Its a very nice Series ipo based kwenye vitabu vya A Song of Ice and Fire; ni nzuri na dialogue yake ni bomba sana; inahusu mapambano ya familia (clans tofauti tofauti) wanagombania kuongoza Seven...
Wakuu karibuni katika riwaya hii inayoitwa 'Kijijini kwa Bibi', au 'mnyonya damu', kama ambavyo wengine hupenda kuiita. Mtunzi wa riwaya hii ni yule yule wa 'Mkono wa Chuma' na 'Sala ya Sarah'...
Mtunzi Ally Katalambula
Sehemu ya 1
“MWANAUME kutokwa na machozi, iwe kwa sababu ya maumivu au majonzi, si kitu kinachokubalika katika ukoo na kabila letu.
Ukiona mwanaume analia ujue ana roho...
BRING BACK OUR GIRLS
SEHEMU YA KWANZA
MTUNZI: PATRICK.CK
Mlango wa ikulu unafunguliwa na rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania anajitokeza mbele ya waandishi wa habari walioitwa kwa...
==== Kutohudhuria kwa Lady Jay Dee na Mzee Yusuph ============
Yaani hawa watu wawili wanadharau sana,tena huyu JIDE ndo haswaa kila mwaka siku ya tuzo haji anaagiza watu tu wamchukulie tuzo...
habari wadau,
Mwenye clip ya masimulizi ya hadithi zilizotungwa na George Iron Mosenya kama "usinililie mimi kawasimulia wanao" tafadhali naomba anisaidie
Stori: Innocent Killer (The Revenge)
Msimuliaji: Bux the story teller
Umri: 18+
Sehemu ya Kwanza:
NB: Hadithi hii ni ya kubuni na kufikirika haihusiani na maisha ya mtu yeyote, wala taasisi...
Kama wewe ni dj au mdau wa muziki.hapa unaweza kusikiliza na kudownload nyimbo zilizotengenezwa na madj. Yaan mixing au nonstop mix kutoka djs mbalimbali
PIA UNAWEZA TEMBELEA CHANEL YANGU YA...
kutoka gazeti maarufu nchini Kenya ifuatayo ni orodha ya wasani matajiri
1.JAGUAR(KENYA)
2.PREZZO(KENYA)
3.CHAMELEON(UG)
4.BOBI WINE(UG)
5.BEBE COOL(UG)
Tz tuko nyuma
The Music You Love Tells Me Who You Are
Ever been a bit judgey when you hear someone's taste in music? Of course you have.
And you were right - music tells you a lot about someone's personality...
Bila kubisha naamini Africa ni bara lenye wanawake wazuri sana japokuwa linasumbuliwa na matatizo mbalimbali. Hii ni orodha ya nchi zinazoongoza kwa wanawake wenye mwonekano mzuri zaidi.
10...
Wanajukwaa leo ndio sikukuu ya Wapenda burudani wote ambapo wasanii mbalimbali wakiwemo manguli kadhaa kutoka Africa..
Kuna Jose Chameleon kutoka Uganda,Teknomiles na Yemi Alade kutoka...
NYEMO CHILONGANI.
UCHAWI WA BILIONEA BAZOKA.
0718069269
Ndiyo kwanza mwanga wa asubuhi ulikuwa ukitokeza, watu waliokuwa wakifanya kazi sehemu za mbali, wakaamka na kuanza kujiandaa kwenda...
Inaitwa "The Conjuring" ni moja ya Movie za kutisha sana. Kuna watu wamesadikika kufa wakati wanaichek kutokana na kutisha kusiko kwa kawaida.
Ni story ya kweli Iliyowahi kutokea Ulaya. Kutokana...
Ni kawaida sana na hii ipo duniani kote ,hata huko Marekani ipo sana,msanii au kundi la muziki kuja na wimbo mmoja unabamba kisha baada ya hapo wanapotea au wanatoa zingine ila zinashindwa kubamba...
Kizungumkuti!
Na Bishop Hiluka
“Hii ni trela tu, picha kamili keshokutwa! Hakyamungu keshokutwa hakai mtu hapa… mi naapa! Nitakunywa na nitatembea uchi ukumbi mzima kama mademu wakinimaindi poa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.