From Tanzania to Lagos...ama make you famous.

From Tanzania to Lagos...ama make you famous.

Kim Jo Ngil

Member
Joined
Jan 3, 2014
Posts
45
Reaction score
17
Kuna jamaa anadai huo mstari wa davido katika kolabo yake na Diamondo haijakaa sawa.

Kwa tafsiri yake ni kuwa Davido kamtoa diamondo kwenda kumngarisha huko lagos na kwengine.

From Tanzania to lagos..ama make you famous..una onaje huo mstari?
 
Ni kweli haijakaa sawa asa sijui alumasi hakuelewa ama vp yaani bora liende tu ..
 
Kuna jamaa anadai huo mstari wa davido katika kolabo yake na Diamondo haijakaa sawa.

Kwa tafsiri yake ni kuwa Davido kamtoa diamondo kwenda kumngarisha huko lagos na kwengine.

From Tanzania to lagos..ama make you famous..una onaje huo mstari?

Tanzania to Lagos...am gonna make u famous..for uuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu...yo number one my swt swtieeee!
 
Wabongo wanasikitisha sana wanapopaparikia nyimbo za kinaija wakati ni mbaya kuliko
 
Na amemfanya famous,we huoni my number one remix inajulikana zaidi kwenye mitandao ya nje kuliko original🙂
 
"Baby we can do in your way,
Anything you want its okey,
Tanzania To Lagos,
I go make you famous"......nadhani hapa davido anamuongelea demu na sio diamond
 
......pale anamwambia dame wake...ya body d shake,ma money d waste" anamuimbia nani...domo ama dame (msichana) wake!!!!?????
 
Back
Top Bottom