Viol
JF-Expert Member
- Dec 15, 2009
- 25,419
- 18,345
Last edited by a moderator:
hip hop ngumu inakwaje inachezeka club?maana ukiangalia nyimbo zao kama dmx na 2pac zinachezeka tu clubKwa uelewa wangu Pac alikua anaimba Hip Hop ngumu (HardCore Hip Hop) kama ambayo anaiimba DMX japo Dmx ni ya ki gang sana (mwanzo mwisho anafoka)
hip hop ngumu inakwaje inachezeka club?maana ukiangalia nyimbo zao kama dmx na 2pac zinachezeka tu club
1.Mainstream Hip Hop au ya kisasa ambayo ipo Commercialized inazungumzia money,clubbing, galz,sex etc.Mainly,haina ujumbe mzito katika jamii.Sanasana wasanii hujigamba jinsi wana hela,nyumba,flossing with flashy cars,how gals are around them,bling blinging nk.I don't like such kinda hip hop. Here you'll find Lil'Wayne, lil wote unaowafaham
2.Underground Hip Hop .Talks about what's happening in the streets-what affects you and me eg drugs,guns,politics,diseases,poverty,segregation,love but more esp poetry.I like this kinda hip hop and artists like Juggaknots,The Unspoken Heard,Wu Tang Clan, The Roots,Mos Def,Talib Kweli,Nas(old skool).Mobb Deep,Dilated Peoples,Defari , Planet Asia,Common etc.
Mawazo yangu 2.
hip hop ngumu inakwaje inachezeka club?maana ukiangalia nyimbo zao kama dmx na 2pac zinachezeka tu club
Kiongozi wewe ni msanii au ndio unataka kuwa msanii?
...
Kwa uwelewa wangu, kuna ana nyingi sana za hiphop, but main xristic ya hiphop ni kuchana na mdundo usioendana na vina!
but sasa kuna mapinduzi ya mziki, yamefanya wasanii wengi kuimba miondoko tofauti, kuchanganya style na kubuni aina mpya za mziki, nadhani umeona r&b inavyochanganywa na hiphop, umeona wasanii wa miziki na mataifa mbali mbali kufanya kolabo mf: waswahili kuimba na wazungu, wamarekani vile vile wamarekani kuimba na wahindi nk nk!
...
Kuna pure hiphop!
Kuna hiphop katuni!
Kuna hiphop dansoo/ragga!
Kuna hiphop regge!
Kuna sweat/cool hiphop!
Kuna babilon/gengsta hiphop!
Kuna free style hiphop!
nk nk!
...
Mkuu kama unataka kuwa msanii sema tukutungie mistari!
Ya pili kwa nini isiwe street hip-hop ambayo ndio hardcore!!!!!????
Kwa maana hiyo hata bongo fleva inaweza ikawa hip hop!
tatizo ni kwamba kibongo mtu akifanya hip hop ya ki-comercial wanamwona siyo mwana hip hop,mfano kundi la tamaduni music,hip hop yao hata haiuziki au kuchezeka club,ila baadhi ya wana hip hop wanawaona ndo wanafanya hip hop halisi,wakati watu kama kina Godzila,nikki wa pili(hip hop laini )wanakimbiza sokoni.Hivi mtu anajiita 'thug' anayesema anaishi ndani ya thug life, akitegemea kwenda kupata thug mansion, unategemea ataimba hiphop ya aina gani, pac alikuwa anafanya hiphop tofauti tofauti kutokana na ujumbe, mfano, thug mansion, kafanya hardcore hiphop, mfano keep ur head up, kafanya soft hiphop, pac alikuwa mbunifu wa hali ya juu, mfano only god can judge me, kafanya hardcore hiphop lakini yenye staili nzuri ya kuchezeka na mdundo wa kushake, mfano dear mama, kafanya soft hiphop kutokana na ujumbe uliopo. Kiufupi pac was a genius.
tatizo ni kwamba kibongo mtu akifanya hip hop ya ki-comercial wanamwona siyo mwana hip hop,mfano kundi la tamaduni music,hip hop yao hata haiuziki au kuchezeka club,ila baadhi ya wana hip hop wanawaona ndo wanafanya hip hop halisi,wakati watu kama kina Godzila,nikki wa pili(hip hop laini )wanakimbiza sokoni.
Hivi mtu anajiita 'thug' anayesema anaishi ndani ya thug life, akitegemea kwenda kupata thug mansion, unategemea ataimba hiphop ya aina gani, pac alikuwa anafanya hiphop tofauti tofauti kutokana na ujumbe, mfano, thug mansion, kafanya hardcore hiphop, mfano keep ur head up, kafanya soft hiphop, pac alikuwa mbunifu wa hali ya juu, mfano only god can judge me, kafanya hardcore hiphop lakini yenye staili nzuri ya kuchezeka na mdundo wa kushake, mfano dear mama, kafanya soft hiphop kutokana na ujumbe uliopo. Kiufupi pac was a genius.
You are a 2pac fan...jaribu kuwa more open minded hutofautishe kwa kina aina za hip hop sio kuangalia msanii mmoja,na kwa Pac alisimama kutoa hizo unaita gangster/hardcore Rap kwenye THUGLIFE...baada ya hapo zote zilikuwa Commercial tu read my lips I cant blame him like JAY Z said "talk how u been in a project all day sounds stupid".sasa kuna hip hop ambayo wame-intergrate hio hardcore na commercial pata album km BIG "Ready to Die",pata Jay "Reasonable Doubts" hell hata "Black Album"ipo hivyo,sasa kuna cats km Common,Talib Kweli (M-Tz mwenzetu huyu),Rankim,Erick B (hawa km wa kizazi cha dot com itakuwa ngumu kuwajua) hawa ndo undergrounds rap au ita soul au vyovyote unavyojua ww...hizi ni sit back relax and listen hazi top chat lkn its a music u can listen with ur granny
we pia n shabiki wa big...pac was real mziki wake ulikua na utaendelea kua deep sana...he ws a gangsta anaimba hip hop ngumu iliyopevuka ndo maana mnazani hyo n komesho
Killuminat...mm ni fan wa HIP HOP na ndio nina album zao karibu wote na karibu zote!From Pac,Biggie,Jay,DR,Snoopy and sooo...na cant brag but hay am hip hop!ukisema ngumu km commercial ndo ipi?ndo nashauri weka ushabiki kando chambua mwanamuziki kiundani na namkubali BIG lkn nipo zaidi na "Best Rapper Alive"