Members..
Nimebahatika kuiona hii documentary ya nguli wa muziki wa miaka ya kati hapa (1977 - 1996) Ramadhani Mtoro Ongala au maarufu kama Dr. Remmy.. Kusema ukweli pamoja na kumfahamu Dr. Remmy...
KUTOKUCHEZWA KWA VIDEO YA DIAMOND (NASEMA NAWE) KWENYE CHANELI ZA KIMATAIFA
Kwanza nianze kwa kumpongeza diamond kwa kubadilsha aina ya muziki anaoufaya hii yote ni...
Kufuatia mafanikio ya misimu miwili iliyopita ya coke studio, coca cola company kwa kushirikiana na Kenya airways wanakuletea coke Studio season 3
Tofauti na show nyingine, show hii haiko...
Naomba nitumie lugha kali kumkemea huyu Msanii mkongwe wa muziki wa B. Flava nchini, Juma Cassim Nature, maana naona wasanii wanazidi kutudharau na kutunyanyasa kwa sababu ya ubinafsi wao, shenzy...
Naibu waziri wa wizara ya Habari,Vijana,Utamaduni na Michezo ametoa tamko hilo hii leo kwenye hotuba yake bungeni kwamba kitendo cha msanii huyo ni kinyume na maadili ya mtanzania,kwa hiyo...
Toka mwanzoni mwa wiki hii Diamond Platnumz na crew yake wamekuwa waki-tease vitu kwa mafumbo kuashiria kuna kitu kikubwa kinakuja.
Diamond-Platnumz Kupitia Instagram Diamond ameshare fomu...
These are my all time best 5.
1. Gold Diggers: The World's Biggest Bank Robbery (TV Movie 2006) - IMDb
Paulo Sergio De Souza(Not his real name).The Mastermind
"Around 8.30am on Monday, 8...
Haina ubishi kuwa amplifaya kimekuwa kipindi bora kwa sasa...watu wengi wameonyesha kukielewa. wasiwasi wangu mimi ni juu ya mwenendo wa mtangazaj wake milard ayo(mtangazaji wa radio anayependwa...
Jamani kuna jambo huwa nijiuliza sana hivi hapa Bongo kuna wasanii ambao ni maarufu sana, lakini hawajawahi kutoa video za nyimbo? Mkuu kama unawajua tutajie hapa.
Binafsi huwa napata tabu sana kumuelewa mtu (tena anaeishi 'Africa') ambae anaubeza utamaduni wa hi-hop, in particular muziki wa hip-hop, achilia mbali graffitis ambazo ni meaningful mode to...
This means that Toddler Takeover gives you the opportunity to GET INVOLVED and have fun with your little one instead of just watching from the sidelines, however if you do just want to relax and...
Kwa bei rahisi kabisa unajipatia Tv series zilizotajwa hapo juu. kwa tsh 3000 unapata season 1 na pia kama utakuwa na nyingne ambayo utaichagua wewe unaweza kuopata kwa tsh 5000 kama haipo kwenye...
Wadau pamoja na mizengwe yote inayofanywa.
Mimi natabiri Diamond kuchukua tuzo kumi mwaka huu sababu kajitokeza kwenye vipengele 10 huku anayemfatia kwa nominations ana category 5...
Jamani naomba munisaidie natafuta huu wimbo niliuona mara1 ulipigwa kwenye channel flani tena nilikuta mwishoni kabsa,
Kaimba mdada kama ckosei then humo ndani kama anahang around kwa town hivi...
Kama upo katika muziki na unataka kuendelea usikose kusoma USHAURI HUU (chini). tulia soma
by Godwin Tom
Hi Guys… It's been a while… Way over a year! Missed me?
Brief...
Licha ya kuwa ni wimbo mzuri wenye mpangilio wasauti na waimbaji,pia una ujumbe muhimu sana kwenye jamii yetu,
Hivi tumekwisha kaa tukawaza kuwa kutoa mimba pia ni kosa na ni dhambi kubwa sana...
Kubali ukatae lakini huo ndo ukweli watoto wa oysterbay, masaki na mitaa ya kizungu mikoa mbalimbali wanaofuatilia hii aina ya mziki wachache sana.
Hiphop ina mashabiki wengi sana usipinge...