapa. nimesha record album...
Kuna jambo la kipuuzi ambalo kama mwananchi mzalendo inabidi kulifikiri nikawaza ivi jaydee akipata nafasi ya kwenda kuwakilisha Nchi Clouds hamtatangaza? Acheni wivu wa kurudisha maendeleo nyuma...
Wanajamvi naombeni kupata habari za msanii wa komedi aliyekuwa anaitwa Vengu, alikuwa mgonjwa, je yupo wapi? Au bado anaugua? Mbona wadau hatuna feedback?
Kiukweli radio ya watu .....Claus FM wamekuja na name jambo zuri sana la kuhamasisha uzalendo. Kea imani yangu najua Kuwa huu ndio muarobaini kukuza uzalendo ..that's role of media indeed.. Keep...
It seems like a lot of people are catching up on this summer's movies. These 10 films, all released in summer 2013, were the most pirated movies using BitTorrent software last week, according to...
Oyii hiphop juu.. Mmemuona mwana wa x-plastaz gsan anadondosha mistari ya kiswahili kwenye bet free stlye, pembeni machizi kibao tu wanafurahi, krs one anafurahia sana...
Dah. Niliona kama niko...
Wadau nimepata wazo kwa sisi wenye mapenzi na nyimbo za miaka ya nyuma tuunde ushirika wetu kwa kusaidiana nyimbo hizo.najua weng pia wamekuwa wakipata shida wapi pa kuzipata kutokana na kuwa...