Mbwiga Mbwinguke, mkora nyani kibwaya mkia, Midfield kisheti! Nazitupa tu huku kule halafu naziomba, nimchakamchaka tu, sako la nyani hilo ngedere haponi.
Sasa ngoja nikupe kosi hilo kosi hatari la wanajeshi wenye roho mbaya, yaani kila ukiwaona wanahamu wakichafue tu. Mwaka 1973 hiyo, wapi hiyo? Ndani ya Mkwakwani Stadium Tanga yani unga robo chenji irudi!
Si unajua kamakawaida sisi wazaramo majina yetuni Shida , Majaliwa,Matatizo, halafu usipokuja kwenye ngoma ya mwananguna mimi msiba wababako siji. Rusha vocha nkumalizie utamu wa Mbwiga wa Mbwiguke mkora nyani kibwaya mkia.
Teh!teh!teh!, hivi huyu jamaa na kitandani anakuwaga na mbwembwe hizo au ni kwenye mambo ya mpira tu!
Sasa ngoja nikupe kosi hilo kosi hatari la wanajeshi wenye roho mbaya, yaani kila ukiwaona wanahamu wakichafue tu. Mwaka 1973 hiyo, wapi hiyo? Ndani ya Mkwakwani Stadium Tanga yani unga robo chenji irudi!
Si unajua kamakawaida sisi wazaramo majina yetuni Shida , Majaliwa,Matatizo, halafu usipokuja kwenye ngoma ya mwananguna mimi msiba wababako siji. Rusha vocha nkumalizie utamu wa Mbwiga wa Mbwiguke mkora nyani kibwaya mkia.
Teh!teh!teh!, hivi huyu jamaa na kitandani anakuwaga na mbwembwe hizo au ni kwenye mambo ya mpira tu!