Entertainment

Cinema listings, TV shows, Music, Gigs, Exhibitions, Theatre, Clubbing, Comedy and much more...

On JF:

PROFESOR JAY - NA BADO Na mwaga Damu juu ya fedha/ na dini mitaa ya kati/ kuwa makini Tumuamini nani..?/ mie mc fanani mchaza vichwa Amani/ Au kiongozi Saratani / acha hanasa na mpaka Siasa...
0 Reactions
0 Replies
400 Views
PROFESOR JAY - NAWAKILISHA.. Na bado mkwanja unatesa viwanja/ ni vichwa vya nyanja/ maumivu kote na ganja / tawala mic kijanja/ sasa mc vizuri muda hu kudanja/ na tupa mawe fikra miba vichaka...
0 Reactions
0 Replies
372 Views
Unaweza kutazama hii Season inayo muhusu Deng Xiaoping. Inaelezea alipokea China katika mazingira gani ? ( Yalikuwa mazingira mabaya sana katika historia ya China ) Inaelezea walikabiliana na...
0 Reactions
3 Replies
471 Views
Nyimbo ni kali sana lakinii Video ya kijima na kishamba sana. Ukiitazama utafikiri ni Video ya Msondo ngoma ile iliyomuonyesha Kingwendu pale kariakoo amesimama barabarani. Hebu angalia Video...
4 Reactions
5 Replies
548 Views
https://youtu.be/7p2HqW9J1iU?si=pOEEM02j3_0drEEo https://youtu.be/dQw4w9WgXcQ?si=RFM8SB91acdbDsfi https://youtu.be/izGwDsrQ1eQ?si=WJHXqKGxbjlIbiaY...
0 Reactions
0 Replies
402 Views
Makala haya yanaorodhesha wasanii wa Kiafrika kulingana na wasikilizaji wa kila mwezi wa Spotify (Monthly Spotify Listeners. Kama vile ungedhani, Afrobeats inatawala. Pata full list hapa. In...
2 Reactions
10 Replies
3K Views
MSANII BLACK SKULL Mgambo ni jeshi halali japo si chombo cha dola. Haliundwi na rais kama yalivyo majeshi mengine isipokuwa linaundwa na sheria ndogo ndogo ambazo zinazipa mamlaka halmashauri za...
0 Reactions
0 Replies
318 Views
Tom Cruise Nyota wa Filamu pendwa za Mission Impossible, Top Gun, Mummy, Jack Reacher, Edge of Tomorrow Ryan Reynolds Nyota wa Filamu kali za Deadpool, The Adams, 6 Undergrounds, Free guy...
4 Reactions
35 Replies
2K Views
SOGGY DOGGY & SHAA - MAFUNDI. " Usilolijua ni sawa na Usiku wa Ngiza/ kama Basi unabisha yapaswa kusikiliza/ Maneno haya kutoka kwa tyr ngaiza yanahusu hao mafundi wenye Michezo ya kuingiza/ ...
0 Reactions
0 Replies
350 Views
HAKUNA NOMA - PROFESSOR JAY. "SIMPLE X" " ni Extra extra ! Extra Vakaza hakuna noma !/ kazi ndio kwanza inaaza tega sikio upate soma la shahada ya kwanza/ Daima sintanyamaza kuongea...
0 Reactions
0 Replies
279 Views
Mwanamuziki Tyla ameweka rekodi kwa kuwa msanii wa kwanza kutoka Afrika kushinda tuzo tatu usiku mmoja katika tuzo za MTV European Music Awards (EMAs) za mwaka 2024 zilizofanyia usiku wa kuamkia...
1 Reactions
0 Replies
557 Views
Binafsi kete naitupa kwa TID na Marioo hapo ni upande wa wasanii wakiume kwa wakike nafikiri maunda zorro na Vumi. TID Mario Maunda Vumi
3 Reactions
94 Replies
2K Views
Kuna wanangu nimewalusha umu one love Sisi n ndugu ama vip wadau wangu,ambao sijawataja mtanisamee Bure mana sija yakalili majina yenu vyema ila tupo pamoja🙏🏽
3 Reactions
21 Replies
892 Views
Hizi tamthilia kwa kweli zinachosha, kwanza lugha inayotumika huko hata hatuijuwi. Ni bora muonyeshe mbuga zetu za wanyama.
0 Reactions
4 Replies
298 Views
Msanii wa Afrika Kusini, Tyla, ameibuka mshindi wa tuzo ya ‘Best African Act’ katika hafla ya MTV Europe Music Awards (EMA) 2024. Katika kipengele hiki, Tyla alishindana na wasanii wengine maarufu...
2 Reactions
2 Replies
803 Views
Wakuu habari za muda huu, Poleni na majukumu. Msaada tafadhali. Nahitaji Lyrics ya ngoma ya Godzilla ft G.Nako_KILA WAKATI. Nimetafuta sana,saana,sana. Mwenye nayo plz,Huko youtube nimetafuta...
6 Reactions
18 Replies
3K Views
"Warning, this is the chief of police speaking Do not steal police hate competition I repeat do not steal police hate competition. Where we gonna run, where we gonna hide? You've got the right to...
2 Reactions
1 Replies
446 Views
Simulizi: NINI MAANA YA MAPENZI Mwandishi: ATUGANILE MWAKALILE Imeletwa kwenu na: BURE SERIES SEHEMU YA 1 Alikuwa binti mpole ila muongeaji sana, aliyelelewa katika mazingira ya dini, nyumba...
6 Reactions
605 Replies
171K Views
RIWAYA: KASRI YA MWINYI FUAD MWANDISHI: ADAM SHAFI ADAM IMELETWA KWENU NA: BURE SERIES SEHEMU YA 1 KIJAKAZI alizaliwa kutokana na ukoo wa kitumwa. Baba yake na mama yake walikuwa ni miongoni mwa...
4 Reactions
119 Replies
21K Views
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…