Wiki moja imepita toka huu wimbo utoke. Swali: Je, unafanya vizuri kwenye radio stations na clubs kama ilivyokuwa kwa Mwana?
Yalisemwa mengi sana, wengine mbaya, wengine bonge la wimbo, wiki moja...
Ila una mafunzo sana ukifuatilia kwa makini, jamaa ana mashairi kibao.
https://www.facebook.com/video.php?v=1172953669385716&set=vb.157303284284098&type=2&theater
Heshima mbele wakuu,
Jana nimelipia tsh 20000 Azam tv ili niweze kuona channels zote ikiwemo VIASAT NATURE/HISTORY Channel lakin cha ajabu naambiwa access denied kwa baadhi ya channel ikiwemo...
Mwanamke anayedaiwa kuwa na sura mbaya duniani na mitandao inayomuonea ametoa filamu kuhusu maisha yake.
Maisha ya Lizzie Velasquez mwenye umri wa miaka 26 yalibadilika kabisa baada ya kuona kanda...
Kwa wote wanaohusudu huu wimbo na kuhisi kile kinachosemwa ni wao wanaowaambia adui zao, tiriririkeni hapa chini kwa ma verse ya mwendelezo wa wimbo huo.
Jamani mwenye link ya wimbo wa aslay na beka uitwao YA MOTO naomba aniwekee niudownload.
Hii ngoma naipenda sana kwa kweli. Hao madogo wana vipaji haswa.
Dogo Aslay kaiua hiyo aya ya kwanza...
MATAZAMIO YA HIP HOP KATIKA LUGHA LAINI
Hip Hop- ni aina ya muziki ambao unaimbwa kwa staili ya kurap/kufokafoka kwakuzingatia Vina vya Mashair.
Aina za HIP HOP
1:HIP HOP...
Wadau nilikuwa namsikiliza John Dillinga DJ JD aliupiga huu wimbo ametaja na jina something kama AIMEX 123 sasa nimejaribu kusearch online sipati kitu kinachofanana na hiko,pengine labda hilo jina...
Binafsi sio mpenzi sana wa nyimbo za Ommy Dimpoz lakini mtu anapojitahidi kufanya kitu kizuru ni muhimu kumsifia
Hii video imefanyika kwa Madiba production ya Godfather kama kawaida
I like the...
Kuna series(filamu) zilizodumu kwa muda mrefu sana mfano Isidingo,kwa anaefahamu ni series (filamu) ipi iliyotia fora kwa kurekekodiwa kwa muda mrefu? nani mtengenezaji wa script hiyo? sababu zipi...
JANA tarehe 13.3.2015 kulikuwa na wadau kukutana na kujadili kanuni za COPYRIGHT AND NEIGHBOURING RIGHTS COMMUNICATION TO THE PUBLIC REGULATION 2015. Katika kanuni hii kunatayarishwa njia rasmi za...
Yani hawa OK sikuhizi hawana jipya.... unaweza ukaangalia vipind 10 mfululizo ukabaki umekunja sura. Hawachekeshi. Mi naona wachekeshaji watakao kimbiza mpaka mwisho ni Mizengwe. RIP Orijino Komedi.
Ninaangalia kipindi hapa kwenye Clouds TV cha Masudi Kipanya kinaitwa ''INAWEZEKANA''. Dah! Huyu jamaa ana akili nyingi sana huyu. Nilikuwa sijakielewa niliona ni kama Maisha Plus uuzaji sura ila...
Natanguliza shukurani, mwenye wimbo huu wa mlimani pack, sijui unaitwaje ila kuna mashairi yanaimba MUME HUYU C RIZIKI TENDE HALUAHALUA!! Nimejaribu kuutafuta cjaupata. nitashukuru wakuu.
Natazama Cloud TV hapa naona Kalapina ana host kipindi kinaitwa " HARAKATI NA KALAPINA " a.k.a TANZANIA BILA DAWA ZA KULEVYA INAWEZEKANA.
Da nikikumbuka enzi hjizo 2004/2005...
natumia neno kucause mass destruction,
no physical attraction but my mind is beauty,
am literary speaking so its a code now decipher,
I decapitate weak MCs u'd say am Lucifer......
Sijui anaitwa nani...sijui ni mtu wa wapi...na sijui kama kweli alikuwa anaucheza wimbo wa Ali Kiba.
Ila nachojua ni kwamba hiyo shepu na hiyo miondoko inanipa midadi isiyoelezeka.
Natamani...