nkosikazi
JF-Expert Member
- Mar 11, 2010
- 361
- 337
Niko kwenye gari nasikia mwanamuziki Roma Mkatoliki anaimba muziki wa vijana. Anasema mimi nakuabudu sana, eeh Mungu, lakini hujanisikiliza. Anaendelea kushangaa inakuwaje unawabariki watu waovu unatuacha sisi. Then anauliza hivi Boko Haramu wanamwabudu Mungu yupi ili wafanikiwe? Think about it.